naamini ni haki ya wananchi kuonyesha pia hisiozao kuwa hawakufurahsihwa na uchakachuaji wa matokeo ya uchaguzi uliopita.
mkwere hatapata shida hapo mjengoni tu, anasubiriwa na ZOMEA ZOMEA MIKOANI...!!
Ni lazima sasa wamtajie "don`t go areas" - Mbeya, arusha, mwanza, moshi, kigoma, nk...! Ziara zitakuwa ngumu mno.
kwani kuchaguliwa waziri kwenye kipindi hiki hata ni raha tena - hiyo ZOMEA ZOMEA itanyima waheshimiwa raha kabisa.
Tena ninavyoona wameanza kutuonyesha sisi ni wajinga - kuchagua marafiki - kuwapa posti - itakuwa ngumu marafiki hawa kupita njiani.
Sijui waziri wa afya au elimu alikuwa arusha, au sijui mbeya - itakuwa sio kitu cha fahari tena.
Ni ngumu kuongoza kwa nguvu watu ambao hukuwa chaguo lao.
Hata hivyo kipimo cha mwisho ni kama wataendeleza uswahili na hadithi kama kipindi kilichopita. Hapa sasa itakuwa ngumu zaidi.
Huu ni ushauri wa bure!!!
mkwere hatapata shida hapo mjengoni tu, anasubiriwa na ZOMEA ZOMEA MIKOANI...!!
Ni lazima sasa wamtajie "don`t go areas" - Mbeya, arusha, mwanza, moshi, kigoma, nk...! Ziara zitakuwa ngumu mno.
kwani kuchaguliwa waziri kwenye kipindi hiki hata ni raha tena - hiyo ZOMEA ZOMEA itanyima waheshimiwa raha kabisa.
Tena ninavyoona wameanza kutuonyesha sisi ni wajinga - kuchagua marafiki - kuwapa posti - itakuwa ngumu marafiki hawa kupita njiani.
Sijui waziri wa afya au elimu alikuwa arusha, au sijui mbeya - itakuwa sio kitu cha fahari tena.
Ni ngumu kuongoza kwa nguvu watu ambao hukuwa chaguo lao.
Hata hivyo kipimo cha mwisho ni kama wataendeleza uswahili na hadithi kama kipindi kilichopita. Hapa sasa itakuwa ngumu zaidi.
Huu ni ushauri wa bure!!!