Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,764
- 13,815
Temu ni shida.Munishi ninamkumbuka vizuri mkuu,alinifundisha na aina fulani ya Prof ambae hana kujivuna,yuko simple sana
Hah umenikumbusha mbali Sana Yule mzee (munishi) alikuwa hapendi kufanya maisha yawe magumu, akifundisha mpaka mitihani yake unaeza sema maisha ndio haya sasa 😂
Let's meet at the top, cheers 🍻