Hayati Magufuli tayari ameandika hadithi yake, si jambo rahisi kuifuta

Leslie Mbena

JF-Expert Member
Nov 24, 2019
207
677
HAYATI RAIS JOHN MAGUFULI TAYARI AMEANDIKA HADITHI YAKE,SI JAMBO RAHISI KUIFUTA.

Leo 11:45hrs 11/04/2021

Mzee wetu Mzee Ally Hassan Mwinyi,alisema "Maisha ni hadithi tu"ewe mwanadamu kuwa hadithi nzuri,Hayati John Pombe Magufuli yeye tayari ameshaandika hadithi yake si jambo rahisi kuifuta unless ubomoe kila kitu alichowaza, alichofanya na alichojenga uanze zahanati 400 alizojenga,Shule zote za sekondari za zamani alizozijenga upya,kuiharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje meli 9 kubwa mpya alizojenga ziwa Tanganyika,Ziwa nyasa na ziwa Victoria,uvunje daraja la Busisi la Ziwa Victoria la kilomita tatu na nusu,na daraja baharini la kilomita moja Tanzanite pale Surrender,

Kuharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje Ubungo Exchange,uvunje stand za mabati mpya za kisasa alizojenga kila Mkoa katika mikoa yote 30,uvunje masoko makubwa mapya ya kisasa aliyojenga katika mikoa yote 30 ya Tanzania,uyavunje mandege 11,ubomoe reli ya Umeme na reli ya kwenda Moshi na Arusha,ubomoe madaraja na bwawa la Umeme la Rufiji zaidi ya hapo mtu kumchafua ni kupoteza muda tu,kwanza si nidhamu,si hekima,si busara na si Utamaduni wa Mtanzania.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Massa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii itafanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa litakuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuwa Mzalendo na ayafanyayo yapo damuni,ukimchana hivi damu yake ilikuwa inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi inayofanyika sasa na inayoonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2016 pale alipoanza kwa vitendo na watu waliita nguvu ya soda,lakini siki zilivyozidi kwenda watu waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu hii ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kujenga hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza,Kota za Magomeni takribani ghorofa 30 zenye ghorofa 10 kwenda juu,Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa
Ununuzi wa Ndege 11 Boeing,Airbus na Bomberdier
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.

Hayati John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2017 pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa ukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa Ujenzi wa barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga na hivi leo siku 25 baada ya kifo chake Rais Samia Suluhu Hassan anasaini kuanza kwa Ujenzi wa bomba hilo baada taratibu zote kukamilika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea.

Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa

Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.

Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa,

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)

Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.

Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.

Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.

Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.

Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.

-Tujikumbushe hadithi za Marais wengine wa Tanzania.

Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliandika hadithi kwa kuifanyia kazi taifa la Tanzania kwa miaka 23 na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Ally Hassan Mwinyi alihudumu miaka 10 ambapo alifanikiwa kupata stimula kwa ajili ya kufufua uchumi ulioharibiwa na Vita vya Uganda na Taifa likaanza kusimama tena baada ya athari ya vita vya Uganda.

Hayati Benjamin William Mkapa aliandika hadithi kwa kuhudumu miaka 10 alifanikiwa kuondoa gharama zisizobebeka za mashirika yaliyoleta hasara kwa kushindwa kuleta Gawio kwa Serikali tuliona taasisi za Serikali zikijengwa,na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Jakaya Kikwete ameandika hadithi ya kuhudumu kwa miaka 10,alifanikiwa kuanza kulipa Watumishi wa Umma baada ya kutaifishwa kwa mashirika ya Umma yaliyoitia hasara Serikali katika awamu ya tatu,Awamu ya nne ikaanza kusimama kwa miguu yake,hadithi yake ipo hata sasa.

Na sasa tunae Rais Samia Suluhu Hassan nae anaandika hadithi yake itakayoishi mioyoni mwa Watanzania.

Nimalizie kwa nukuu ya Mzee wetu na Rais wa Awamu ya pili,Ally Hassan Mwinyi kuwa "maisha ni hadithi" kila mtu anapaswa kuandika hadithi yake itayokaa mioyoni mwa Watanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Kichaa sio lazima aokote makopo

Naona baada ya Mzee kuondoka uhakika wa uteuzi haupo tena


Acheni mapambio hayupo tena

Ahaaa wewe una uchungu kuliko familia yake au?

