Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,176
- 46,193
Wakuu heshima kwenu.
Nilikuwa Youtube nacheki baadhi ya hotuba za Mwalimu Nyerere nikakutana na hii ambayo alikuwa anatoa maneno makali kuhusu Viongozi au Wanasiasa "Malaya Malaya"..
Pia akaongezea kuwa JWTZ ni jeshi ya Wananchi na sio jeshi la vibaraka..Pia akang'aka kuwatafuta mmoja baada ya mwingine i.e hao "Malaya Malaya"..akimaanisha kuwa wananunulika kwa fedha.
Naomba kuuliza wakuu,Mwalimu alikuwa anawalenga kina nani?..na kilitokea kitu gani hadi kumfanya mwalimu awatafute mmoja baada ya mwingine hao "Malaya Malaya"??
Nilikuwa Youtube nacheki baadhi ya hotuba za Mwalimu Nyerere nikakutana na hii ambayo alikuwa anatoa maneno makali kuhusu Viongozi au Wanasiasa "Malaya Malaya"..
Pia akaongezea kuwa JWTZ ni jeshi ya Wananchi na sio jeshi la vibaraka..Pia akang'aka kuwatafuta mmoja baada ya mwingine i.e hao "Malaya Malaya"..akimaanisha kuwa wananunulika kwa fedha.
Naomba kuuliza wakuu,Mwalimu alikuwa anawalenga kina nani?..na kilitokea kitu gani hadi kumfanya mwalimu awatafute mmoja baada ya mwingine hao "Malaya Malaya"??