Hayati Magufuli ni Nabii wa Afrika aliyechelewa kueleweka katika ukombozi wa pili wa Mwafrika, hakuogopa vigingi vya Mabeberu

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana Jf

Nianze Kwa kumtanguliza Mungu kama Nabii Dr. Magufuri alivyopendelea kumtanguliza Mungu kila wakati.

Ninaposema Dr. Magufuri ni Nabii wa Africa aliyetumwa kuikomboa Africa mara ya pili ninamaanisha kuwa Kwa Yale mahubiri yake ya kutaka Africa tujitathimini kupenda vyetu ili kujinasua mikononi mwa Mabeberu. Unyonyaji unaofanyika nchi nyingi Ni kutokana Na watu kukosa uzalendo Na kukumbatia njia zote za kinyonyaji kupitia mikataba feki.

Mabeberu waliiteka Africa Kwa njia zote za kiuchumi, kupitia mawakala wao kama WHO, WB, UN, IMF Na nyingine nyingi. Kwa kulitambua Hilo Magufuri pamoja Na uwezo ndogo kufuatana Na anaopambana nao aliweza kuanza kufumua mikataba ya kinyonyaji. Pengine Unaweza kusema Kwa nini hakupenda democrasia iliyozidi kipimo jibu Ni kwamba mpaka Sasa hakuna democrasia ya Kweli tunayoaminishwa. Tumejionea marumbano Na watu kupoteza Maisha katika uchaguzi wa USA.

Ambayo duniani tunaiona kama kiranja mstaarabu anayejua democrasia Na kuitumia vilivyo. Kwenye kudhamilia kitu cha kuleta maendeleo hakuna democrasia, ukiacha uende Na democrasia vitu vingi vitakwama kwenye utekelezaji. Tuliona miradi mingi iliyoandikwa zamani lakini iliiishia kwenye vitabu bila kutekelezwa huku Pesa ikiamishiwa Kwa vitu visivyokuwa vya maana. Katika maelezo ya mama Rais Samia amemweleza vizuri alivyokuwa anatekeleza unabii wake, unaambiwa hakupenda kudanganywa Wala longolongo.

Alipenda kila mtu atimize wajibu Kwa alichoagizwa ndio maana kama ukichelewa anakutumbua Na kuweka anayejua kuwajibika. Watu wachache kupitia maono yake wanaweza kusema alikuwa Na chembe chembe za udectata lakini kumbe sivyo. Katika kupambana Na Mabeberu mawakala wa Mabeberu lazima waweke vikwazo asitimize malengo. Alipoanza kununua ndege Kwa Kashi walilalama kuwa ndege zinanunuliwa Kwa mikopo ilihari Pesa zipo.

Alipoanza kupanua ubungo watu walimwona katili wakati wao hawakuwa Na hati ya kumiliki ardhi ya serikali huku wakijua ardhi Ni Mali ya serikali Kwa matumizi sahihi. Vyama vya upinzani vipo lakini vyama vinavyojinasibu kuwa wapinzani vimekaa kiualakati hivyo kukosa misimamo dhabiti kuonyesha Nia ya Kweli katika kuikomboa Tanzania.

Uwezi kuwa unapambana Na adui harafu unaomba msaada Kwa adui. Adui Yetu mkubwa Ni beberu anayekaa ulaya , ndani mkitofautiana wewe unaenda kushitaki Kwa adui mkuu Na kumpa njia za kutudhuru. Mwl. Nyerere alivyokuwa anaipambania Afrika alitumia nguvu nyingi lakini hawakukosa wachumia tumbo waliokuwa wanakwamisha ukombozi wa Kweli.

Tuliona walivyofanikiwa kuua ujamaa, tuliona walivyotumia viongozi wetu wa mwanzoni kwenye awamu tofauti tofauti kutekelezwa malengo Yao kuikwamisha Afrika kupitia ushauri wao wa ubinafshishaji tukajikuta tunabinafaisha kila kitu Leo hii viwanda vimekuwa magofu wajanja wanafugia mbuzi, kiwanda kinafanywa Chuma chakavu.