Mkuu pambana na hali yako

Hiyo Masters ya Mzumbe haina msaada ni karatasi kama karatasi zingine, Itakuwa na kazi kama utakuwa na pesa
 
HAYATI RAIS JOHN MAGUFULI TAYARI AMEANDIKA HADITHI YAKE,SI JAMBO RAHISI KUIFUTA.

Leo 11:45hrs 11/04/2021

Mzee wetu Mzee Ally Hassan Mwinyi,alisema "Maisha ni hadithi tu"ewe mwanadamu kuwa hadithi nzuri,Hayati John Pombe Magufuli yeye tayari ameshaandika hadithi yake si jambo rahisi kuifuta unless ubomoe kila kitu alichowaza, alichofanya na alichojenga uanze zahanati 400 alizojenga,Shule zote za sekondari za zamani alizozijenga upya,kuiharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje meli 9 kubwa mpya alizojenga ziwa Tanganyika,Ziwa nyasa na ziwa Victoria,uvunje daraja la Busisi la Ziwa Victoria la kilomita tatu na nusu,na daraja baharini la kilomita moja Tanzanite pale Surrender,

Kuharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje Ubungo Exchange,uvunje stand za mabati mpya za kisasa alizojenga kila Mkoa katika mikoa yote 30,uvunje masoko makubwa mapya ya kisasa aliyojenga katika mikoa yote 30 ya Tanzania,uyavunje mandege 11,ubomoe reli ya Umeme na reli ya kwenda Moshi na Arusha,ubomoe madaraja na bwawa la Umeme la Rufiji zaidi ya hapo mtu kumchafua ni kupoteza muda tu,kwanza si nidhamu,si hekima,si busara na si Utamaduni wa Mtanzania.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Massa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii itafanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa litakuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuwa Mzalendo na ayafanyayo yapo damuni,ukimchana hivi damu yake ilikuwa inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi inayofanyika sasa na inayoonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2016 pale alipoanza kwa vitendo na watu waliita nguvu ya soda,lakini siki zilivyozidi kwenda watu waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu hii ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kujenga hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza,Kota za Magomeni takribani ghorofa 30 zenye ghorofa 10 kwenda juu,Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa
Ununuzi wa Ndege 11 Boeing,Airbus na Bomberdier
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.

Hayati John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2017 pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa ukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa Ujenzi wa barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga na hivi leo siku 25 baada ya kifo chake Rais Samia Suluhu Hassan anasaini kuanza kwa Ujenzi wa bomba hilo baada taratibu zote kukamilika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea.

Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa

Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.

Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa,

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)

Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.

Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.

Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.

Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.

Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.

-Tujikumbushe hadithi za Marais wengine wa Tanzania.

Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliandika hadithi kwa kuifanyia kazi taifa la Tanzania kwa miaka 23 na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Ally Hassan Mwinyi alihudumu miaka 10 ambapo alifanikiwa kupata stimula kwa ajili ya kufufua uchumi ulioharibiwa na Vita vya Uganda na Taifa likaanza kusimama tena baada ya athari ya vita vya Uganda.

Hayati Benjamin William Mkapa aliandika hadithi kwa kuhudumu miaka 10 alifanikiwa kuondoa gharama zisizobebeka za mashirika yaliyoleta hasara kwa kushindwa kuleta Gawio kwa Serikali tuliona taasisi za Serikali zikijengwa,na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Jakaya Kikwete ameandika hadithi ya kuhudumu kwa miaka 10,alifanikiwa kuanza kulipa Watumishi wa Umma baada ya kutaifishwa kwa mashirika ya Umma yaliyoitia hasara Serikali katika awamu ya tatu,Awamu ya nne ikaanza kusimama kwa miguu yake,hadithi yake ipo hata sasa.

Na sasa tunae Rais Samia Suluhu Hassan nae anaandika hadithi yake itakayoishi mioyoni mwa Watanzania.

Nimalizie kwa nukuu ya Mzee wetu na Rais wa Awamu ya pili,Ally Hassan Mwinyi kuwa "maisha ni hadithi" kila mtu anapaswa kuandika hadithi yake itayokaa mioyoni mwa Watanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Asante tumekupata vizuri.
 
Aisee tutamisi ile misifa..." Nimetoa pesa..." "Tunamshukuru Mh.JPM ametoa pesa"....
Ni kweli kaacha maboma na majengo mengi afya ambapo vifaa ni agali zaidi x10 ya jengo.
Kawatapeli vijana eti wanyonge wafanye biashara popote,kaongeza wazururaji,vibaka,wazembe hili bomu litagarimu miaka kuweka sawa.Ili hali nguvu soko ikidumazwa na kushuka watu kupoteza ajira,hakuna ajira mpya uwekezaji kudumaa na kupungua.
 
