TASLIMA
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,013
- 3,572
Ethics.Kumbe wewe ni wanafunzi wa Edward Mchagga!
Judge Dr Twaibu anafundisha nini LST ?
Ethics.Kumbe wewe ni wanafunzi wa Edward Mchagga!
Judge Dr Twaibu anafundisha nini LST ?
Edward Mchagga kakufundisha Law School au TUDARCO ?Ethics.
Kule kwenye mawese hakufai ndugu yangu.Hatari Sana.wali mfrastrate mno.kuna siku nilikutana naye hapo maeneo ya Court of Appeals to daa! Alikuwa amenyongonyea Sana!
Ahahaha maswali hayo mie ndio siyataki...mambo ya ku connect dot!!Edward Mchagga kakufundisha Law School au TUDARCO ?
Ahahaha maswali hayo mie ndio siyataki...mambo ya ku connect dot!!
Naona una fatilia kwa makini mpenzi!!
Mtakuja tuletea na corona kaeni humuhumu nchiniKule kwenye mawese hakufai ndugu yangu.
Mara ya mwisho naonana naye alikuwa University of Pretoria, sasa sijui kama bado yuko huko au lah, maana aliikimbia awamu ya nne.
Hapana umejistukia tu mkuu.Ahahaha maswali hayo mie ndio siyataki...mambo ya ku connect dot!!
Poa poa kaka usiwaze...maelezo yale yanatosha.Hapana umejistukia tu mkuu.
Ahahaha poa poa
Kuna kipindi Kama 2017 au 2018 nilikutana na Kuna mtu alinieleza alikuwa amefunngua ofisi ya uwakili!Kule kwenye mawese hakufai ndugu yangu.
Mara ya mwisho naonana naye alikuwa University of Pretoria, sasa sijui kama bado yuko huko au lah, maana aliikimbia awamu ya nne.
Sawa,Ndio maana nimesema nasikia, kwani sina uhakika.Ahsante kwa taarifa.
Daah! Jamaa mjivuni kweli.Umenikumbusha Prof. Mutayoba alivyokua akijisia kuwa kitanda chake kina bahati sana maana kinabeba degree 8 kwa pamoja..
Hapo akimaanisha Yeye na mke wake, maana wote ni Ma proffesa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera zake sana.Kuna kipindi Kama 2017 au 2018 nilikutana na Kuna mtu alinieleza alikuwa amefunngua ofisi ya uwakili!
enh bwanaHadi DS ulipiga plain karai mkuu?, nomaa😀😀😀
Wanafunzi wa UDOM wote wanatamani wangesoma UDSM. Degree ya UDOM inapaswa ilinganishwe na zoom collegeNenda na wewe kachukue kama rahisi,Walimu wote asilimia kubwa UDOM wametoka UDSM,we bwana achaga upuuzi wa kuandika chochote unachojisikia kwa kivuli cha JF,kuwa msomi mpuuzi wewe.We hujui degree watu wanavyopata kwa shida huko UDOM mpaka watu wanakesha L room afu mtu unakuja na upuuzi humu.Heshimu watu asee.Hivi ukikaa huko nawe utajiita Great Thinker???? Dahh Mjinga sana wewe jamaa.
Wanafunzi wa UDOM wote wanatamani wangesoma UDSM. Degree ya UDOM inapaswa ilinganishwe na zoom collegeNenda na wewe kachukue kama rahisi,Walimu wote asilimia kubwa UDOM wametoka UDSM,we bwana achaga upuuzi wa kuandika chochote unachojisikia kwa kivuli cha JF,kuwa msomi mpuuzi wewe.We hujui degree watu wanavyopata kwa shida huko UDOM mpaka watu wanakesha L room afu mtu unakuja na upuuzi humu.Heshimu watu asee.Hivi ukikaa huko nawe utajiita Great Thinker???? Dahh Mjinga sana wewe jamaa.