Nasiche
JF-Expert Member
- Jun 18, 2019
- 291
- 732
- Thread starter
- #181
Nipe mawazo yakoYooote ulio yataja bado haya kuhakikishii kwamba utaolewa nae, na kama unabisha niulize mimi...
By the way, naona kama umekuja kuwa dokushia watu flani walio wahi kuku/kuwa diss....
Anyway, ili kufikia ndoa inahitaji mambo mengi kidogo na hasa uvumilivu na kujitoa/kuvhukuliana. Ndoa haipimwi kwa kujuana na ndugu, kupelekwa kwa wazazi na vitu kama hizo.
Ebu basi muombea Mungu awafanyie wepesi ili mfikie kwenye ndoa na muishi hadi mzikane.