Hayati Magufuli ni shujaa anayepigana na walio hai

title ya mandela ilikua backed up na nyerere, kuna uwezekano mkubwa pasipo nyerere basi mandela asingekuaga kwenye african politics known

Thubutu, hapa nchini kwetu kutokana na propaganda za kijamaa, ndio tulikuwa tuna muovarate Nyerere, lakini hakuwa na jina kubwa la hivyo worldwide. Tembea ndio utajua sifa tulizokuwa tunampa Nyere zilikuwa mwisho Chalinze.
 
Kwa wiki sasa naona trend ya namna mijadala inavyoendelea kwenye mitandao na vikundi vya WhatsApp vimenifanya nifikirie sana na nimeona nitoe mchango wangu kidogo tu ili kujitahadharisha na kuwahatadharisha wenzangu wasiingie kucheza kwenye ngoma wasiyoijua vizuri kama ni ngoma ya jando au ya kumtoa mwali.

Kwa namna mijadala inavyokwenda tunatengenezewa bila ya kujijua mpasuko. Mpasuko wa kuona yaliyofanywa na Mhe. Hayati JPM hayakuwa na maana yoyote kabisa. HILI SI SAWA, na mpasuko mwingine ni kutaka kutuaminisha kwamba awamu zilizopita ni kama maadui na ni watu wa kuwa nao makini sana na kuwa nao mbali kabisa, HILI NI BAYA na pia kututengenezea taswira kama Rais wa sasa Mama yetu Samia kama alikuwa hakubaliani na mambo yalivyokuwa yanakwenda akiwa VP, HII SI SAHIHI KABISA.

Hii mipasuko imeibua watetezi wake, imeibua watukanaji wake, na imeibua kundi jingine linaloangalia mwisho wa haya ni paleee na siyo kwema sana.

Mara nyingi nimekuwa nikizungumzia namna ya kulinda ulimi wako katika maeneo matatu, ukiwa na furaha sana, ukiwa na hasira sana na tatu ukiwa huna na hujui cha kusema basi kuwa makini na ulimi wako.

Namna tunavyokwenda tunapelekwa kwenye mpasuko mkubwa sana, tunaenda kupelekwa kwenye mpasuko utakaopelekea mpasuko huu kuingia mpaka ndani ya Chama. Nimekuwa msomaji mzuri sana wa maandiko mbalimbali yanayoendelea na kuona kabisa wapi tunalazimishwa kupelekwa. Mbaya zaidi wapo wenzetu hawajui hilo ila wapo kwenye ushabiki mkubwa sana bila ya kujua wanatumika kutufikisha pabaya.

Nina hofu kutengenezwa kwa chuki dhidi ya kabila fulani, hii ni hatari sana, nina hofu kutengenezwa chuki kwa ukanda fulani hofu inazidi lakini tukiwa hatupo makini inaweza kuhamia kwenye dini fulani pia. Kama nia yetu ni kumsaidia Mhe. Rais ili amalize na kuendelea na ujenzi wa miradi na mambo makubwa kwenye Nchi basi tunapaswa kukemea kila aina ya ujumbe utakaoweza kusababisha mpasuko.

Mpasuko hautatupa faraja, mpasuko hautatupa umoja bali utatuvuruga sana.

Niwaombe sana sana tukemee kila aina ya jambo ambalo tutaliona halina faida kwa Nchi. Viongozi wa Vikundi vya WhatsApp kemeeni na futeni kila aina ya ujumbe unaotaka kutugawa kama Taifa.

Mwisho, lipo kundi sasahivi lipo kwenye hope mood ambalo limetulia linasikilizia nalo je watakuwemo Serikalini? Watapata uteuzi? Hawa nao tutegemee baadae kuona mambo tusiyoyategemea ikiwa hawatoonekana kwenye teuzi mbalimbali.

Hapa nataka niwape ushauri. Tusitegemee vitu ambavyo vinapangwa na Binadam, tusiwe na tamaa sana na kuna baadhi wanasema kabisa kama sasa ni zamu yetu, zamu yenu kutoka wapi? Zamu yenu na nani? na hawa wa zamu yetu ni watu hatari sana maana wanageuka mara moja wakiona hawamo na maslahi yao hayapo. Ushauri wangu kwa vijana tuwe watulivu, tuna umri mrefu wa kulitumikia Taifa. Usije kununa ukiona malengo yako hayajaenda sawa na malengo ya M/Mungu.

Tena nashauri sana ni vyema kuwa kwenye jeshi la akiba kulinda kambi kuliko kuwa kwenye mstari wa mbele vitani. Hivyo nawasihi sana tuendako huko tuwe na UTULIVU na tuwe tayari kusaidia Nchi popote pale utakapokuwepo.

Tusimame kujenga umoja wetu na siyo kusimama kujenga mpasuko baina yetu

ASANTE JOHN
Ndiyo asante JPM ! ... Tatizo linaanza na mahubiri zushi ya mpasuko ... Tz hatuna mpasuko wwte.
 
Hadithi aliyoandika Magufuli watanzania wanaijua....hawahitaji simulizi yako!

Ameacha taifa lilogawanyika kutokana na utawala wake mbaya usiozingatia katiba uliojaa udikiteta.

Ameacha taifa lilogawanyika kutokana na siasa za chuki za kuwagawa watanzania.

Ni kweli alikuwa ameanza kujenga miundombinu kwa kutumia kodi za watanzania,tena zingine za dhuluma lakini hata wakoloni wa kijerumani na kiingereza walijenga miundo mbinu mingi tu tena kwa pesa zao,siyo kodi za zetu. Kwa mfano,walijenga reli ya Dar-Tabora-Kigoma/Mwanza.
 
Hizo ni achievements za kawaida sana na nyingi za miradi ni za kumalizia walipoanza watangulizi wake hususan JK na BWM. Yeye zake ni Stiglers, SGR, Mandege na Busisi.

Lakini kuna mafanikio makubwa ambayo watangulizi wake waliyapata bila kuua watu, kudanganya, kutolipa increments za wafanyakazi.

MAUJINGA ya mwendazake ni mengi kuliko anayodaiwa ameyafanya
 
Nimekutajia na soko la SADC na East Afrika nalo mbona hatujaendelea?
Labda hujafanya utafiti kuona jinsi gani Tanzania inavyoyatumia masoko ya SADC na EAC kiukamilifu. Tanzania ndio nchi pekee inayozalisha na kuuza vyakula kwa wingi kuliko nchi yeyote ndani ya SADC na EAC. Ndio nchi pekee inayotumia lango lake la bahari, ardhi, anga kuunganisha nchi kati ya Kusini na mashariki mwa Africa. (hatufanyi kwa bure, tuna lamba kilicho chetu, asante kwa rada, upanuzi wa bandari, na barabara za kwenda mipakani).

Lakini tukija kwenye masoko kama ya Ulaya au Marekani, hali inakuwa tofauti. Bila kucheza mziki wao hayo masoko yanakuwa magumu kuingia. Na mziki wenywe unakwenda hivi... wawekezaji lazima waje kutoka kwao na wazalishe kwaajili ya masoko yao huku mzawa mkiambulia kodi kiduchu tena bila ajira ya maana. Na ndio maana nikasema kama sio wazungu kama PW Botha kuishi SA, miundo mbinu ya SA ingekuwa kama nchi nyingine ya waafrika weusi.
 
Labda hujafanya utafiti kuona jinsi gani Tanzania inavyoyatumia masoko ya SADC na EAC kiukamilifu. Tanzania ndio nchi pekee inayozalisha na kuuza vyakula kwa wingi kuliko nchi yeyote ndani ya SADC na EAC. Ndio nchi pekee inayotumia lango lake la bahari, ardhi, anga kuunganisha nchi kati ya Kusini na mashariki mwa Africa. (hatufanyi kwa bure, tuna lamba kilicho chetu, asante kwa rada, upanuzi wa bandari, na barabara za kwenda mipakani).

Lakini tukija kwenye masoko kama ya Ulaya au Marekani, hali inakuwa tofauti. Bila kucheza mziki wao hayo masoko yanakuwa magumu kuingia. Na mziki wenywe unakwenda hivi... wawekezaji lazima waje kutoka kwao na wazalishe kwaajili ya masoko yao huku mzawa mkiambulia kodi kiduchu tena bila ajira ya maana. Na ndio maana nikasema kama sio wazungu kama PW Botha kuishi SA, miundo mbinu ya SA ingekuwa kama nchi nyingine ya waafrika weusi.

Kwasababu Tanzania nayo inafaidika na hilo soko kubwa la EA na SADC, je tunawafikia hao South Afrika?
 
Kwasababu Tanzania nayo inafaidika na hilo soko kubwa la EA na SADC, je tunawafikia hao South Afrika?
Mfano mwepesi ni sawa kuingia uwanja kwenye mechi ya soka na timu moja inapendewa na refa, unadhani utashinda hiyo mechi? Kama Wote tungepewa fursa sawa kama ilivyo kwa nchi zilizokuwa zinatawaliwa na wazungu, labda na sisi tungekuwa mbali. Chukulia Korea ya kusini na kaskazini, SK wanapewa fursa zote na wanazitumia kikamilifu, NK hawana hiyo fursa. Je unaweza kuwashindanisha?
 
Ukifungua hadithi ya kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini ni ya juu kuliko hiyo ya Magufuli kwenye miundombinu, lakini Mandela ndiye anayechukuliwa kama rais bora wa Afrika kusini bila kujenga mradi wowote.
Aisee nimekuelewa sana jombaa moyo ya binadamu inabeba vingi
 
Thubutu, hapa nchini kwetu kutokana na propaganda za kijamaa, ndio tulikuwa tuna muovarate Nyerere, lakini hakuwa na jina kubwa la hivyo worldwide. Tembea ndio utajua sifa tulizokuwa tunampa Nyere zilikuwa mwisho Chalinze.

Mbowe njoo skiliza watu wako huku 😂 😂
 
Nimekuwa kimya kwa siku mbili tatu ili kujipa muda kuifuatilia na kutafakari FILAMU inayochezwa na CAG akishirikiana na wanamapinduzi wanaopambana usiku na mchana kuifuta LEGACY ya MWAMBA HUYU KUTOKA CHATO. Nilichokibaini kwenye report ile ya ndugu kichele ni kwamba ,inajaribu kutengeneza taswira mbaya mno kwa JPM kuwa.

1.Katika uongozi wa JPM serikali ilianzisha miradi isiyo na tija kwasababu inaipa hasara kwa mfano SGR , STEND ZA MABASI NA STIGLER,S GORGE NA ATCL.

SGR

Yaani unafurahia ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Itakayokufanya tuwe watazamaji lakini wanufaika ni wachina zaidi ya miaka 50.Unaambiwa ikijengwa bandari ya bagamoyo itakuwa kubwa kuriko zote Afrika mashariki na kati ,Lakini itafanya bandari ya tanga ,dar na mtwara kufungwa .Na zikifungwa hizi pato la bandar ya Dar tunakosa, tunaanza kutegemea fashila za wachina kutukadiria watugawie ngap ? Just imagine.

Yaani unafurahi kujengwa nyumbani kwako nzuri harafu ,ww unakuomba omba kwwnye ardhi yako ,ilihari ungejenga ya kwako ukawa huru.SGR inaunganisha Dar to mwanza, Rwanda ,burundi na kongo kuiondoa au kuisitisha ni kutuingiza kwenye mgogoro mkubwa wa kiusafirshaji.

Lakini pia SGR inaenda kutuingiza kwwnye maisha ya kisasa ,masaa matatu Dar to dodoma, Kenya wanayo mombasa to Nairobi na wanampango wa kuetend mradi sisi tunajadili kusitisha ,ni ajahu sana.

STEND ZA MABASI

Kiuhalisia wkt wa JPM ndo tumeshuhudia stend za kisasa kama uwanja wa ndege ,mathalani stend ya ubungo ilikuwa imezeeka sana haijaendana na jiji lenyewe ,angarau hii stendi ya mbezi.Madai ya kwamba itasababisha foleni yananiwazisha sana.Kwahy tuihamishe? Au tuishie kusema hivo tuchafue baadae tuitumie vivo hivo??

STIGLERs Gorge

Mradi huu ni mkubwa wa pili Afrika unatarajia kuzalisha umeme mara mbili ya uliyopo,na kumaliza kabisa changamoto ya umeme, hizi ni harakati za mtu mwenye nia njema na watu wake.Kuusitisha huu mradi ni kujirudisha nyuma mno.Changamoto za kiutafiti jpm aliZITOLEA MAJIBU.

ATCL

Nashangaa sana watu wameanza kusahau mapema hivi ,shirika letu lilikuwa limekufa kuanza upya ni juhudi za JPM, kuingia sokoni si suala la siku moja kuanza kutengeneza faida.Wafanyabiashara wanafahamu huwez anzisha biashara leo kubwa kesho ukatengeneza faida ,Its imposible. Hivyo ATCL ndio ilikuwa inasaka wateja na ruti , bado kabisa lilikuwa shirika changa.

2. JPM hajafanya lolote la maana zaidi ya kupiga hela (ufisadi),
Haya ni maajabu ya mwaka ,yaani miradi yote hii ndani ya muda mfupi hajafanya lolote zaid ya kuiba? Jpm aliyekataa kwenda ulaya ili peaa hizo Itumike kwenye maendeleo ya wananchi unasema mbaya?

3.JPM alitumia kisingizio cha kuwaita watanzania wanyonge na kudai nchi imeliwa kumbe yeye ndiye mpigaji mkubwa.
Mambo mengine tunaambiwa yakuambiwa changanya na zako ,kma alikuwa mpigaji kiwango hicho hela za miradi yote hii ilitoka wapi?
Miradi ya maji, mahospitali, madawa ,umeme,elimu bure , sgr, stiglers ,madaraja ,viwanja vya ndege , meli ,ikuku dodoma,,vivuko nk.

Hata kama alikopa lakini kwa wingi na ukubwa mirad hii asingetoboa , hebu angalia JK hakutoboa miradi mingi ilikuwa imesimama amekuja kuihusha jpm.

Haingii akilini.

Baada ya kusoma na kufuatilia wachambuzi na maoni(comments) facebook kama vile :malisa ,kigogo, Magoiga, Ole mushi, veronica na Dr wiliamu nimebaini mambo yafuatayo:

1. Kundi la watu linashangilia report hii kwamba iko sahihi hasa kwasababu mzee hakuruhusu kukosolewa.Kundi hili ni lile la wale wanaotoka vyama vya upinzani.Hapa wapinzani wanachekelea tu na kujaribu kuonesha wako ipande wa SSH , lakini kiuhalisia wanamtumia kujiimarisha.

Maana ipo siku wataitumia kwa watu kuwa "ccm si chama cha kuaminika ,kimeoza JK alioza na yule mliyeamini yuko smart naye kumbe alioza" .kwahiyo ni Credit kubwa kwa UPINZANI.

2. Kundi la watu wanaokataa kata kata kuwa report hii imepikwa na JK na mafisadi kumchafua mzee kwa kuwa alimharibia biashara zake haramu.Hili limejaa wanaccm na wananchi wa kawaida.Hapa kumezuka timu "MaTAGA na MARTHA" .Mataga wanamwona mama ni msariti mkubwa ,na ya kwamba hataweza kumfikia jpm katika kuiletea maendeleo Tanzania

3.Kundi la watu ambao liko katikati linaamini report ni ya kweli lakini linaamini kuwa mzee hahusiki na huu ufisadi .Hawa wanaimani na SAMIA SULUHU kuwa ataendeleza aliyoachiwa na JPM.Hili nalo ni la wanaCCM ambao wao wanajipa moyo kuwa wampe muda mama huenda akafanya vizuri zaidi.

4. Kundi la watu ambao wanaona hamna umhimu wa kuendelea na CCM kwa kile alichokifanya mama, yaani hawa wanaona yale aliyofanya jpm ni makubwa zaidi kuriko hata CCM ,hivo kuyabeza ni kuwakosea pakubwa.

TWENDE SAWA

BAADA YA KUYAONA HAYO MASWALI MENGI YAKANIJIA
- Kwanini nguvu nyingi zimekezwa katika kumlaumu au kumkashifu jpm ,ili hari hata wakati wake ufisadi ulikuwepo ,ulibainika na kurekebishwa?

Yaani hii inataka kutengenezwa sura kwamba report za nyuma zilikuta serikali iko clean kwa 100%, ilihari nakumbuka hata za nyuma zilionyesha ubadhilifu polisi , TAKUKURU, CCM NA KWENYE MIRADI MBALIMBALI.

- Huyu kichele aliyesema hakuna tatizo kwenye atcl ndiye anatuambia kuwa kuna hasara Ya 150b atcl.Kama ni mtu mkweli angetuambia mwka jana hio hasara kuriko kusubiri rais aliyemteua hayupo ndipo aseme.Huyu ni tofauti na Prof Assa aliyesema bila kumng'unya maneno bunge la sasa ni dhaifu.Kama aliogopa kusema ukweli kqa hofu ya kupoteza kibarua hata leo anaweza kusema uongo ili kulinda kibarua

- kauli nyingi tata alizozitoa mama zinamaanisha nini? Kwa mfano suala la chanjo tusiwe kama kisiwa , madini yanatoloshwa kama awali , wafanya biashara wamekimbia nk.

KUHUSU CHANJO
Kulingana na kauli ya mama kwamba TZ kutokubali chanjo ni kujitenga na dunia, kauli hii inatupa picha kwamba maamzi ya jpm hakuwa anayaunga mkono ya kukataa chanjo.

Kwa mkitadha huo mama anaonyesha kwamba haoni kuwa aliyoyakataa mtangulizi wake ndiyo yamekuja kutokea.Nchi nyingi za ulaya zimekataa chanjo zikiwemo uingereza,uholanzi na dernmak.Kama nchi hizi kubwa zimesitisha chanjo hii yeye anapata wapi ujasiri wa kuona kuwa Tz tumejitenga?

KUHUSU MADINi KUTOLOSHWA

Kauli hii nayo ni tata ,utata unaanzia kwenye maneno "madini yanatoloshwa kama mwanzo" hii kauli inatuaminisha kuwa ukuta ule merelani hauna maana yotote.Lakini report zinamkatalia mama ,kabla ya ukuta kujengwa kenya na SA zilikuwa vinara kuuza tanzanite kuipita nchi yetu lakini leo hii sisi ndio vinara wa kuuza madini haya.

KUHUSU wafanyabiashara KUKiMBIA NCHI

Hapa napo panautata mtupu, nikiangalia wafanyabiashara waliokimbia hawafiki hata wanne.
Maana bado:Mo ,bakheresa, kitana, kishimba nk wapo ambaye amekimbia ni Manji na MBOWE
Swali linakuja kwanini manji akimbie? Mbona wenzake hawakukimbia?
Kwahiyo kauli hii imejaa ukakasi mtupu

-Kama JPm alikuwa mbaya kiasi hixho na yeye mama akawa anamsapoti basi ni ishara kwamba hatoshi kuwa rais.Kule uingereza waziri mkuu aliamua kujiuzulu kwasababu ya kushikilia msimamo wake kuwa hawezi kuiruhusu uingereza ijitenge na ulaya.
Mama angekuwa mcha Mungu ,mtu wa swala tano tunategemea angekuwa amejiudhuru au hata kukataa ugombea mwenza, lakini miaka 5 imeisha ikaja mingine bado akakubali kumsaidia JPm basi ni dhahiri haya yanayotokea si yake bali ANAONGOZWA.

-hivi kweli stend ya mbezi itaongeza foleni ?? Yaani kuna mambo mengine mpaka yanachekesha , yaani wivu si wivu , ushwetani si ushwetani .Na kwa mkutadha huu ,tutegemee miradi ya maji ,umeme,viwanja vya ndege ,madaraja vitakuwa aidha hasara au havina tija.

HITIMISHO

Kama kweli dhamira yao ni KUIFUTA LEGACY YA JPM BASI WAFANYE YAFUATAYO.

1. UZA ndege zote, meli zote, vivuko vyote
2. Bomoa bandari ya Dar, Tanga na Mtwara zilizoboreshwa.
3. Nyanganya migodi wazawa ,gawa kwa mabeberu, futa kampuni la Twiga.
4. Binafisisha milima, mapori na maziwa
5. Simamisha ujenzi wa stiglers gorge
6. Bomoa SGR , uza vyuma spea.
6. Vunja ,bomoa daraja la busisi, tanzanite
7. Rudisha ada na michango shuleni.
8. Vunja masoko ya madini nchini na ruhusu makinikia kwenda nje ya nje
9. Ruhusu uhuru wa mshoga na ndoa za jinsia moja.
10. Chalaza bakora machinga, mwaga wali wa mama lishe
11. Sitisha ujenzi wa masoko ya kisasa.
12. Vunja ukuta wa merelani
13. Tengeneza sheria za madini
14. Amuru lockdown na chanjo.

MAMA UNANAFASI MBILI TU FUATILIA UZI HUU KWA MAKINI

View attachment 1749508
Tuondolee ushuzi wako hapa
 
Kwa wiki sasa naona trend ya namna mijadala inavyoendelea kwenye mitandao na vikundi vya WhatsApp vimenifanya nifikirie sana na nimeona nitoe mchango wangu kidogo tu ili kujitahadharisha na kuwahatadharisha wenzangu wasiingie kucheza kwenye ngoma wasiyoijua vizuri kama ni ngoma ya jando au ya kumtoa mwali.

Kwa namna mijadala inavyokwenda tunatengenezewa bila ya kujijua mpasuko. Mpasuko wa kuona yaliyofanywa na Mhe. Hayati JPM hayakuwa na maana yoyote kabisa. HILI SI SAWA, na mpasuko mwingine ni kutaka kutuaminisha kwamba awamu zilizopita ni kama maadui na ni watu wa kuwa nao makini sana na kuwa nao mbali kabisa, HILI NI BAYA na pia kututengenezea taswira kama Rais wa sasa Mama yetu Samia kama alikuwa hakubaliani na mambo yalivyokuwa yanakwenda akiwa VP, HII SI SAHIHI KABISA.

Hii mipasuko imeibua watetezi wake, imeibua watukanaji wake, na imeibua kundi jingine linaloangalia mwisho wa haya ni paleee na siyo kwema sana.

Mara nyingi nimekuwa nikizungumzia namna ya kulinda ulimi wako katika maeneo matatu, ukiwa na furaha sana, ukiwa na hasira sana na tatu ukiwa huna na hujui cha kusema basi kuwa makini na ulimi wako.

Namna tunavyokwenda tunapelekwa kwenye mpasuko mkubwa sana, tunaenda kupelekwa kwenye mpasuko utakaopelekea mpasuko huu kuingia mpaka ndani ya Chama. Nimekuwa msomaji mzuri sana wa maandiko mbalimbali yanayoendelea na kuona kabisa wapi tunalazimishwa kupelekwa. Mbaya zaidi wapo wenzetu hawajui hilo ila wapo kwenye ushabiki mkubwa sana bila ya kujua wanatumika kutufikisha pabaya.

Nina hofu kutengenezwa kwa chuki dhidi ya kabila fulani, hii ni hatari sana, nina hofu kutengenezwa chuki kwa ukanda fulani hofu inazidi lakini tukiwa hatupo makini inaweza kuhamia kwenye dini fulani pia. Kama nia yetu ni kumsaidia Mhe. Rais ili amalize na kuendelea na ujenzi wa miradi na mambo makubwa kwenye Nchi basi tunapaswa kukemea kila aina ya ujumbe utakaoweza kusababisha mpasuko.

Mpasuko hautatupa faraja, mpasuko hautatupa umoja bali utatuvuruga sana.

Niwaombe sana sana tukemee kila aina ya jambo ambalo tutaliona halina faida kwa Nchi. Viongozi wa Vikundi vya WhatsApp kemeeni na futeni kila aina ya ujumbe unaotaka kutugawa kama Taifa.

Mwisho, lipo kundi sasahivi lipo kwenye hope mood ambalo limetulia linasikilizia nalo je watakuwemo Serikalini? Watapata uteuzi? Hawa nao tutegemee baadae kuona mambo tusiyoyategemea ikiwa hawatoonekana kwenye teuzi mbalimbali.

Hapa nataka niwape ushauri. Tusitegemee vitu ambavyo vinapangwa na Binadam, tusiwe na tamaa sana na kuna baadhi wanasema kabisa kama sasa ni zamu yetu, zamu yenu kutoka wapi? Zamu yenu na nani? na hawa wa zamu yetu ni watu hatari sana maana wanageuka mara moja wakiona hawamo na maslahi yao hayapo. Ushauri wangu kwa vijana tuwe watulivu, tuna umri mrefu wa kulitumikia Taifa. Usije kununa ukiona malengo yako hayajaenda sawa na malengo ya M/Mungu.

