Hayati Magufuli ni Nabii wa Afrika aliyechelewa kueleweka katika ukombozi wa pili wa Mwafrika, hakuogopa vigingi vya Mabeberu

Nilazima asingeleweka haraka mana alibeba mambo mengi wakati mmoja hizo nishughuli za muhitimu mafunzo jeshin .....awe na pumziko jema
 
Wapi Ben Saanane? Wapi Azory, familia zenu zinawalilia sana..maana hadi leo hamjulikani mlipo!!

Pole Mr Lissu mtu kakufanya hivyo ulivyo sasa ili mapenzi yake yatimie!!
 
Media were forced to praise him no matter what or else you get banned.
I beg to differ
 
Miafrica Kweli akili tunazipindisha makusudi Bora liende, wewe unaleta uke.nge kuwa hatuwezi endelea bila wao. Kama wao wanataka Mali kwetu tunatakiwa kwenda aawia sio kuruhusu wizi kwenye shamba la Bibi kisa tunataka watuendeleze
sidhani kama hizo mali tunawapa bure. ni sisi wenyewe ndio tunawaruhusu. Tena tunawaita wawekezaji. mnaandika hapa utadhani wanatuibia tukiwa macho.

akili ya bora liende ipo mpaka kwa viongozi wetu. and yes maendeleo ya sasa ya mtu mweusi yanahitaji technology ya mtu mweupe.

85% ya bidhaa tunazotumia zinatoka kwa mtu mweupe. elimu, vifaa vya ulinzi.. kijeshi.. mitaala ya kiusalama..

sisemi kuwa tusipige step. japokuwa tumechelewa ila bado tunaweza. ila ji kujidanganya kuwa completely 100% tunaweza kwenda mbele bila kutumia vitu vya mtu mweupe.
 
Ila huyu mzee wetu alikuwa jasiri sana,hakuogopa chochote,alifanya kile anachokiamua hata kama UNESCO,US na IMF walikuwa wanatoa vitisho na mikwala,yeye hakujali,nahisi huyu mzee wetu alikuwa na spirit ya kiajemi
 
Siyo Musa tu, hata Nabii Eliya aliuwa manabii wa uwongo wa Baali. Wewe kama ni msomaji wa Biblia na kuielewa unajuwa vema kwa nini hao manabii waliuwa. Usimsahau na Daudi, alimwua Goliath. Na Mungu alikuwa upande wao siku zote.
manabii hawakuua direct kama vile walipenda.
wali ask for God directives.
God alipowapa go ,tena na masharti juu.. akiwabariki na nguvu fulani ndio wakaweza kutekeleza hilo.

dont overrate marehemu na kumbandika vyeo visivyo stahili.
kweli alifanya kazi nzuri lakin sio nabii.
 
Hakika kifo cha rais Magufuli kimewaumbuwa traitors kweupe..

Na hata sijuwi wanateseka wakiwa wapi..

Hawaonekani mitandaoni kwa sasa.
 
manabii hawakuua direct kama vile walipenda.
wali ask for God directives.
God alipowapa go ,tena na masharti juu.. akiwabariki na nguvu fulani ndio wakaweza kutekeleza hilo.

dont overrate marehemu na kumbandika vyeo visivyo stahili.
kweli alifanya kazi nzuri lakin sio nabii.
Nakubaliana na wewe 100% marehemu siyo nabii. Ndiyo maana nikasema manabii waliouwa Mungu alikuwa upande wao. Sitofautiani na wewe kwa hilo
 
Mjinga aliye waaminisha kwamba kiongozi anaye chukia wazungu ndiye shujaa wa africa aliwatia ujinga wa kiwango cha juu sana kwa sababu hakuna africa inayo weza ku survive bila mzungu hakuna hivyo mawazo ya aina hiyo ni kujilisha upepo tu.
Magu hakuchukia wazungu bali upuuzi wa wazungu kuwafanya waafrica majuha!
 
