Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,259
- 9,176
Mjini mipango,ukiwa uko vizuri kuna walio vizuri zaidi yako.
Pamoja na uwezo mkubwa kimpira ilio nao Juventus kule Italy,ilithibitika kuwa ubingwa wa 2007(6?) Ni ilikuwa inahonga marefa kupata upendeleo uwanjani. Wakashushwa daraja mpaka walipopanda Tena na kuwika.
Kwa hiyo pamoja na mtukuwa vizuri hakumzuii kujiongeza.
Mtihani was la Saba 2018 Hazina na wenzie wenye afya walidakwa kwa kujiongeza,sio kuwa watoto hawako vizuri hapana,wapinzani wao wako vizuri pia. Watoto walitungiwa mtihani upya ,sijui ikawaje.
Naulizia tu walipopelekwa mahakamani updates zikoje?
Pamoja na uwezo mkubwa kimpira ilio nao Juventus kule Italy,ilithibitika kuwa ubingwa wa 2007(6?) Ni ilikuwa inahonga marefa kupata upendeleo uwanjani. Wakashushwa daraja mpaka walipopanda Tena na kuwika.
Kwa hiyo pamoja na mtukuwa vizuri hakumzuii kujiongeza.
Mtihani was la Saba 2018 Hazina na wenzie wenye afya walidakwa kwa kujiongeza,sio kuwa watoto hawako vizuri hapana,wapinzani wao wako vizuri pia. Watoto walitungiwa mtihani upya ,sijui ikawaje.
Naulizia tu walipopelekwa mahakamani updates zikoje?