Headlines za leo za MWANACHI na THE CITIZEN ni uhalisia au ni unafiki uliopitiliza?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,073
107,563
Tangia nianze kuyafahamu haya Magazeti ambayo pia nimegundua kuwa yana mlengo wa Kiupinzani zaidi sijawahi hata siku moja kuona yakija na Headlines njema kuhusu Bajeti zote za Tanzania hasa kwa miaka yote ya huko nyuma ila kwa Headlines zao za leo imebidi nishtuke kidogo na kuuliza je wanawakilisha Uhalisia au wanazidisha tu Unafiki wao uliotukuka kwa Serikali ya CCM kwa gharama ya Wapinzani wanaowapenda?

MWANANCHI la leo wameandika " Ni bonge la Bajeti "
THE CITIZEN la leo wameandika " It's a feel good Budget "

Nawasilisha.
 
Bonge la Bajeti: Haielezi ni upande upi utakao faidika.
It's a feel good Budget: for which side?
Vichwa vyote villikuwa vinamsemea nani, mimi sikuwatuma wanisemee labda wewe lakini sidhani, hayo ni maoni yao binafsi hivyo yaheshimiwe nawe pia toa yako.
 
Tangia nianze kuyafahamu haya Magazeti ambayo pia nimegundua kuwa yana mlengo wa Kiupinzani zaidi sijawahi hata siku moja kuona yakija na Headlines njema kuhusu Bajeti zote za Tanzania hasa kwa miaka yote ya huko nyuma ila kwa Headlines zao za leo imebidi nishtuke kidogo na kuuliza je wanawakilisha Uhalisia au wanazidisha tu Unafiki wao uliotukuka kwa Serikali ya CCM kwa gharama ya Wapinzani wanaowapenda?

MWANANCHI la leo wameandika " Ni bonge la Bajeti "
THE CITIZEN la leo wameandika " It's a feel good Budget "

Nawasilisha.
wewe shida yako ni nini
 
Sasa huo si ndiyo Unafiki wenyewe au?

7ba8abf269746353e8d425dc0d09f48e.jpg
huu ndio "unafiki"
 
wewe shida yako ni nini

Unafiki wao uliotukuka kwani kwa MWANANCHI na THE CITIZEN ninayoyajua Mimi hawawezi hata siku moja kuja na Headlines kama hizi za leo. Fuatilia kwa umakini kabisa Headlines zao zote katika Bajeti zote za huko nyuma na ukianza na ile ya mwaka jana ndipo utajua kuwa walichokuja nacho leo ni Unafiki mtupu.
 
nitakuwa mnafki nisipoisifia hii bajeti kwenye leseni ya Barabara imenigusa mno
 
Unafiki wao uliotukuka kwani kwa MWANANCHI na THE CITIZEN ninayoyajua Mimi hawawezi hata siku moja kuja na Headlines kama hizi za leo. Fuatilia kwa umakini kabisa Headlines zao zote katika Bajeti zote za huko nyuma na ukianza na ile ya mwaka jana ndipo utajua kuwa walichokuja nacho leo ni Unafiki mtupu.
Kosa lao ni nini wakati hata ndugai mwenyewe anasema haijawahi tokea?
Wewe hukuona mpaka Wabunge waliinuka kuomba ccm! Ccm! Ccm! Ccm! Ccm!
 
Tangia nianze kuyafahamu haya Magazeti ambayo pia nimegundua kuwa yana mlengo wa Kiupinzani zaidi sijawahi hata siku moja kuona yakija na Headlines njema kuhusu Bajeti zote za Tanzania hasa kwa miaka yote ya huko nyuma ila kwa Headlines zao za leo imebidi nishtuke kidogo na kuuliza je wanawakilisha Uhalisia au wanazidisha tu Unafiki wao uliotukuka kwa Serikali ya CCM kwa gharama ya Wapinzani wanaowapenda?

MWANANCHI la leo wameandika " Ni bonge la Bajeti "
THE CITIZEN la leo wameandika " It's a feel good Budget "

Nawasilisha.
Tangia =Tangu,tusiharibu lugha jamani
 
Kosa lao ni nini wakati hata ndugai mwenyewe anasema haijawahi tokea?
Wewe hukuona mpaka Wabunge waliinuka kuomba ccm! Ccm! Ccm! Ccm! Ccm!
mtu mwenye gari hasa zaidi ya moja, sidhani kama ataiona mbaya hii bajeti. Lejea washangiliaji bungeni......
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom