Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,995
- 103,377
title ya mandela ilikua backed up na nyerere, kuna uwezekano mkubwa pasipo nyerere basi mandela asingekuaga kwenye african politics known
Thubutu, hapa nchini kwetu kutokana na propaganda za kijamaa, ndio tulikuwa tuna muovarate Nyerere, lakini hakuwa na jina kubwa la hivyo worldwide. Tembea ndio utajua sifa tulizokuwa tunampa Nyere zilikuwa mwisho Chalinze.