Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,321
- 11,410
Dada wala huna haja ya kupaniki. Sasa ili muishi inabidi mtafute na nabii mwingine. Huyu abaki kuwa nabii au mtakatifu aliyekuwepo.au mungu amerudi enzini. Sasa nyinyi wafuasi wake mtuambie ibada zake mnafanyia wapihata baada ya kufariki unadhani wataendelea kumwabudu ili wapate kitu gani???
badilika wewe taahira.