Nabii Magufuri alipoanza kuondoa waliotelekeza viwanda Na kuvigeuza ardhi ya kukopea Na kufanya mambo kinyume ya makubaliano, WaPo viongozi ambao waliosababisha haya waliomba misamaha kupitia tungo zao za kiuandishi kama Historia ya Maisha Yao. Nina huzuni Sana Nabii Magufuri hakuacha kitabu cha Maisha yake labda kingeleta usisimuzi wa kuishi wa aliyoyaanzisha katika harakati zake za kupambana Na Mabeberu katika Vita ya kiuchumi.

Mwisho namwomba Mama Rais S.S.H aendeleze mapambano Kwa Kadri itakavyokuwa, Nabii Magufuri aliponyoosha asikubali papinde, tunakuamini kumbuka Nabii hakubaliki kwao lakini Ni wewe mshika mikoba ya maono ya aliyoyaona katika kuikomboa Africa. Kupitia viatu vyake uenda ukateuliwa kuwa Mama Wa Africa au Mwenyekiti wa AU.
 
Rest in peace Magufuli.

Yakale yamepita... tuangalie yajayo
 
Wana Jf
Nianze Kwa kumtanguliza Mungu kama Nabii Dr. Magufuri alivyopendelea kumtanguliza Mungu kila wakati.

Ninaposema Dr. Magufuri Ni Nabii wa Africa aliyetumwa kuikomboa Africa mara ya pili ninamaanisha kuwa Kwa Yale mahubiri yake ya kutaka Africa tujitathimini kupenda vyetu ili kujinasua mikononi mwa Mabeberu. Unyonyaji unaofanyika nchi nyingi Ni kutokana Na watu kukosa uzalendo Na kukumbatia njia zote za kinyonyaji kupitia mikataba feki. Mabeberu waliiteka Africa Kwa njia zote za kiuchumi, kupitia mawakala wao kama WHO, WB, UN, IMF Na nyingine nyingi. Kwa kulitambua Hilo Magufuri pamoja Na uwezo ndogo kufuatana Na anaopambana nao aliweza kuanza kufumua mikataba ya kinyonyaji. Pengine Unaweza kusema Kwa nini hakupenda democrasia iliyozidi kipimo jibu Ni kwamba mpaka Sasa hakuna democrasia ya Kweli tunayoaminishwa. Tumejionea marumbano Na watu kupoteza Maisha katika uchaguzi wa USA. Ambayo duniani tunaiona kama kiranja mstaarabu anayejua democrasia Na kuitumia vilivyo. Kwenye kudhamilia kitu cha kuleta maendeleo hakuna democrasia, ukiacha uende Na democrasia vitu vingi vitakwama kwenye utekelezaji. Tuliona miradi mingi iliyoandikwa zamani lakini iliiishia kwenye vitabu bila kutekelezwa