Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Sokoine University of Agriculture (SUA)

Prof/Mama Apollinaria Pereka Dept. Physiology
Prof. R.J Assey , Dept. Anatomy
Prof. RPC Temu Coll. Forestry
Prof. Pantaleo KT Munishi Coll. Forestry
Prof. Vedasto Ndibalema Dept. Wildlife
Prof. Shombe Dept. Wildlife
Prof .RPC Temu nitamkubali mpaka kesho.Alikuwa na msemo wake mmoja"Mimi ndio botanist nikiebaki Tanzania nzima,tulikuwa wawili mwenzangu amekufa"😃😃
 
Dk. flani hapa chuo namkubali sana. Siku moja akadai
"Mlivyo wanafiki chupi mnaita nguo ya ndani na matako mnaita makalio. Tako ni tako tu, kalio jina. Mbona sijawahi kusikia miguu mnaita matembeleo"
😂😂😂😂😂😂 hii kali
 
Nawapenda woteeee,kama Benson Barner,Lwaitama,Jingu ila nikimkumbuka Bashiru Ally miguu yote inaisha nguvu!
 
Dean of student pale UDOM-COED Dk Mlaki..asee Maza hujawah kunifundsha ila ulitulea Kama wanao..natafta hela nije nikupe zawadi nzuuuriii...Mr kwambaza..Mr yohana..Mr Mwenda..dah. ..Mungu awape maisha marefu Mara elfu hamsa....
nami naongeza kwa kuwataja dk.sungwa,Tito,dk tandika,dk kano,dk ndibalema,dk mgonja,prof. Kabigumila, dk mtahabwa,mkanachi,dk msangi wa ICT, mbabe mbaula, e.t.c
 
Ah namkumbuka professor Ludovik krosnovik kutoka Petersburg R.U, huyu prof alikuwa fair sana kwa wanafunzi waafrika
Na professor Anna Gilardo toka university of paldova italy, huyu mama ana vi project vyake rwanda bas alinipa shavu la internship pale Gisenyi
 
Prof .RPC Temu nitamkubali mpaka kesho.Alikuwa na msemo wake mmoja"Mimi ndio botanist nikiebaki Tanzania nzima,tulikuwa wawili mwenzangu amekufa"😃😃

😂Haha msemo wake wa miaka nenda rudi huo,..sema sio uongo kile kichwa botany imelala pale.,nilimuinulia mikono zaidi wakati wa field.

Unamkumbuka prof, Munishi ?


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
😂Haha msemo wake wa miaka nenda rudi huo,..sema sio uongo kile kichwa botany imelala pale.,nilimuinulia mikono zaidi wakati wa field.

Unamkumbuka prof, Munishi ?


Let's meet at the top, cheers 🍻
Temu ni shida.Munishi ninamkumbuka vizuri mkuu,alinifundisha na aina fulani ya Prof ambae hana kujivuna,yuko simple sana
 
Dkt Hamza Mkai (r.i.p) alikuwa anasema dont complicate things. Thiings are'nt hard as u think

Dr Chris Mauki guidence and counselling hakika jamaa anaifanya kazi yake kutoka damuni. The guy was soo smat in presentation even exams

Dr Mashindano.

Good bless them

Sent using Jamii Forums mobile app
Dr Mashindano yupi?Yule aliyekuwa anafundisha watu wa Economics huko

Nimecheka sana yule jamaa kuna siku alikuja class kutufundisha EC 116 nadhani ni Principles of Economics 11 amejaza mafunguo zaidi ya ishirini

Sijawahi kumuelewa darasani hata siku moja,Ni kama anaongea mwenyewe

Wale waliosoma enzi hizo Udsm watamkumbuka sana ingwa hakuwa mwalimu wetu
 
Nina swali fikirishi kidogo,hivi kwa nini maprof wa zamani walikuwa na mvi mvi kuashiria umri umekwenda?
Vyuo havikuwa na succes plan ya idara ,department na facult ?
Au ndio uoga wa kuitumia maarifa mtaañi wakawa wanaomba wenyewe wafanye kazi kwa mkataba.
 
Professor Kopoka UDSM mzee wa DS na notice...mnaandika notice mpaka mkione wakati huo alikuwa Dr....why Europe underdeveloped Africa.

Mihanjo udsm mzee wa philosophy mzee wa ufilipino mzee wa kodrai

Maisha ya chuo kuna namna ukiyakumbuka yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
La Kopoka !Yule Mzee Kuna Rika aliruka ....nafikiri miaka 18 -35,kwa kuwa matendo ya umri ule alikuja kuyafanya akiwa na 50'
 
S/M Muharango:- Mwl. David Mkangara (Hisabati na Kiingereza), Alfred Ohongo Nsabo - Kiingereza na Maarifa ya Jamii, Jumanne Mgika - Kiswahili, Monica Mashauri - Kuandika na Kiswahili, Werema Musira - Kuhesabu, Kuandika, Hisabati na Sayansi, Azaria Maganya - Kiingereza na Maswe Maswi - Hisabati

Nyamagaro Shule ya Upili
Jovinally Oyaki Masisi -Fizikia, Kemia na Hesabu), *Mbai Seruka-Hesabu, Kemia na Fizikia, Florence Magambo -Kemia na Bailojia, *Alfred - Hesabu na Kemia, *Benjamin Harrison ( Thomas) -Fizikia na Hesabu, *David Marwa -Hesabu na Fizikia, *Ezekiel Baraka - Kiingereza na Kiswahili, *Johana Marwa -Kiswahili, *Eziekiel Machumu Chatta - Bailojia na Kemia pamoja na *Advelina Shilangila (Shingisha) Kiingereza na Jiografia alikuwa pia ni Mhadhiri wa Chuo cha Mt. Augustino cha Mwanza
 
Jamani, ni hulka ya wanadamu kutotangaza mema ya watu lakini wepesi sana kutangaza mabaya ya watu.

Hivi karibuni kuna madaktari kadhaa walitangazwa na wanafunzi wao kwa ubaya sana! Sijui kama tuhuma walizotangazwa kwazo zilikuwa na ukweli au la!

Huu uzi naomba tufanye kinyume, tuwaseme wakufunzi wetu wa vyuo vikuu kwa majina yao kwa namna walivyo 'committed', 'fair' na mahiri ktk kutoa mashule na hata walivyo fair ktk kutoa na ku'mark' mitihani yenu!

Kama hukujariwa kufika chuo kikuu ww muweke mwalimu aliyekufurahisha kwa umahiri wake wa kufundisha ktk kiwango cha juu kabisa cha cha elimu ulichofikia!

Tafadhari bandugu, muelezee kidogo kivipi alikufurahisha ili kama atajua basi atiwe moyo na hayo afanyayo! Kumbuka tukitaka kuwananga huwa walimu wetu kwa ubaya huwa hatuishii kutaja majina tu bali tunaelezea kwa kirefu hata kujaza gazeti. Leo eleza hata kwa mstari mmoja tu kumjurisha alivyougusa moyo wako! Niishie hapo
Prof.Shirima A.k.a Mabenzi aaah jamaa alikuwa akikufundisha somo la Building Materials daah utazani kavumbua yeye.Bila kusahau prof.Msambichaka mtaalamu wa Theory of structures
 
Back
Top Bottom