AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,893
my wife ameajiriwa tangu mwaka jana ofisi fulani ya serikali, walikaa miazi kama miwili bila kupata mshahara, tangu aajiriwe mwezi November 2012 mshahara wameanza kulipwa mwezi wa pili. kwa mwaka sasa, mshahara wake wa mwezi wa kumi na moja na wa kumi na mbili wanazungushwa. ninaamini wapo wafanyakazi wa aina hii wengi, nimemwambia afuatilie anasema wanamwambia kuwa watapata kwenye madai watakayoingiziwa kwenye account. ni mwaka sasa wanapewa story hiyohiyo tu. INAWEZEKANA PALE HAZINA WAMEKULA MSHAHARA WAO? ni njia gani ya haraka kuwakamata hawa wezi, haiwezekani jasho la my wife la miezi miwili liende hivihivi. kwenye mwenye fununu atusaidie tufanyeje jamani.