huku Pesa ikiamishiwa Kwa vitu visivyokuwa vya maana. Katika maelezo ya mama Rais Samia amemweleza vizuri alivyokuwa anatekeleza unabii wake, unaambiwa hakupenda kudanganywa Wala longolongo. Alipenda kila mtu atimize wajibu Kwa alichoagizwa ndio maana kama ukichelewa anakutumbua Na kuweka anayejua kuwajibika. Watu wachache kupitia maono yake wanaweza kusema alikuwa Na chembe chembe za udectata lakini kumbe sivyo. Katika kupambana Na Mabeberu mawakala wa Mabeberu lazima waweke vikwazo asitimize malengo. Alipoanza kununua ndege Kwa Kashi walilalama kuwa ndege zinanunuliwa Kwa mikopo ilihari Pesa zipo. Alipoanza kupanua ubungo watu walimwona katili wakati wao hawakuwa Na hati ya kumiliki ardhi ya serikali huku wakijua ardhi Ni Mali ya serikali Kwa matumizi sahihi. Vyama vya upinzani vipo lakini vyama vinavyojinasibu kuwa wapinzani vimekaa kiualakati hivyo kukosa misimamo dhabiti kuonyesha Nia ya Kweli katika kuikomboa Tanzania. Uwezi kuwa unapambana Na adui harafu unaomba msaada Kwa adui. Adui Yetu mkubwa Ni beberu anayekaa ulaya , ndani mkitofautiana wewe unaenda kushitaki Kwa adui mkuu Na kumpa njia za kutudhuru. Mwl. Nyerere alivyokuwa anaipambania Afrika alitumia nguvu nyingi lakini hawakukosa wachumia tumbo waliokuwa wanakwamisha ukombozi wa Kweli. Tuliona walivyofanikiwa kuua ujamaa, tuliona walivyotumia viongozi wetu wa mwanzoni kwenye awamu tofauti tofauti kutekelezwa malengo Yao kuikwamisha Afrika kupitia ushauri wao wa ubinafshishaji tukajikuta tunabinafaisha kila kitu Leo hii viwanda vimekuwa magofu wajanja wanafugia mbuzi, kiwanda kinafanywa Chuma chakavu. Nabii Magufuri alipoanza kuondoa waliotelekeza viwanda Na kuvigeuza ardhi ya kukopea Na kufanya mambo kinyume ya makubaliano, WaPo viongozi ambao waliosababisha haya waliomba misamaha kupitia tungo zao za kiuandishi kama Historia ya Maisha Yao. Nina huzuni Sana Nabii Magufuri hakuacha kitabu cha Maisha yake labda kingeleta usisimuzi wa kuishi wa aliyoyaanzisha katika harakati zake za kupambana Na Mabeberu katika Vita ya kiuchumi.