Ndio.
Nakumbuka pia lwandamagere aliwahi kuandika hadithi yake huku jinsi alivyokuwa anaua watu.
 
HAYATI RAIS JOHN MAGUFULI TAYARI AMEANDIKA HADITHI YAKE,SI JAMBO RAHISI KUIFUTA.

Leo 11:45hrs 11/04/2021

Mzee wetu Mzee Ally Hassan Mwinyi,alisema "Maisha ni hadithi tu"ewe mwanadamu kuwa hadithi nzuri,Hayati John Pombe Magufuli yeye tayari ameshaandika hadithi yake si jambo rahisi kuifuta unless ubomoe kila kitu alichowaza, alichofanya na alichojenga uanze zahanati 400 alizojenga,Shule zote za sekondari za zamani alizozijenga upya,kuiharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje meli 9 kubwa mpya alizojenga ziwa Tanganyika,Ziwa nyasa na ziwa Victoria,uvunje daraja la Busisi la Ziwa Victoria la kilomita tatu na nusu,na daraja baharini la kilomita moja Tanzanite pale Surrender,

Kuharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje Ubungo Exchange,uvunje stand za mabati mpya za kisasa alizojenga kila Mkoa katika mikoa yote 30,uvunje masoko makubwa mapya ya kisasa aliyojenga katika mikoa yote 30 ya Tanzania,uyavunje mandege 11,ubomoe reli ya Umeme na reli ya kwenda Moshi na Arusha,ubomoe madaraja na bwawa la Umeme la Rufiji zaidi ya hapo mtu kumchafua ni kupoteza muda tu,kwanza si nidhamu,si hekima,si busara na si Utamaduni wa Mtanzania.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Massa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii itafanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa litakuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuwa Mzalendo na ayafanyayo yapo damuni,ukimchana hivi damu yake ilikuwa inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi inayofanyika sasa na inayoonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2016 pale alipoanza kwa vitendo na watu waliita nguvu ya soda,lakini siki zilivyozidi kwenda watu waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu hii ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kujenga hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza,Kota za Magomeni takribani ghorofa 30 zenye ghorofa 10 kwenda juu,Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa
Ununuzi wa Ndege 11 Boeing,Airbus na Bomberdier
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.

Hayati John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2017 pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa ukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa Ujenzi wa barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga na hivi leo siku 25 baada ya kifo chake Rais Samia Suluhu Hassan anasaini kuanza kwa Ujenzi wa bomba hilo baada taratibu zote kukamilika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea.

Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa

Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.

Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa,

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)

Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.

Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.

Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.

Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.

Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.

-Tujikumbushe hadithi za Marais wengine wa Tanzania.

Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliandika hadithi kwa kuifanyia kazi taifa la Tanzania kwa miaka 23 na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Ally Hassan Mwinyi alihudumu miaka 10 ambapo alifanikiwa kupata stimula kwa ajili ya kufufua uchumi ulioharibiwa na Vita vya Uganda na Taifa likaanza kusimama tena baada ya athari ya vita vya Uganda.

Hayati Benjamin William Mkapa aliandika hadithi kwa kuhudumu miaka 10 alifanikiwa kuondoa gharama zisizobebeka za mashirika yaliyoleta hasara kwa kushindwa kuleta Gawio kwa Serikali tuliona taasisi za Serikali zikijengwa,na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Jakaya Kikwete ameandika hadithi ya kuhudumu kwa miaka 10,alifanikiwa kuanza kulipa Watumishi wa Umma baada ya kutaifishwa kwa mashirika ya Umma yaliyoitia hasara Serikali katika awamu ya tatu,Awamu ya nne ikaanza kusimama kwa miguu yake,hadithi yake ipo hata sasa.

Na sasa tunae Rais Samia Suluhu Hassan nae anaandika hadithi yake itakayoishi mioyoni mwa Watanzania.

Nimalizie kwa nukuu ya Mzee wetu na Rais wa Awamu ya pili,Ally Hassan Mwinyi kuwa "maisha ni hadithi" kila mtu anapaswa kuandika hadithi yake itayokaa mioyoni mwa Watanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Tatizo ni kwamba hadithi ya Magufuli sio nzuri, ina mengi ya hovyo kuliko mazuri.
 
Nimeusoma huu uzi nikakuta mambo aliyoandikwa 90% ni Uongo.

