sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
Kwa wanaokumbuka hii habari ya watesi wa Kikwete ndio ilipelekea Magu ang'ake na kutaka wastaafu waachwe wapumzike.
Ilikuwa katika kongamano moja ambapo Jenerali Ulimwengu alitoa kauli ya kutaka Kikwete ashitakiwe kwa kutumia pesa za walipa kodi kwenye mchakato wa katiba bila katiba kukamilika.
Ni muda mchache baada ya Kikwete kutoka madarakani.
Tunakumbuka Kikwete alipoingia aliacha Mkapa achafuliwe mno bila kutoa tamko lolote. Ilifikia Mkapa aliitwa mahakamani kutoa ushahidi wa kesi ya balozi. Na pia aliwahi kupigwa mawe kule masaki na vijana wa kijiweni tu.
Kwa sasa Samia nae anasimamia kwa umahiri uchafuzi wa Magu akiamini umaarufu wa Magu utaamia kwake.
Lakini kama ambavyo Kikwete alishtuka dakika za mwisho ndivyo vivyo mwanafunzi wake samia pia atashtuka kukiwa kumekucha.
Ilikuwa katika kongamano moja ambapo Jenerali Ulimwengu alitoa kauli ya kutaka Kikwete ashitakiwe kwa kutumia pesa za walipa kodi kwenye mchakato wa katiba bila katiba kukamilika.
Ni muda mchache baada ya Kikwete kutoka madarakani.
Tunakumbuka Kikwete alipoingia aliacha Mkapa achafuliwe mno bila kutoa tamko lolote. Ilifikia Mkapa aliitwa mahakamani kutoa ushahidi wa kesi ya balozi. Na pia aliwahi kupigwa mawe kule masaki na vijana wa kijiweni tu.
Kwa sasa Samia nae anasimamia kwa umahiri uchafuzi wa Magu akiamini umaarufu wa Magu utaamia kwake.
Lakini kama ambavyo Kikwete alishtuka dakika za mwisho ndivyo vivyo mwanafunzi wake samia pia atashtuka kukiwa kumekucha.