Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,124
- 7,433
Dr Dre na mke wake .... More than 27 years Ila wapo kwenye vugu vugu la kuachana sembuse wewe na hicho kidubwna chako....kwa Hiyo hapo unaliwa Taimingi 😂😂😂
Kwanini watu wapo negative kiwango hiki kuhusu mahusiano, hili lina justify kwamba wanaume wote hawafai? Ama wanawake wote hawafai.?
Comments zote nimesoma hapo juu ni za kukatisha tamaa, yamaanisha hata ninyi mloandika ni wenza wabovu kwa wapenzi wenu, sivyo?
Kwamba haiwezekani watu wawili wakapendana zao kwa dhati, upendo wa kweli usio na mawaa regardless ya wamekutana wapi, hivi haiwezekani kabisa.?
Na wewe utaachwa tuHa haaa nishtaki
Nimeshaachwa kitamboNa wewe utaachwa tu
Wife unanisaliti, mbona sijakuacha?Ha haaa nishtaki
Nimeshaachwa kitambo
Mi najua umeniacha jamani. Nyumbani huonekani lohWife unanisaliti, mbona sijakuacha?
Mrekodi sasa connection yenu ili tuwaoneNi Mimi na mpenzi wangu niliempata kupitia jukwaa hili Sasa jamani tushafikisha miezi sita na bado hatujaachana wale mliosema tutaachana mwezi hauishi sijui mna neno gani la kutuambia
Tushapelekana kwa wazazi. Tunategemea kuanza maisha muda wowote kuanzia Sasa je tutakuwa tumewahi
Nishawajua nduguze wengi wazazi na ndugu wa Karibu pia Mimi anawajua baadhi ya ndugu zangu
Kipi bora
Ndoa ya kanisani
Ndoa ya serikali
Sogea tuishi?
Faida na hasara KWA Aina ya ndoa utakayoitaja
Tupo tayari kwa ndoa yeyote kwasasa Mana tunahitajiana, sherehe na manjonjo mengi hatutaki sana kikubwa tunahitajiana sisi tu.
Refer ✓
He has done so much for me, I can't tell it all. Narekelema
Sijui watakua washafika huko walikokua wanaenda?Hongera mwaya, Mungu awasaidie mfike muendako
Kwani wanaenda wapi?Sijui watakua washafika huko walikokua wanaenda?
Hata mi cjajua.nimeona tu wanapewa kila la kheri waendakoKwani wanaenda wapi?