Mwisho namwomba Mama Rais S.S.H aendeleze mapambano Kwa Kadri itakavyokuwa, Nabii Magufuri aliponyoosha asikubali papinde, tunakuamini kumbuka Nabii hakubaliki kwao lakini Ni wewe mshika mikoba ya maono ya aliyoyaona katika kuikomboa Africa. Kupitia viatu vyake uenda ukateuliwa kuwa Mama Wa Africa au Mwenyekiti wa AU.
Wachumia tumbo mtahangaika sana...mwishoni mtamwita mungu kabisa.
 
Sawa ila ulipokopi uzi wako ungeomba mtu mwingine akufanyie paragraph setting ndipo upachike hapa.

Although nabii huwa hatumii nguvu, kuruhusu kuua, nabii anakazi moja au mbili ikiwepo kuonya nk.

Sasa huyo nabii wako hakuwa na tone la unabii, it was the same like false prophet.
 
Wana Jf
Nianze Kwa kumtanguliza Mungu kama Nabii Dr. Magufuri alivyopendelea kumtanguliza Mungu kila wakati.

Ninaposema Dr. Magufuri Ni Nabii wa Africa aliyetumwa kuikomboa Africa mara ya pili ninamaanisha kuwa Kwa Yale mahubiri yake ya kutaka Africa tujitathimini kupenda vyetu ili kujinasua mikononi mwa Mabeberu. Unyonyaji unaofanyika nchi nyingi Ni kutokana Na watu kukosa uzalendo Na kukumbatia njia zote za kinyonyaji kupitia mikataba feki. Mabeberu waliiteka Africa Kwa njia zote za kiuchumi, kupitia mawakala wao kama WHO, WB, UN, IMF Na nyingine nyingi. Kwa kulitambua Hilo Magufuri pamoja Na uwezo ndogo kufuatana Na anaopambana nao aliweza kuanza kufumua mikataba ya kinyonyaji. Pengine Unaweza kusema Kwa nini hakupenda democrasia iliyozidi kipimo jibu Ni kwamba mpaka Sasa hakuna democrasia ya Kweli tunayoaminishwa. Tumejionea marumbano Na watu kupoteza Maisha katika uchaguzi wa USA. Ambayo duniani tunaiona kama kiranja mstaarabu anayejua democrasia Na kuitumia vilivyo. Kwenye kudhamilia kitu cha kuleta maendeleo hakuna democrasia, ukiacha uende Na democrasia vitu vingi vitakwama kwenye utekelezaji. Tuliona miradi mingi iliyoandikwa zamani lakini iliiishia kwenye vitabu bila kutekelezwa huku Pesa ikiamishiwa Kwa vitu visivyokuwa vya maana. Katika maelezo ya mama Rais Samia amemweleza vizuri alivyokuwa anatekeleza unabii wake, unaambiwa hakupenda kudanganywa Wala longolongo. Alipenda kila mtu atimize wajibu Kwa alichoagizwa ndio maana kama ukichelewa anakutumbua Na kuweka anayejua kuwajibika. Watu wachache kupitia maono yake wanaweza kusema alikuwa Na chembe chembe za udectata lakini kumbe sivyo. Katika kupambana Na Mabeberu mawakala wa Mabeberu lazima waweke vikwazo asitimize malengo. Alipoanza kununua ndege Kwa Kashi walilalama kuwa ndege zinanunuliwa Kwa mikopo ilihari Pesa zipo. Alipoanza kupanua ubungo watu walimwona katili wakati wao hawakuwa Na hati ya kumiliki ardhi ya serikali huku wakijua ardhi Ni Mali ya serikali Kwa matumizi sahihi. Vyama vya upinzani vipo lakini vyama vinavyojinasibu kuwa wapinzani vimekaa kiualakati hivyo kukosa misimamo dhabiti kuonyesha Nia ya Kweli katika kuikomboa Tanzania. Uwezi kuwa unapambana Na adui harafu unaomba msaada Kwa adui. Adui Yetu mkubwa Ni beberu anayekaa ulaya , ndani mkitofautiana wewe unaenda kushitaki Kwa adui mkuu Na kumpa njia za kutudhuru. Mwl. Nyerere alivyokuwa anaipambania Afrika alitumia nguvu nyingi lakini hawakukosa wachumia tumbo waliokuwa wanakwamisha ukombozi wa Kweli. Tuliona walivyofanikiwa kuua ujamaa, tuliona walivyotumia viongozi wetu wa mwanzoni kwenye awamu tofauti tofauti kutekelezwa malengo Yao kuikwamisha Afrika kupitia ushauri wao wa ubinafshishaji tukajikuta tunabinafaisha kila kitu Leo hii viwanda vimekuwa magofu wajanja wanafugia mbuzi, kiwanda kinafanywa Chuma chakavu. Nabii Magufuri alipoanza kuondoa waliotelekeza viwanda Na kuvigeuza ardhi ya kukopea Na kufanya mambo kinyume ya makubaliano, WaPo viongozi ambao waliosababisha haya waliomba misamaha kupitia tungo zao za kiuandishi kama Historia ya Maisha Yao. Nina huzuni Sana Nabii Magufuri hakuacha kitabu cha Maisha yake labda kingeleta usisimuzi wa kuishi wa aliyoyaanzisha katika harakati zake za kupambana Na Mabeberu katika Vita ya kiuchumi.

