Hayati Sokoine: Muasisi wa daladala Tanzania

in deed, japo kuna shida hapo aliposema inasemekana Sokoine hakuwa kulala hata siku moja wakati wa vita.

kwa nijuavyo, binadamu akikosa usingizi muda mrefu anaanza kupata matatizo mfano maluwe luwe nk, na hayupo binadamu ambaye hajalala mwaka na zaidi, unakufa ikitokea umekosa usingizi muda mrefu sana.

uzi ni mzuri lakini
Kuna muda nilikosaga usingizi miezi miwili yaan usiku na mchana
 
Maelezo mazuri. Ila hapo kwenye kutolala mpaka vita ilipoisha, ninamashaka napo.
 
ndivyo mtoa mada alichosema
Ahsante kwa kumbukumbu, ila kuna sehemu nahisi haiko sawa, ni kwenye neno daladala, nijuavyo neno daladala lilitokana na na sarafu ya shilingi tano ilopewa jina la dala, kwa hiyo baada ya nauli kuwa ni shilingi tano tano ambayo ni dala, ndipo hapo makondakta wakawa wakiita abiria, kwa kusema nawanukuu, Temeke mwisho daladala au posta ya zamani daladala na mfanowe, ma ndipo hizo gari zikabatizwa jina la daladala ambalo limedumu mpaka leo hii.
Huo ndio ufahamu wangu kwa kipengele hicho.
 
Back
Top Bottom