happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 568
- 1,847
Historia imeandikwa na hakuna anaeweza ifuta kwamba John Pombe Magufuli ni rais bora kabisa kuwahi kutokea Afrika.
Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini.
Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata ishuke mbingu leo. Watoto wa uswahilini wanasemaga "imeisha iyooo"
Lakini wapinzani wa nchi hii hiyo kitu hawataki kabisa kukubaliana nayo, na ni kama bado wanamuogopa sana Magufuli.
Bado wamewekeza kupambana na Magufuli, wakilala wakiamka anaewasumbua sio kiongozi aliye madarakani. Wao anaewasumbua ni marehemu aliyepumzika kabulini.
Ama kwa hakika CCM inapaswa kujivunia sana Magu maana kama ni kazi ya kusimamisha chama dola aliifanya kwa mafanikio makubwa.
Haya mashambulizi ya wapinzani kwa marehemu inaonesha kabisa wanajua aliyewafuta kwenye ulimwengu wa siasa wanamjua na wanajua mpaka wananchi wamewapuuza na still wanamuamini sana hayati Magufuli.
Kiukweli hawaamini wanachokiona, mtu amekufa lakini bado ana nguvu mitaani kushinda walio hai.
Kuna siku atatokea mwanasiasa ataubiri sera na misimamo ya Magufuli na atawasumbua sana wapinzani.
Mama Samia amesafishiwa njia anachotakiwa ni kuteleza tu kwa kasi kubwa.
Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini.
Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata ishuke mbingu leo. Watoto wa uswahilini wanasemaga "imeisha iyooo"
Lakini wapinzani wa nchi hii hiyo kitu hawataki kabisa kukubaliana nayo, na ni kama bado wanamuogopa sana Magufuli.
Bado wamewekeza kupambana na Magufuli, wakilala wakiamka anaewasumbua sio kiongozi aliye madarakani. Wao anaewasumbua ni marehemu aliyepumzika kabulini.
Ama kwa hakika CCM inapaswa kujivunia sana Magu maana kama ni kazi ya kusimamisha chama dola aliifanya kwa mafanikio makubwa.
Haya mashambulizi ya wapinzani kwa marehemu inaonesha kabisa wanajua aliyewafuta kwenye ulimwengu wa siasa wanamjua na wanajua mpaka wananchi wamewapuuza na still wanamuamini sana hayati Magufuli.
Kiukweli hawaamini wanachokiona, mtu amekufa lakini bado ana nguvu mitaani kushinda walio hai.
Kuna siku atatokea mwanasiasa ataubiri sera na misimamo ya Magufuli na atawasumbua sana wapinzani.
Mama Samia amesafishiwa njia anachotakiwa ni kuteleza tu kwa kasi kubwa.