GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Nisipokuta sehemu yoyote ile katika Kitabu anachoenda Kukizindua Keshokutwa (Jumamosi tarehe 8 May, 2021) Rais Mstaafu Mzee Mwinyi amekiri kuwa Awamu yake ndiyo 'Baba wa Rushwa' nchini Tanzania sitokinunua na nitakipuuza pia.
Mwenzake Rais Mstaafu (sasa Hayati) Mzee Mkapa nae katika Kitabu chake alichokizindua alikiri wazi wazi kuwa katika Uongozi wake aliteleza katika Suala zima la Ubinafsishaji na hata Kutuomba Radhi Watanzania na tukamuelewa na hata Kukinunua kwa wingi tu.
Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali ukitoka tu katika Hafla hiyo ya Kuzindua Kitabu cha Rais Mstaafu Mzee Mwinyi wahi Uwanja wa Mkapa ukashuhudie Timu yako pendwa na ya Mumeo Hafidh Ameir ya Simba SC inavyoenda 'Kumuua' Mtu ili atuheshimu Milele na washike Adabu zao.
Mwenzake Rais Mstaafu (sasa Hayati) Mzee Mkapa nae katika Kitabu chake alichokizindua alikiri wazi wazi kuwa katika Uongozi wake aliteleza katika Suala zima la Ubinafsishaji na hata Kutuomba Radhi Watanzania na tukamuelewa na hata Kukinunua kwa wingi tu.
Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali ukitoka tu katika Hafla hiyo ya Kuzindua Kitabu cha Rais Mstaafu Mzee Mwinyi wahi Uwanja wa Mkapa ukashuhudie Timu yako pendwa na ya Mumeo Hafidh Ameir ya Simba SC inavyoenda 'Kumuua' Mtu ili atuheshimu Milele na washike Adabu zao.