Mengi yalifanywa na watangulizi wake, mengine bado hayajaanza na mengine alianza na kumalizika Kwake ni majaliwa.

Kikubwa na ukweli uliouandika ni MWENDAZAKE alishaiandika hadithi yake na kamwe haitofutika.

Ila unapaswa kujua kuwa siku zote kitakachoishi milele ni ukweli. Sasa tusiwe waoga pale Mchele unapopepetwa ili pumba zitoke na kisha tumpate mchele safi.

Nature is so kind, bado muda mchache tutapata kuujua ukweli wa Mwendazake.

Kikubwa tumwombee mapumziko mema huko alipo.
 
HAYATI RAIS JOHN MAGUFULI TAYARI AMEANDIKA HADITHI YAKE,SI JAMBO RAHISI KUIFUTA.

Leo 11:45hrs 11/04/2021

Mzee wetu Mzee Ally Hassan Mwinyi,alisema "Maisha ni hadithi tu"ewe mwanadamu kuwa hadithi nzuri,Hayati John Pombe Magufuli yeye tayari ameshaandika hadithi yake si jambo rahisi kuifuta unless ubomoe kila kitu alichowaza, alichofanya na alichojenga uanze zahanati 400 alizojenga,Shule zote za sekondari za zamani alizozijenga upya,kuiharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje meli 9 kubwa mpya alizojenga ziwa Tanganyika,Ziwa nyasa na ziwa Victoria,uvunje daraja la Busisi la Ziwa Victoria la kilomita tatu na nusu,na daraja baharini la kilomita moja Tanzanite pale Surrender,

Kuharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje Ubungo Exchange,uvunje stand za mabati mpya za kisasa alizojenga kila Mkoa katika mikoa yote 30,uvunje masoko makubwa mapya ya kisasa aliyojenga katika mikoa yote 30 ya Tanzania,uyavunje mandege 11,ubomoe reli ya Umeme na reli ya kwenda Moshi na Arusha,ubomoe madaraja na bwawa la Umeme la Rufiji zaidi ya hapo mtu kumchafua ni kupoteza muda tu,kwanza si nidhamu,si hekima,si busara na si Utamaduni wa Mtanzania.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Massa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii itafanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa litakuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuwa Mzalendo na ayafanyayo yapo damuni,ukimchana hivi damu yake ilikuwa inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi inayofanyika sasa na inayoonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2016 pale alipoanza kwa vitendo na watu waliita nguvu ya soda,lakini siki zilivyozidi kwenda watu waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu hii ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kujenga hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza,Kota za Magomeni takribani ghorofa 30 zenye ghorofa 10 kwenda juu,Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa
Ununuzi wa Ndege 11 Boeing,Airbus na Bomberdier
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.

Hayati John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2017 pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa ukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa Ujenzi wa barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga na hivi leo siku 25 baada ya kifo chake Rais Samia Suluhu Hassan anasaini kuanza kwa Ujenzi wa bomba hilo baada taratibu zote kukamilika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea.

Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa

Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.

Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa,

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)

Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.

Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.

Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.

Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.

Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.

-Tujikumbushe hadithi za Marais wengine wa Tanzania.

Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliandika hadithi kwa kuifanyia kazi taifa la Tanzania kwa miaka 23 na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Ally Hassan Mwinyi alihudumu miaka 10 ambapo alifanikiwa kupata stimula kwa ajili ya kufufua uchumi ulioharibiwa na Vita vya Uganda na Taifa likaanza kusimama tena baada ya athari ya vita vya Uganda.

Hayati Benjamin William Mkapa aliandika hadithi kwa kuhudumu miaka 10 alifanikiwa kuondoa gharama zisizobebeka za mashirika yaliyoleta hasara kwa kushindwa kuleta Gawio kwa Serikali tuliona taasisi za Serikali zikijengwa,na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Jakaya Kikwete ameandika hadithi ya kuhudumu kwa miaka 10,alifanikiwa kuanza kulipa Watumishi wa Umma baada ya kutaifishwa kwa mashirika ya Umma yaliyoitia hasara Serikali katika awamu ya tatu,Awamu ya nne ikaanza kusimama kwa miguu yake,hadithi yake ipo hata sasa.

Na sasa tunae Rais Samia Suluhu Hassan nae anaandika hadithi yake itakayoishi mioyoni mwa Watanzania.