Tena nashauri sana ni vyema kuwa kwenye jeshi la akiba kulinda kambi kuliko kuwa kwenye mstari wa mbele vitani. Hivyo nawasihi sana tuendako huko tuwe na UTULIVU na tuwe tayari kusaidia Nchi popote pale utakapokuwepo.

Tusimame kujenga umoja wetu na siyo kusimama kujenga mpasuko baina yetu

ASANTE JOHN
Mfuate huko aliko
 
Sina muda wa kuandika sana, ila ndugu zangu nawaambieni nimechoka sana na nyie mnaokaa na kusifu aliyofanya magufuli kwa walala hoi. Nahisi ndugu zangu mnazungumza maendeleo ya macho na sio maendeleo kwa manufaa ya watu wote.

Kila siku oh uwanja wa ndege pamoja na kufufua shirika la ndege: Jiulizeni ni walala hoi wangapi wamenufaika na hilo? walala hoi wangapi wanaweza kusafiri kwa ndege kwa safari za ndani tu wachilia za nje ya nchi? Mradi huu mzima ni wa kuwanufaisha wenye nacho na sio wasio nacho

Kila siku oh barabara na fly over: Hivi ni mlala hoi gani anaenufaika na hili? barabara zimejengwa kuwanufaisha wenye magari ya 4x4 na magari mengine ya kifahari sio kwa manufaa ya wanyonge. Magari a fly overs zimejengwa ili kuwarahisishia usafiri wa ardhi kwa walio nacho, waondokane na misongomano mitaani. Mlala hoi hawezi kumiliki kupanda boda boda au dala dala kila siku kwenda na kurudi kazini, barabara hizi zimemnufaisha vipi?

Oh mabasi ya mwendo kasi: Ni walala hoi wamepoteza kipato chao cha siku kwa vile sehemu zote zile watu wanapendelea mabasi ya mwendo kazi badala ya boda boda na dala dala. Mfumo mzima wa mabasi ya mwendo kasi ni kuwaondoa walala hoi barabarani wakitumia daladala na boda boda ili matajiri na magari yao waweze kusafiri kiulaini kabisa.

Nitasita hapa sina muda zaidi, kazi ni nyingi. Ila ningeliwataka watanzania wenzangu muangalie haya mnayosema maendeleo aliyoyafanya magufuli kwa jicho la pili, ni nani hasa ananufaika na kila alilolifanya?
 
Nimekuwa kimya kwa siku mbili tatu ili kujipa muda kuifuatilia na kutafakari FILAMU inayochezwa na CAG akishirikiana na wanamapinduzi wanaopambana usiku na mchana kuifuta LEGACY ya MWAMBA HUYU KUTOKA CHATO. Nilichokibaini kwenye report ile ya ndugu kichele ni kwamba ,inajaribu kutengeneza taswira mbaya mno kwa JPM kuwa.

1.Katika uongozi wa JPM serikali ilianzisha miradi isiyo na tija kwasababu inaipa hasara kwa mfano SGR , STEND ZA MABASI NA STIGLER,S GORGE NA ATCL.

SGR
Yaani unafurahia ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Itakayokufanya tuwe watazamaji lakini wanufaika ni wachina zaidi ya miaka 50.Unaambiwa ikijengwa bandari ya bagamoyo itakuwa kubwa kuriko zote Afrika mashariki na kati ,Lakini itafanya bandari ya tanga ,dar na mtwara kufungwa .Na zikifungwa hizi pato la bandar ya Dar tunakosa, tunaanza kutegemea fashila za wachina kutukadiria watugawie ngap ? Just imagine.

Yaani unafurahi kujengwa nyumbani kwako nzuri harafu ,ww unakuomba omba kwwnye ardhi yako ,ilihari ungejenga ya kwako ukawa huru.SGR inaunganisha Dar to mwanza, Rwanda ,burundi na kongo kuiondoa au kuisitisha ni kutuingiza kwenye mgogoro mkubwa wa kiusafirshaji.

Lakini pia SGR inaenda kutuingiza kwwnye maisha ya kisasa ,masaa matatu Dar to dodoma, Kenya wanayo mombasa to Nairobi na wanampango wa kuetend mradi sisi tunajadili kusitisha ,ni ajahu sana.

STEND ZA MABASI
Kiuhalisia wkt wa JPM ndo tumeshuhudia stend za kisasa kama uwanja wa ndege ,mathalani stend ya ubungo ilikuwa imezeeka sana haijaendana na jiji lenyewe ,angarau hii stendi ya mbezi.Madai ya kwamba itasababisha foleni yananiwazisha sana.Kwahy tuihamishe? Au tuishie kusema hivo tuchafue baadae tuitumie vivo hivo??