Mwisho namwomba Mama Rais S.S.H aendeleze mapambano Kwa Kadri itakavyokuwa, Nabii Magufuri aliponyoosha asikubali papinde, tunakuamini kumbuka Nabii hakubaliki kwao lakini Ni wewe mshika mikoba ya maono ya aliyoyaona katika kuikomboa Africa. Kupitia viatu vyake uenda ukateuliwa kuwa Mama Wa Africa au Mwenyekiti wa AU.
We jamaa,kama ni mahaba yamezidi sana,hizi lugha za kuita watu mabeberu,zilikuwa zinamaana kwenye vuguvugu la ukombozi miaka ya 60! Sio leo hii karne ya 21.
Pili hiki kitendo Cha kulaumu wazungu kwa matatizo yanyotokea Afrika,ni upumbavu mtupu,na ni Sawa Sawa na mbuni kuficha kichwa akifikiri haonekani.
Afrika imeshuhudia ufisadi,na wizi wa mali ya umma,je ulifsnywa na wazungu?
Wizi wa escrow,wizi wa EPA,ufisadi wa mashamba ya mkonge,yale majizi yaliyobeba pesa kwenye corona,kipindi Cha Kikwete,walikuwa wazungu?
Jacob zuma kutumia pesa ya umma kujenga nyumba za michepuko yake ni wazungu wale?
India Wana demokrasia ya kimaghsribi,na wanamendeleo makubwa tu,hizi bland KIA,TATA,unafikiri zinatengenezwa Chato?
Adui yetu mkubwa sio wazungu,ni serikali ya ccm,inayolea ufisadi.
Hata Jiwe alikuwa mwizi tu,akachukua tenda ya chato airport akampa shemeji yake,bila kufata taratibu,huo ni wizi tu.
Zile maiti zilizokuwa zinaokotwa coco beach,yale Mauaji yalifsnywa na wazungu/mabeberu?
Katika utawala wa Jiwe,ndio kipindi ambacho haki za binadamu zimekiukwa balaa,Mbunge anapigwa risasi 19,mchana kweupe,Tena kwenye viunga vya bunge,harafu unasema "mabeberu" ndio maadui wetu!.
 
Sawa ila ulipokopi uzi wako ungeomba mtu mwingine akufanyie paragraph setting ndipo upachike hapa.

Although nabii huwa hatumii nguvu, kuruhusu kuua, nabii anakazi moja au mbili ikiwepo kuonya nk.

Sasa huyo nabii wako hakuwa na tone la unabii, it was the same like false prophet.
Soma sofa za manabii, au watakatifu, Kuna sehemu waliokuwa wanakwamisha hata ufikia kuua. Goriati aliuliwa Na Nani Na Kwa sababu Gani? Au
 
Wana Jf
Nianze Kwa kumtanguliza Mungu kama Nabii Dr. Magufuri alivyopendelea kumtanguliza Mungu kila wakati.

