Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
hebu chekini hii
Hilo ni pepo in action, shindwa kwa Jina la Yesu. :dance:
Tanzania Itajengwa na Watanzania Wazalendo
Nimewahi kuona waraka wa siri kama huu wa umoja wa madhehebu ya kikristo pia. Ukisoma kwa makini utagundua walioandika nyaraka hizi si viongozi wa juu wa dini. Inawezakana ikawa ni kikundi kidogo tu cha watu wanaotaka kuleta udini ndani ya nchi yetu na pengine si waumini wa dini husika lengo ikiwa ni kuleta uchochezi na kuwagawa watz kwa misingi ya dini. Tuwapuuze watu wanaoandaa nyaraka kama hizi.
Hata mimi niko na wewe tusipoteze muda kuajadili hayo maana hatuna uhakika waliojiandisha wana msimamo gani hayo ni mawazo potofu.
hebu chekini hii
mkuu,hiuu ni upumbavu mtupu hgalafu ndio hawa hawa wanaokosa ada za kusomesha watoto wao ndio hao hao wakezao wanaolala 2 kwenye kitanda kimoja au chini kwenye hospitali hilo hawalioni wanaendekeza udini yeyote anayeunga mkono waislamu walioandaa waraka huu basi huyo hana akili. wapuuzeni hawa watu. nisingependa niseme sana nahisi kuwatukana
siangalii kama mimi ni dini gani ila nahitaji mabadiliko na Sera za Chadema zina mabadiliko ya kweli Slaa ndiye chaguo bora CCM na J.K ni Bora chaguo