STIGLERs Gorge
Mradi huu ni mkubwa wa pili Afrika unatarajia kuzalisha umeme mara mbili ya uliyopo,na kumaliza kabisa changamoto ya umeme, hizi ni harakati za mtu mwenye nia njema na watu wake.Kuusitisha huu mradi ni kujirudisha nyuma mno.Changamoto za kiutafiti jpm aliZITOLEA MAJIBU.

ATCL
Nashangaa sana watu wameanza kusahau mapema hivi ,shirika letu lilikuwa limekufa kuanza upya ni juhudi za JPM, kuingia sokoni si suala la siku moja kuanza kutengeneza faida.Wafanyabiashara wanafahamu huwez anzisha biashara leo kubwa kesho ukatengeneza faida ,Its imposible. Hivyo ATCL ndio ilikuwa inasaka wateja na ruti , bado kabisa lilikuwa shirika changa.

2. JPM hajafanya lolote la maana zaidi ya kupiga hela (ufisadi),
Haya ni maajabu ya mwaka ,yaani miradi yote hii ndani ya muda mfupi hajafanya lolote zaid ya kuiba? Jpm aliyekataa kwenda ulaya ili peaa hizo Itumike kwenye maendeleo ya wananchi unasema mbaya?

3.JPM alitumia kisingizio cha kuwaita watanzania wanyonge na kudai nchi imeliwa kumbe yeye ndiye mpigaji mkubwa.
Mambo mengine tunaambiwa yakuambiwa changanya na zako ,kma alikuwa mpigaji kiwango hicho hela za miradi yote hii ilitoka wapi?
Miradi ya maji, mahospitali, madawa ,umeme,elimu bure , sgr, stiglers ,madaraja ,viwanja vya ndege , meli ,ikuku dodoma,,vivuko nk.

Hata kama alikopa lakini kwa wingi na ukubwa mirad hii asingetoboa , hebu angalia JK hakutoboa miradi mingi ilikuwa imesimama amekuja kuihusha jpm.

Haingii akilini.

Baada ya kusoma na kufuatilia wachambuzi na maoni(comments) facebook kama vile :malisa ,kigogo, Magoiga, Ole mushi, veronica na Dr wiliamu nimebaini mambo yafuatayo:

1. Kundi la watu linashangilia report hii kwamba iko sahihi hasa kwasababu mzee hakuruhusu kukosolewa.Kundi hili ni lile la wale wanaotoka vyama vya upinzani.Hapa wapinzani wanachekelea tu na kujaribu kuonesha wako ipande wa SSH , lakini kiuhalisia wanamtumia kujiimarisha.

Maana ipo siku wataitumia kwa watu kuwa "ccm si chama cha kuaminika ,kimeoza JK alioza na yule mliyeamini yuko smart naye kumbe alioza" .kwahiyo ni Credit kubwa kwa UPINZANI.

2. Kundi la watu wanaokataa kata kata kuwa report hii imepikwa na JK na mafisadi kumchafua mzee kwa kuwa alimharibia biashara zake haramu.Hili limejaa wanaccm na wananchi wa kawaida.Hapa kumezuka timu "MaTAGA na MARTHA" .Mataga wanamwona mama ni msariti mkubwa ,na ya kwamba hataweza kumfikia jpm katika kuiletea maendeleo Tanzania

3.Kundi la watu ambao liko katikati linaamini report ni ya kweli lakini linaamini kuwa mzee hahusiki na huu ufisadi .Hawa wanaimani na SAMIA SULUHU kuwa ataendeleza aliyoachiwa na JPM.Hili nalo ni la wanaCCM ambao wao wanajipa moyo kuwa wampe muda mama huenda akafanya vizuri zaidi.

4. Kundi la watu ambao wanaona hamna umhimu wa kuendelea na CCM kwa kile alichokifanya mama, yaani hawa wanaona yale aliyofanya jpm ni makubwa zaidi kuriko hata CCM ,hivo kuyabeza ni kuwakosea pakubwa.

TWENDE SAWA

BAADA YA KUYAONA HAYO MASWALI MENGI YAKANIJIA
- Kwanini nguvu nyingi zimekezwa katika kumlaumu au kumkashifu jpm ,ili hari hata wakati wake ufisadi ulikuwepo ,ulibainika na kurekebishwa?

Yaani hii inataka kutengenezwa sura kwamba report za nyuma zilikuta serikali iko clean kwa 100%, ilihari nakumbuka hata za nyuma zilionyesha ubadhilifu polisi , TAKUKURU, CCM NA KWENYE MIRADI MBALIMBALI.

- Huyu kichele aliyesema hakuna tatizo kwenye atcl ndiye anatuambia kuwa kuna hasara Ya 150b atcl.Kama ni mtu mkweli angetuambia mwka jana hio hasara kuriko kusubiri rais aliyemteua hayupo ndipo aseme.Huyu ni tofauti na Prof Assa aliyesema bila kumng'unya maneno bunge la sasa ni dhaifu.Kama aliogopa kusema ukweli kqa hofu ya kupoteza kibarua hata leo anaweza kusema uongo ili kulinda kibarua

- kauli nyingi tata alizozitoa mama zinamaanisha nini? Kwa mfano suala la chanjo tusiwe kama kisiwa , madini yanatoloshwa kama awali , wafanya biashara wamekimbia nk.