Ninaposema Dr. Magufuri Ni Nabii wa Africa aliyetumwa kuikomboa Africa mara ya pili ninamaanisha kuwa Kwa Yale mahubiri yake ya kutaka Africa tujitathimini kupenda vyetu ili kujinasua mikononi mwa Mabeberu. Unyonyaji unaofanyika nchi nyingi Ni kutokana Na watu kukosa uzalendo Na kukumbatia njia zote za kinyonyaji kupitia mikataba feki. Mabeberu waliiteka Africa Kwa njia zote za kiuchumi, kupitia mawakala wao kama WHO, WB, UN, IMF Na nyingine nyingi. Kwa kulitambua Hilo Magufuri pamoja Na uwezo ndogo kufuatana Na anaopambana nao aliweza kuanza kufumua mikataba ya kinyonyaji. Pengine Unaweza kusema Kwa nini hakupenda democrasia iliyozidi kipimo jibu Ni kwamba mpaka Sasa hakuna democrasia ya Kweli tunayoaminishwa. Tumejionea marumbano Na watu kupoteza Maisha katika uchaguzi wa USA. Ambayo duniani tunaiona kama kiranja mstaarabu anayejua democrasia Na kuitumia vilivyo. Kwenye kudhamilia kitu cha kuleta maendeleo hakuna democrasia, ukiacha uende Na democrasia vitu vingi vitakwama kwenye utekelezaji. Tuliona miradi mingi iliyoandikwa zamani lakini iliiishia kwenye vitabu bila kutekelezwa huku Pesa ikiamishiwa Kwa vitu visivyokuwa vya maana. Katika maelezo ya mama Rais Samia amemweleza vizuri alivyokuwa anatekeleza unabii wake, unaambiwa hakupenda kudanganywa Wala longolongo. Alipenda kila mtu atimize wajibu Kwa alichoagizwa ndio maana kama ukichelewa anakutumbua Na kuweka anayejua kuwajibika. Watu wachache kupitia maono yake wanaweza kusema alikuwa Na chembe chembe za udectata lakini kumbe sivyo. Katika kupambana Na Mabeberu mawakala wa Mabeberu lazima waweke vikwazo asitimize malengo. Alipoanza kununua ndege Kwa Kashi walilalama kuwa ndege zinanunuliwa Kwa mikopo ilihari Pesa zipo. Alipoanza kupanua ubungo watu walimwona katili wakati wao hawakuwa Na hati ya kumiliki ardhi ya serikali huku wakijua ardhi Ni Mali ya serikali Kwa matumizi sahihi. Vyama vya upinzani vipo lakini vyama vinavyojinasibu kuwa wapinzani vimekaa kiualakati hivyo kukosa misimamo dhabiti kuonyesha Nia ya Kweli katika kuikomboa Tanzania. Uwezi kuwa unapambana Na adui harafu unaomba msaada Kwa adui. Adui Yetu mkubwa Ni beberu anayekaa ulaya , ndani mkitofautiana wewe unaenda kushitaki Kwa adui mkuu Na kumpa njia za kutudhuru. Mwl. Nyerere alivyokuwa anaipambania Afrika alitumia nguvu nyingi lakini hawakukosa wachumia tumbo waliokuwa wanakwamisha ukombozi wa Kweli. Tuliona walivyofanikiwa kuua ujamaa, tuliona walivyotumia viongozi wetu wa mwanzoni kwenye awamu tofauti tofauti kutekelezwa malengo Yao kuikwamisha Afrika kupitia ushauri wao wa ubinafshishaji tukajikuta tunabinafaisha kila kitu Leo hii viwanda vimekuwa magofu wajanja wanafugia mbuzi, kiwanda kinafanywa Chuma chakavu. Nabii Magufuri alipoanza kuondoa waliotelekeza viwanda Na kuvigeuza ardhi ya kukopea Na kufanya mambo kinyume ya makubaliano, WaPo viongozi ambao waliosababisha haya waliomba misamaha kupitia tungo zao za kiuandishi kama Historia ya Maisha Yao. Nina huzuni Sana Nabii Magufuri hakuacha kitabu cha Maisha yake labda kingeleta usisimuzi wa kuishi wa aliyoyaanzisha katika harakati zake za kupambana Na Mabeberu katika Vita ya kiuchumi.

Mwisho namwomba Mama Rais S.S.H aendeleze mapambano Kwa Kadri itakavyokuwa, Nabii Magufuri aliponyoosha asikubali papinde, tunakuamini kumbuka Nabii hakubaliki kwao lakini Ni wewe mshika mikoba ya maono ya aliyoyaona katika kuikomboa Africa. Kupitia viatu vyake uenda ukateuliwa kuwa Mama Wa Africa au Mwenyekiti wa AU.
Umeandika upuuzi tu..nambii wa nyoko.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili dawati la buku 7 pale Lumumba lifungwe tu sasa.