Sijui hata niseme nn wallah ila mazuri anayo na mabaya pia anayo amepoteza sifa ya Kuwa Nabii
 
We jamaa,kama ni mahaba yamezidi sana,hizi lugha za kuita watu mabeberu,zilikuwa zinamaana kwenye vuguvugu la ukombozi miaka ya 60! Sio leo hii karne ya 21...
Ukweli ni kwamba, John Pombe Joseph Magufuli alikuwa NABII. Alipambana vikali sana dhidi ya Majizi, Vibaraka wa Mabeberu na Wazembe.

Kumbuka, miaka yote tulikuwa tukilia kuibiwa mali zetu na Mabeberu, lakini siku tu alipotangaza kusitisha usafirishaji wa Makinikia, CHAUROPOKAJI/DOMOKUBWA alikuja juu kututisha eti tutashtakiwa MIGA ,akiwa na maana kwamba tuwaachie wazungu waendelee kuchukua madini yetu.

Huo si upumbavu kabisa kuwahi kutokea? Alikuwa akinunua ndege, watu wanapinga, akifanya chochote cha maendeleo ya Taifa, mnapinga. Hata sasa ukimwambia mtu mwenye akili inayofanana na ile ya CHAUROPOKAJI ataje hata mambo machache tu ya maendeleo ya Taifa aliyoyafanya JPM, atakwambia hakuna kabisa.

Of course, we shall never forget Hon. Dr.John Pombe Joseph Magufuli.

May he rest in peace. MWAMBA WA AFRIKA.
 
Ukweli ni kwamba, John Pombe Joseph Magufuli alikuwa NABII. Alipambana vikali sana dhidi ya Majizi, Vibaraka wa Mabeberu na Wazembe.
Kumbuka, miaka yote tulikuwa tukilia kuibiwa mali zetu na Mabeberu, lakini siku tu alipotangaza kusitisha usafirishaji wa Makinikia...
Watu wanalipa na mengi, wanalia na manyanyaso ya viongozi sehemu za Kazi, Sasa hivi unanijua Mimi Nani umekwisha, kupigwa makofi Na mwajiri au Tajiri vimekwisha, vijana wetu wameacha kuwa mazezeta Kwa unga. Nabii Magufuri kafanya mambo mengi Mwinyi ndiye anaweza kuyafafanua
 
Moja kati ya alama aliotuachia baba yetu Magufuli ni demokrasia ya kipekee tunayoweza kuiita demokrasia ya kiafrica.

Tumeona nchi ikipiga hatua sana chini ya utawala wake. Demokrasia ya kiafrica inalenga zaidi haki za kiuchumi kwa wafanyabiashara wadogo kufanya biashara bila kubughudhiwa. mfano machinga kupewa uhuru wa kujitafutia riziki.

Tumeona wananchi wanapata haki ya huduma za kijamii kupata elimu bure, wanajengewa zahanati, barabara na madaraja kila kona ya nchi, umeme vijijini nk.

Demokrasia ya kiafrika Serikali haichezewi na watu wanaheshimu mali ya umma.

Tofauti ya demokrasia ya kiafrika inakuwa na mipaka ndio maana uchaguzi ukiisha tunarudi kuijenga nchi sio kuanza kuandamana kuzua taaruki kuchafuana ili serikali isifanye kazi yake.

Pia tunaheshimu mila na desturi zetu ndio maana Lissu alipotaka kuleta ushoga watanzania wakamkataa.

Tumuenzi mzee wetu Magufuli kwa kuiishi misingi ya demokrasia ya kiafrica ambayo imempa heshima kwa wananchi wake na kwa dunia.

Tuache kuiga kila kitu cha Ulaya na marekani ndio maana haya mambo ya demokrasia huwezi yaona China, Dubai, Abu Dhabi nk na wanamaendeleo makubwa.

Someni history nchi zote zenye maendeleo demokrasia imekuja baadaye sana hiyo Marekani imejengwa na watumwa na black wameanza kupiga kura juzi tu.
 
Tanzania inaongoza kidunia kuwa na weu wapya kila uchao..
sijui kwa hali hii tz ya viwanda mtaifikia vipi,ama Mareham amekwenda na ndoto yake?.
 
Back
Top Bottom