Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 49,855
Professor Kopoka UDSM mzee wa DS na notice...mnaandika notice mpaka mkione wakati huo alikuwa Dr....why Europe underdeveloped Africa.
Mihayo udsm mzee wa philosophy mzee wa ufilipino mzee wa kodrai
Maisha ya chuo kuna namna ukiyakumbuka yanafurahisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kuchangia huu uzi nikakereka kuona mtoa maada hajawataja wahadhiri wake... acha kutuchoresha weweJamani, ni hulka ya wanadamu kutotangaza mema ya watu lakini wepesi sana kutangaza mabaya ya watu.
Hivi karibuni kuna madaktari kadhaa walitangazwa na wanafunzi wao kwa ubaya sana! Sijui kama tuhuma walizotangazwa kwazo zilikuwa na ukweli au la!
Huu uzi naomba tufanye kinyume, tuwaseme wakufunzi wetu wa vyuo vikuu kwa majina yao kwa namna walivyo 'committed', 'fair' na mahiri ktk kutoa mashule na hata walivyo fair ktk kutoa na ku'mark' mitihani yenu! Niishie hapo
Professor Kopoka UDSM mzee wa DS na notice...mnaandika notice mpaka mkione wakati huo alikuwa Dr....why Europe underdeveloped Africa.
Mihayo udsm mzee wa philosophy mzee wa ufilipino mzee wa kodrai
Maisha ya chuo kuna namna ukiyakumbuka yanafurahisha
Sent using Jamii Forums mobile app