Daudi na Goliathi​


TENA Wafilisti wanakuja kupigana na Israeli. Wakati huu ndugu zake Daudi wakubwa watatu wamo katika jeshi la Sauli. Basi siku moja Yese amwambia Daudi hivi: ‘Wapelekee ndugu zako nafaka na mikate. Kaone kama ni wazima.’
Daudi anapofika kwenye kambi ya jeshi, anapiga mbio kwenda kwenye mapigano akawatafute ndugu zake. Goliathi (Goliata), jitu la Wafilisti anajitokeza ili awacheke Waisraeli. Kwa muda wa siku 40 amekuwa akifanya hivyo asubuhi na jioni. Anapaza sauti: ‘Haya, chagueni mmoja apigane nami.’
Goliathi na jeshi la Wafilisti
Daudi anauliza askari fulani hivi: ‘Atapata nini mtu anayemwua Mfilisti huyu na kuwaondolea Waisraeli aibu hii?’
‘Sauli atampa mtu huyo mali nyingi,’ askari anasema. ‘Naye atampa binti yake awe mke wake.’
Lakini Waisraeli wote wanamwogopa Goliathi kwa sababu ni mkubwa mno. Urefu wake ni zaidi ya mita tatu, na ana askari mwingine wa kumchukulia ngao.
Askari fulani wanakwenda kumwambia Mfalme Sauli kwamba Daudi anataka kupigana na Goliathi. Lakini Sauli anamwambia Daudi hivi: ‘Wewe huwezi kupigana na Mfilisti huyu. Wewe ni mtoto tu, yeye amekuwa askari maisha yake yote.’ Daudi anajibu hivi: ‘Mimi niliua dubu na simba aliyechukua kondoo wa baba. Na Mfilisti huyu atakuwa kama huyo. Yehova atanisaidia.’ Basi Sauli anasema: ‘Nenda, Yehova awe nawe.’
Daudi anatelemkia njia ya kijito na kuchagua mawe matano laini, na kuyaweka mfukoni mwake. Kisha anachukua kombeo lake na kwenda kukutana na jitu lile. Goliathi anapomwona anamdharau. Anadhani itakuwa rahisi sana kumwua Daudi.
‘Wewe njoo tu kwangu,’ Goliathi asema, ‘nami nitawapa ndege na wanyama wapate kula mwili wako.’ Lakini Daudi anasema: ‘Wewe unakuja kwangu kwa upanga na mkuki, lakini mimi ninakuja kwako kwa jina la Yehova. Leo hii Yehova atakutia wewe mikononi mwangu nami nitakuangusha chini.’
Papo hapo Daudi anamkimbilia Goliathi. Anachukua jiwe katika mfuko wake, analiweka katika kombeo lake, na kulitupa kwa nguvu zake zote. Jiwe hilo linaingia moja kwa moja kichwani mwa Goliathi, anaanguka na kufa! Wafilisti wanapoona bingwa wao ameanguka, wote wanageuka na kukimbia. Waisraeli wanawafuatia mbio na kushinda vita.
 
Mugabe pia hakuogopa vigingi vya mabeberu.

Tusimsahau Mugabe.

Mugabe kitu alifanikiwa ni kuwanyang'anya weupe ardhi. Alipambana ipasavyo na kila aliyeonekana kuhatarisha nafasi yake ( kiti chake). Wasomi wengi waliikimbia nchi na kuishi maisha magumu sana. Kwa Wazimbabwe huyu jamaa hakua shujaa kama wengi tunavyomchukulia huku nje

Kuhusu JPM siwezi kumuita nabii lakini alikua mwenye uthubutu, aliyependa matokeo, alisimamia maamuzi yake na aliamini vitu vinaweza kufanyika.

Alikua na mapungufu yake kama tulivyobinadam wengine.

Kazi ameimaliza, amefunga kurasa za kitabu chake.
 