Nimalizie kwa nukuu ya Mzee wetu na Rais wa Awamu ya pili,Ally Hassan Mwinyi kuwa "maisha ni hadithi" kila mtu anapaswa kuandika hadithi yake itayokaa mioyoni mwa Watanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Mimi naomba hiyo Publication yako ya Effects of Micro - Financing on Poverty Reduction niipitie. hayo mengine uliyoandika umeyaandika nyakati zisizo sahihi,
 
HAYATI RAIS JOHN MAGUFULI TAYARI AMEANDIKA HADITHI YAKE,SI JAMBO RAHISI KUIFUTA.

Leo 11:45hrs 11/04/2021

Mzee wetu Mzee Ally Hassan Mwinyi,alisema "Maisha ni hadithi tu"ewe mwanadamu kuwa hadithi nzuri,Hayati John Pombe Magufuli yeye tayari ameshaandika hadithi yake si jambo rahisi kuifuta unless ubomoe kila kitu alichowaza, alichofanya na alichojenga uanze zahanati 400 alizojenga,Shule zote za sekondari za zamani alizozijenga upya,kuiharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje meli 9 kubwa mpya alizojenga ziwa Tanganyika,Ziwa nyasa na ziwa Victoria,uvunje daraja la Busisi la Ziwa Victoria la kilomita tatu na nusu,na daraja baharini la kilomita moja Tanzanite pale Surrender,

Kuharibu hadithi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli labda uvunje Ubungo Exchange,uvunje stand za mabati mpya za kisasa alizojenga kila Mkoa katika mikoa yote 30,uvunje masoko makubwa mapya ya kisasa aliyojenga katika mikoa yote 30 ya Tanzania,uyavunje mandege 11,ubomoe reli ya Umeme na reli ya kwenda Moshi na Arusha,ubomoe madaraja na bwawa la Umeme la Rufiji zaidi ya hapo mtu kumchafua ni kupoteza muda tu,kwanza si nidhamu,si hekima,si busara na si Utamaduni wa Mtanzania.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga mradi wa umeme mkubwa,Bwawa la Rufiji (Bwawa la Mwalimu Nyerere) unaozidi uwezo wa umeme wote unaozalishwa tangu mkoloni,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete na Sasa hakuna tena mgao wa Umeme,tutapata Umeme na kusaza,tutasahau habari ya iptl,dowans,Richmond na Escrow!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga Reli ya Umeme,Reli ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kwenda kwa haraka na kubeba mzigo mkubwa kuliko Reli zote nchini,Treni ambayo itatumia saa moja na nusu toka Dar hadi Morogoro,na Massa matano tu toka Dar hadi Mwanza,hii itafanya kuharakisha Maendeleo,badala ya kusafiri Masaa 17 toka Dar hadi Mwanza.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga maghala ya kutunzia vyakula kwa mikoa yote inayozalisha vyakula kwa hifadhi za taifa letu,Sasa Taifa litakuwa na hifadhi ya kutosha ya Mazao ya Chakula.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kufufua shirika la ndege la atcl na ununuzi wa ndege zake kumi na moja kwa ajili ya kukuza na kuboresha sekta ya Utalii,hivi sasa tunashuhudia Watalii zaidi ya 1,000 wakitua nchini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kutoa ruzuku ya kielimu ( elimu bure) kwa shule za misingi na sekondari,hivi sasa hakuna mtoto asiyejua kusoma wala kuandika.!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga hospitali kwa wilaya zote ambazo hazikuwa na hospitali za wilaya na vituo vya Afya zaidi ya 300 nchini baada ya kuvikuta vituo 67 tu!

