MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,394
Kutoka mtandaoni
Aliyezungushiwa Duara Katika watu waliosimama ni Mmoja wa wajumbe wa Kituo cha sheria na haki za binaadam, ambaye pia ni mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba (JUKATA), ambaye pia ni mwenyekiti wa asasi ya kiraia inayojihusisha na deni la taifa ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu wa zamani wa CHADEMA wa zamani, ambaye pia ni mume wa mbunge wa viti maalum wa CHADEMA bwana Hebron Mwakagenda, akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa chama chake cha CHADEMA baada ya kuzindua sera ya chama hicho.
Hata hivyo kesho na kesho kutwa Bwana Mwakagenda hachelewi kufanya press conference na kujidai mwanaharakati asiye na chama cha siasa huku akimkandia Rais Magufuli.
Waswahili wanasema Njia ya Muongo fupi.
Aliyezungushiwa Duara Katika watu waliosimama ni Mmoja wa wajumbe wa Kituo cha sheria na haki za binaadam, ambaye pia ni mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba (JUKATA), ambaye pia ni mwenyekiti wa asasi ya kiraia inayojihusisha na deni la taifa ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu wa zamani wa CHADEMA wa zamani, ambaye pia ni mume wa mbunge wa viti maalum wa CHADEMA bwana Hebron Mwakagenda, akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa chama chake cha CHADEMA baada ya kuzindua sera ya chama hicho.
Hata hivyo kesho na kesho kutwa Bwana Mwakagenda hachelewi kufanya press conference na kujidai mwanaharakati asiye na chama cha siasa huku akimkandia Rais Magufuli.
Waswahili wanasema Njia ya Muongo fupi.