miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,969
Hili mtalijua wenyewe. Sisi ni mbere kwa mberebado umeweka ukabila mbele mimi ni mtu kanda nyingine sifanani wala kuhusiana na wasukuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili mtalijua wenyewe. Sisi ni mbere kwa mberebado umeweka ukabila mbele mimi ni mtu kanda nyingine sifanani wala kuhusiana na wasukuma
Sawa mkuu lakini sisi ni watanzania vyama vyenu ivo msiviweke mbele nataman tungekua na monoparty tu multiparty inashusha uzalendoHili mtalijua wenyewe. Sisi ni mbere kwa mbere
sasa huo idhaifu wake ndio uliomfunga asijue wanamzunguka ni akina nani. lait angekuwa msikivu na kuweka ukarib na watu wake. maybe angeyajua haya mapema wkt wa uhai wake.Hayo ndo yalikua mapungufu yake ni sawa na wale wengine ambao ni wasomi wazur ila madhaifu yao ni kutukana na kutia aibu taifa ughaibuni
Nani kakuambia nina chama? Nikikuambia sina kadi ya chama chochote utaamini?Sawa mkuu lakini sisi ni watanzania vyama vyenu ivo msiviweke mbele nataman tungekua na monoparty tu multiparty inashusha uzalendo
Kama vikaragosi vyake mpo/wapo....jino kwa jino!Aliyeayaanzisha hayupo sasa haina maana kuendeleza ubaya