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na watangulizi wake ambayo ilikwama kuendelea baada ya pesa kupigwa ama ujenzi usioridhisha kama barabara,Madaraja,Viwanja vya ndege vya zamani na Vipya,Kujenga barabara za juu na zile za kukatisha bahari ya hindi na kule ziwa Victoria na vivuko mbalimbali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuendelea kujenga miundombinu ya bandari na ujenzi wa meli mpya kwa maziwa ya Nyasa,Victoria na Tanganyika!.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuwa Mzalendo na ayafanyayo yapo damuni,ukimchana hivi damu yake ilikuwa inasema Mimi ni Mtanzania,nitapenda kuiona Tanzania ikiwa Taifa kubwa kama China.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza miradi mingi nchi nzima,miradi inayoonekana kwa macho na sio miradi hewa ama ya kitapeli kama miradi tuliyowahi kuisikia siku za nyuma,Miradi inayofanyika sasa na inayoonekana wazi na Wananchi wanapata faraja,ni miradi ya barabara nchi nzima,meli,vivuko,umeme,maji,afya,utalii,bandari,na viwanja vya ndege,Siku za nyuma tulikuwa tunaambiwa maneno tu ama kuishia kuona ujenzi usioridhisha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2016 pale alipoanza kwa vitendo na watu waliita nguvu ya soda,lakini siki zilivyozidi kwenda watu waligundua si povu wala nguvu ya soda bali mtendakazi yupo kazini.Ujenzi ulioanza na kumalizika ulitoa picha ya utendaji wa kutukuka katika awamu hii ya tano,Mwaka 2016 tulianza kuona matunda halisi ya maneno,ahadi na utendaji kazi wa Awamu ya tano.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kujenga hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza,Kota za Magomeni takribani ghorofa 30 zenye ghorofa 10 kwenda juu,Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa
Ununuzi wa Ndege 11 Boeing,Airbus na Bomberdier
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dar es Salaam.
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.

Hayati John Pombe Magufuli ameandika hadithi mwaka 2017 pale tulipoona ujenzi mkubwa miradi mbalimbali ukianza.

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa ukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa Ujenzi wa barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya miradi Mikubwa ya Maji,Dar,Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabota,na Shinyanga.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga na hivi leo siku 25 baada ya kifo chake Rais Samia Suluhu Hassan anasaini kuanza kwa Ujenzi wa bomba hilo baada taratibu zote kukamilika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea.

Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano barabara imejengwa,Mitaa ya Kinondoni hivi ina lami,Ubungo Interchange inajengwa
Madaraja yanajengwa

Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa kwa kiwango cha barabara nane.

Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa,

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya ujenzi wa Flyovers zinajengwa pamoja na barabara za ziwani na baharini.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi kwa kuisimama vyema miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe,Miradi wa Umeme wa Gas wa Kinyerezi,na mradi wa Bwawa la Umeme la Rufiji (Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere)

Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji.

Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kusimamia utendaji kazi na kufanya performance appraisals, Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto.Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.

Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.

Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kuleta Uwajibikaji,Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika,hakika nidhamu imeimarika.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya usimamizi madhubuti wa mapato ya Serikali, sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiashara na si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio.

Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ameandika hadithi ya kujenga nidhamu kazini,Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.

-Tujikumbushe hadithi za Marais wengine wa Tanzania.

Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliandika hadithi kwa kuifanyia kazi taifa la Tanzania kwa miaka 23 na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Ally Hassan Mwinyi alihudumu miaka 10 ambapo alifanikiwa kupata stimula kwa ajili ya kufufua uchumi ulioharibiwa na Vita vya Uganda na Taifa likaanza kusimama tena baada ya athari ya vita vya Uganda.

Hayati Benjamin William Mkapa aliandika hadithi kwa kuhudumu miaka 10 alifanikiwa kuondoa gharama zisizobebeka za mashirika yaliyoleta hasara kwa kushindwa kuleta Gawio kwa Serikali tuliona taasisi za Serikali zikijengwa,na hadithi yake ipo mioyoni mwa Watanzania hata sasa.

Mzee Jakaya Kikwete ameandika hadithi ya kuhudumu kwa miaka 10,alifanikiwa kuanza kulipa Watumishi wa Umma baada ya kutaifishwa kwa mashirika ya Umma yaliyoitia hasara Serikali katika awamu ya tatu,Awamu ya nne ikaanza kusimama kwa miguu yake,hadithi yake ipo hata sasa.

Na sasa tunae Rais Samia Suluhu Hassan nae anaandika hadithi yake itakayoishi mioyoni mwa Watanzania.

Nimalizie kwa nukuu ya Mzee wetu na Rais wa Awamu ya pili,Ally Hassan Mwinyi kuwa "maisha ni hadithi" kila mtu anapaswa kuandika hadithi yake itayokaa mioyoni mwa Watanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Mfuate kaburini

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Hadithi aliyoiandika Magufuli ni hii hapa:

1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda ili yeye ajihakikishie kutawala milele.

3.Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku kwa kesi fake ambazo hazina dhamana.

4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5.Kuua uhuru wa vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.

7.Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.

11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.

21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni bila dhamana.

22.Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za ATCL na kuilazimisha ATCL watoe gawio fake kwa serekali.

23.Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.

24.Ufisadi na wizi wa kutisha kama ulivyoibuliwa na CAG mara baada ya dikteta kufa.
 
Back
Top Bottom