STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,205
Nimemkuta rafiki yangu analia kama mtoto mdogo
chumbani kwake;
MIMI: Oya mshkaji vipi tena nani kafa?
MSHKAJI: Yaani Doreen kaniuwa, hivihivi bila kosa
kaniuwa
MIMI: Hebu tulia nambie ishu nzima
MSHKAJI: Si unajua nimekuwa namlipia Doreen ada
toka sekondari mpaka sasa yuko chuo nikijua ndio
niko peke yangu na nitamuoa?
MIMI: Ndio
MSHKAJI: Jana nikataka kuangalia kanisevu nini
kwenye simu yake
MIMI: Ok
MSHKAJI: Si kanisevu eti Mchungaji Peter 12
MIMI: Sasa tatizo liko wapi
MSHKAJI: Nilipoangalia majina mengine sinimekuta
kuna Pasta Maige, Pasta Jay wa misimo, Askof edwin,
na kuna Mchungaji Peter 1 mpaka mimi wa 12, wakati hata siku moja haendi kanisani wala maombi
MIMI: Dah endelea kulia mwanangu
chumbani kwake;
MIMI: Oya mshkaji vipi tena nani kafa?
MSHKAJI: Yaani Doreen kaniuwa, hivihivi bila kosa
kaniuwa
MIMI: Hebu tulia nambie ishu nzima
MSHKAJI: Si unajua nimekuwa namlipia Doreen ada
toka sekondari mpaka sasa yuko chuo nikijua ndio
niko peke yangu na nitamuoa?
MIMI: Ndio
MSHKAJI: Jana nikataka kuangalia kanisevu nini
kwenye simu yake
MIMI: Ok
MSHKAJI: Si kanisevu eti Mchungaji Peter 12
MIMI: Sasa tatizo liko wapi
MSHKAJI: Nilipoangalia majina mengine sinimekuta
kuna Pasta Maige, Pasta Jay wa misimo, Askof edwin,
na kuna Mchungaji Peter 1 mpaka mimi wa 12, wakati hata siku moja haendi kanisani wala maombi
MIMI: Dah endelea kulia mwanangu