ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,648
Akili ziliwaongoza sana na mkawa vinara. Shukrani ziwaendee mlipo wengi hawajui ukweli wa mambo kwa sababu hawajatembea bali wanasikia sikia tu kilichokuwepo na ilichotokea.
Nawapongeza sana Magufuli, Makonda, Kassim Majaliwa na Rais Samia suluhu big up
Hutaki acha maisha ya endelee hivihivi. Ila Waziri Aweso nakuomba sana zingatia shida ya maji bado ni kubwa sana vijijini ukiweza kutatua hii shida ndani ya kipindi hiki 2025-2030 tunaweza kukufikiria kukupa urais we piga kazi hasa mikoa yenye shida ya maji.
Nawapongeza sana Magufuli, Makonda, Kassim Majaliwa na Rais Samia suluhu big up
Hutaki acha maisha ya endelee hivihivi. Ila Waziri Aweso nakuomba sana zingatia shida ya maji bado ni kubwa sana vijijini ukiweza kutatua hii shida ndani ya kipindi hiki 2025-2030 tunaweza kukufikiria kukupa urais we piga kazi hasa mikoa yenye shida ya maji.