Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Hatari Sana.wali mfrastrate mno.kuna siku nilikutana naye hapo maeneo ya Court of Appeals to daa! Alikuwa amenyongonyea Sana!
Kule kwenye mawese hakufai ndugu yangu.
Mara ya mwisho naonana naye alikuwa University of Pretoria, sasa sijui kama bado yuko huko au lah, maana aliikimbia awamu ya nne.
 
Kule kwenye mawese hakufai ndugu yangu.
Mara ya mwisho naonana naye alikuwa University of Pretoria, sasa sijui kama bado yuko huko au lah, maana aliikimbia awamu ya nne.
Mtakuja tuletea na corona kaeni humuhumu nchini
 
Kule kwenye mawese hakufai ndugu yangu.
Mara ya mwisho naonana naye alikuwa University of Pretoria, sasa sijui kama bado yuko huko au lah, maana aliikimbia awamu ya nne.
Kuna kipindi Kama 2017 au 2018 nilikutana na Kuna mtu alinieleza alikuwa amefunngua ofisi ya uwakili!
 
Nenda na wewe kachukue kama rahisi,Walimu wote asilimia kubwa UDOM wametoka UDSM,we bwana achaga upuuzi wa kuandika chochote unachojisikia kwa kivuli cha JF,kuwa msomi mpuuzi wewe.We hujui degree watu wanavyopata kwa shida huko UDOM mpaka watu wanakesha L room afu mtu unakuja na upuuzi humu.Heshimu watu asee.Hivi ukikaa huko nawe utajiita Great Thinker???? Dahh Mjinga sana wewe jamaa.
Wanafunzi wa UDOM wote wanatamani wangesoma UDSM. Degree ya UDOM inapaswa ilinganishwe na zoom college
 
Nenda na wewe kachukue kama rahisi,Walimu wote asilimia kubwa UDOM wametoka UDSM,we bwana achaga upuuzi wa kuandika chochote unachojisikia kwa kivuli cha JF,kuwa msomi mpuuzi wewe.We hujui degree watu wanavyopata kwa shida huko UDOM mpaka watu wanakesha L room afu mtu unakuja na upuuzi humu.Heshimu watu asee.Hivi ukikaa huko nawe utajiita Great Thinker???? Dahh Mjinga sana wewe jamaa.
Wanafunzi wa UDOM wote wanatamani wangesoma UDSM. Degree ya UDOM inapaswa ilinganishwe na zoom college
 
Back
Top Bottom