Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Tunaelewa kuwa moyo kazi yake ni ku pump damu safi kwenda sehemu zote za mwili na kupokea damu chafu na juu pump iende kwenye mapafu.
Moyo unaweza supply yake ya damu, mirija yake inaitwa coronary arteries na coronary vains.
Kwa wale wenye mafuta ya ziada mwilini na wabeba vi fridge, kuna hatari ya morons hii kuzibwa na mafuta. Moyo ukikosa supply ya damu ndiyo inaitwa hear attack. Heart attack inaweza kusababishwa na kupasuka kwa mirija hiii kutokana na hypertension.