mumewanguu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 261
- 259
Nina ndugu yangu alienda pima akakutwa yupo hebatitis b positive, doctor akamwambia kua hatakaa apone,akaanza dozi akatumia ndani ya mwaka mzima ,juz kaenda kuchukua dawa watu wa ctc wanamhoji kwann haponi na wenzie wanapona,Sasa tushike lipi huu ugonjwa unapona au hauponi? msaada wataalam mliopo humu