ndo maana nakupendauyo dada ana mawazo ya kitoto.ajakua.
so anataka kufanya uamuzi wa kuolewa na mtoto kisa anahofu ya kuolewa?DAH ET MTU MWENYEWE ANA MIAKA 24..nan alimwambia kuwai kuolewa ndo dili?..nan alimdanganya HAKUNA MAISHA BILA NDOA?
mwambie atulie....kuolewa the same age ni hatar mbelen...utazeeka wakat mwenzako akiwa yank na kuanza kurun na vschana uko nje kwa kukuona wewe ajuza....apo utaumia moyona utajiunga kanisa la kakobe bilakupenda
wanaume weng wanachelewa kukua/kumature so kuwa na mtu wa miaka 24 ni sawa na kuwa namtu wa miaka 22 kifikra so apo tegemea mizozo isokwsha...cz AJAKUA BADO MWANAUME WA KUJUA YOUR POSITION NA POSITION YAKE....BT ukiolewa na aliyekuzid umri eg miaka 4 ,5,6 hali inakuwa shwar cz at least anajua position yake na ivyo migongano ya kila mtu kutaka kuonyesha mkubwa zaid ya mwenzake inakuwa imepungua
Tatizo lenu vijana wasiku hizi mnakimbiliana kufanya ngono watu ambao hata hamjui wana nia gani na nyie, kama mngekuwa kama wakati wetu ambapo hakuna kugusana mpaka baada ya ndoa kusingekuwa na tatizo, maana mtu hata asipokuoa si bado uko pure una wasiwasi gani, na isitoshe Mungu anakuwa upande wako maana hungemkosea na wakati unapofika anakupatia wa kwako. SASA HUYO DADA KAMA ANAWEZA KUJITUNZA ASIWE NA WASIWASI NA HUYO AGEMATE WAKE, AHAKIKISHE ANAMPA TUNDA SIKU YA NDOA NA SIO VINGINEVYO
I don't mean to offend any one but, nikisoma hii komment naona mhusika ana umri mkubwa na hajaolewa bado, anajifariji kuwa kuna maisha bila ndoa, something which is not true katika akili za mwanamke yoyote yule including herself..every womans dream is to be marrieduyo dada ana mawazo ya kitoto.ajakua.
so anataka kufanya uamuzi wa kuolewa na mtoto kisa anahofu ya kuolewa?DAH ET MTU MWENYEWE ANA MIAKA 24..nan alimwambia kuwai kuolewa ndo dili?..nan alimdanganya HAKUNA MAISHA BILA NDOA?
mwambie atulie....kuolewa the same age ni hatar mbelen...utazeeka wakat mwenzako akiwa yank na kuanza kurun na vschana uko nje kwa kukuona wewe ajuza....apo utaumia moyona utajiunga kanisa la kakobe bilakupenda
wanaume weng wanachelewa kukua/kumature so kuwa na mtu wa miaka 24 ni sawa na kuwa namtu wa miaka 22 kifikra so apo tegemea mizozo isokwsha...cz AJAKUA BADO MWANAUME WA KUJUA YOUR POSITION NA POSITION YAKE....BT ukiolewa na aliyekuzid umri eg miaka 4 ,5,6 hali inakuwa shwar cz at least anajua position yake na ivyo migongano ya kila mtu kutaka kuonyesha mkubwa zaid ya mwenzake inakuwa imepungua
I don't mean to offend any one but, nikisoma hii komment naona mhusika ana umri mkubwa na hajaolewa bado, anajifariji kuwa kuna maisha bila ndoa, something which is not true katika akili za mwanamke yoyote yule including herself..every womans dream is to be married