KUHUSU CHANJO
Kulingana na kauli ya mama kwamba TZ kutokubali chanjo ni kujitenga na dunia, kauli hii inatupa picha kwamba maamzi ya jpm hakuwa anayaunga mkono ya kukataa chanjo.

Kwa mkitadha huo mama anaonyesha kwamba haoni kuwa aliyoyakataa mtangulizi wake ndiyo yamekuja kutokea.Nchi nyingi za ulaya zimekataa chanjo zikiwemo uingereza,uholanzi na dernmak.Kama nchi hizi kubwa zimesitisha chanjo hii yeye anapata wapi ujasiri wa kuona kuwa Tz tumejitenga?

KUHUSU MADINi KUTOLOSHWA
Kauli hii nayo ni tata ,utata unaanzia kwenye maneno "madini yanatoloshwa kama mwanzo" hii kauli inatuaminisha kuwa ukuta ule merelani hauna maana yotote.Lakini report zinamkatalia mama ,kabla ya ukuta kujengwa kenya na SA zilikuwa vinara kuuza tanzanite kuipita nchi yetu lakini leo hii sisi ndio vinara wa kuuza madini haya.

KUHUSU wafanyabiashara KUKiMBIA NCHI
Hapa napo panautata mtupu, nikiangalia wafanyabiashara waliokimbia hawafiki hata wanne.
Maana bado:Mo ,bakheresa, kitana, kishimba nk wapo ambaye amekimbia ni Manji na MBOWE
Swali linakuja kwanini manji akimbie? Mbona wenzake hawakukimbia?
Kwahiyo kauli hii imejaa ukakasi mtupu

-Kama JPm alikuwa mbaya kiasi hixho na yeye mama akawa anamsapoti basi ni ishara kwamba hatoshi kuwa rais.Kule uingereza waziri mkuu aliamua kujiuzulu kwasababu ya kushikilia msimamo wake kuwa hawezi kuiruhusu uingereza ijitenge na ulaya.
Mama angekuwa mcha Mungu ,mtu wa swala tano tunategemea angekuwa amejiudhuru au hata kukataa ugombea mwenza, lakini miaka 5 imeisha ikaja mingine bado akakubali kumsaidia JPm basi ni dhahiri haya yanayotokea si yake bali ANAONGOZWA.

-hivi kweli stend ya mbezi itaongeza foleni ?? Yaani kuna mambo mengine mpaka yanachekesha , yaani wivu si wivu , ushwetani si ushwetani .Na kwa mkutadha huu ,tutegemee miradi ya maji ,umeme,viwanja vya ndege ,madaraja vitakuwa aidha hasara au havina tija.

HITIMISHO
Kama kweli dhamira yao ni KUIFUTA LEGACY YA JPM BASI WAFANYE YAFUATAYO.

1. UZA ndege zote, meli zote, vivuko vyote
2. Bomoa bandari ya Dar, Tanga na Mtwara zilizoboreshwa.
3. Nyanganya migodi wazawa ,gawa kwa mabeberu, futa kampuni la Twiga.
4. Binafisisha milima, mapori na maziwa
5. Simamisha ujenzi wa stiglers gorge
6. Bomoa SGR , uza vyuma spea.
6. Vunja ,bomoa daraja la busisi, tanzanite
7. Rudisha ada na michango shuleni.
8. Vunja masoko ya madini nchini na ruhusu makinikia kwenda nje ya nje
9. Ruhusu uhuru wa mshoga na ndoa za jinsia moja.
10. Chalaza bakora machinga, mwaga wali wa mama lishe
11. Sitisha ujenzi wa masoko ya kisasa.
12. Vunja ukuta wa merelani
13. Tengeneza sheria za madini
14. Amuru lockdown na chanjo.

MAMA UNANAFASI MBILI TU FUATILIA UZI HUU KWA MAKINI

View attachment 1749508
Uzi bora wa Millennium hongera sana ndugu mwandishi mungu akuongezee hekima na shukrani, sasa nikusubiri muda uje useme wenyewe na wakae wakijua watanzia sio wajinga, ukiona moshi unafuka......,
 
Hizi hela alizokuwa anagawa mabarabarani zilipitishwa na nani kwa kazi hii? nisaidie kwanza ndipo tujadili.View attachment 1749536
Inamaana rais hapaswi kuwa na pesa yake? Anapokea mshahara kiasi gani? Unadhani yeye ana mioyo kama yenu ya kujilimbizia mali? Unadhani na yeye hakuwa na huruma kama nyie? SUBIRI MUDA UTASEMA!
Mwizi ni mwizi JPM ameumbuka sana na kuzarauliwa
Mtasubiri sana legacy ya huyu mwamba kupotea. Mkitaka tumsahau fanyeni mazuri zaidi yake tuwasifu.
 
Back
Top Bottom