Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
1.kusoma huku umeweka miguu kwenye ndoo ya maji
2.kulala na godoro darasani..........
3.kuimba nyimbo........za kukkremishaaaaaaaa
4.kulala na madaftari darasani.....
5.kuzuzurura usiku na mchana ukiuuulizia feki
6.kwa wale tuliosoma science kulalili majibu yote kwenye abort na lambart na kukalili majibu ya solving ya mwalimu mbuga wa biology na physics mwalimu mbuga hawa wote wanafundisha tution mchikichini
7.kwa wale wa hesabu kukalili maswali ya solving yale ya aiden mwalimu wa mchikichini
sasa baada ya hapa unaweza kuendeleaaaa
2.kulala na godoro darasani..........
3.kuimba nyimbo........za kukkremishaaaaaaaa
4.kulala na madaftari darasani.....
5.kuzuzurura usiku na mchana ukiuuulizia feki
6.kwa wale tuliosoma science kulalili majibu yote kwenye abort na lambart na kukalili majibu ya solving ya mwalimu mbuga wa biology na physics mwalimu mbuga hawa wote wanafundisha tution mchikichini
7.kwa wale wa hesabu kukalili maswali ya solving yale ya aiden mwalimu wa mchikichini
sasa baada ya hapa unaweza kuendeleaaaa