Daudi na Goliathi​


TENA Wafilisti wanakuja kupigana na Israeli. Wakati huu ndugu zake Daudi wakubwa watatu wamo katika jeshi la Sauli. Basi siku moja Yese amwambia Daudi hivi: ‘Wapelekee ndugu zako nafaka na mikate. Kaone kama ni wazima.’
Daudi anapofika kwenye kambi ya jeshi, anapiga mbio kwenda kwenye mapigano akawatafute ndugu zake. Goliathi (Goliata), jitu la Wafilisti anajitokeza ili awacheke Waisraeli. Kwa muda wa siku 40 amekuwa akifanya hivyo asubuhi na jioni. Anapaza sauti: ‘Haya, chagueni mmoja apigane nami.’
Goliathi na jeshi la Wafilisti
Daudi anauliza askari fulani hivi: ‘Atapata nini mtu anayemwua Mfilisti huyu na kuwaondolea Waisraeli aibu hii?’
‘Sauli atampa mtu huyo mali nyingi,’ askari anasema. ‘Naye atampa binti yake awe mke wake.’
Lakini Waisraeli wote wanamwogopa Goliathi kwa sababu ni mkubwa mno. Urefu wake ni zaidi ya mita tatu, na ana askari mwingine wa kumchukulia ngao.
Askari fulani wanakwenda kumwambia Mfalme Sauli kwamba Daudi anataka kupigana na Goliathi. Lakini Sauli anamwambia Daudi hivi: ‘Wewe huwezi kupigana na Mfilisti huyu. Wewe ni mtoto tu, yeye amekuwa askari maisha yake yote.’ Daudi anajibu hivi: ‘Mimi niliua dubu na simba aliyechukua kondoo wa baba. Na Mfilisti huyu atakuwa kama huyo. Yehova atanisaidia.’ Basi Sauli anasema: ‘Nenda, Yehova awe nawe.’
Daudi anatelemkia njia ya kijito na kuchagua mawe matano laini, na kuyaweka mfukoni mwake. Kisha anachukua kombeo lake na kwenda kukutana na jitu lile. Goliathi anapomwona anamdharau. Anadhani itakuwa rahisi sana kumwua Daudi.
‘Wewe njoo tu kwangu,’ Goliathi asema, ‘nami nitawapa ndege na wanyama wapate kula mwili wako.’ Lakini Daudi anasema: ‘Wewe unakuja kwangu kwa upanga na mkuki, lakini mimi ninakuja kwako kwa jina la Yehova. Leo hii Yehova atakutia wewe mikononi mwangu nami nitakuangusha chini.’
Papo hapo Daudi anamkimbilia Goliathi. Anachukua jiwe katika mfuko wake, analiweka katika kombeo lake, na kulitupa kwa nguvu zake zote. Jiwe hilo linaingia moja kwa moja kichwani mwa Goliathi, anaanguka na kufa! Wafilisti wanapoona bingwa wao ameanguka, wote wanageuka na kukimbia. Waisraeli wanawafuatia mbio na kushinda vita.
 
Mods nibadilisjie heading Hatari@ Hayati
Mjinga aliye waaminisha kwamba kiongozi anaye chukia wazungu ndiye shujaa wa africa aliwatia ujinga wa kiwango cha juu sana kwa sababu hakuna africa inayo weza ku survive bila mzungu hakuna hivyo mawazo ya aina hiyo ni kujilisha upepo tu.
 
Mjinga aliye waaminisha kwamba kiongozi anaye chukia wazungu ndiye shujaa wa africa aliwatia ujinga wa kiwango cha juu sana kwa sababu hakuna africa inayo weza ku survive bila mzungu hakuna hivyo mawazo ya aina hiyo ni kujilisha upepo tu.
Usijifanye kunguru mwoga, kwani kabla ya wazungu hakuna nchi ambazo zilikuwa Na maendeleo ya watu Na vitu. Mali, misdi Na nyingine nyingi kabla ya Mabeberu zilikuwa vizuri. Sasa wewe ushatskwa Na wazungu uwezi kutoka Korea ya Kaskazini inaendeshwa Na Mabeberu? Mungu mnasomea nini kama vyuo vipo lakini uwezi hata kutengeneza wemb Na sindano mpaka uagize. Nabii Magufuri Alianza ndogo ndogo kuondoa haya.
 
Back
Top Bottom