Hayati Magufuli bado anawanyima usingizi wapinzani wa Tanzania

ukitaka kuifuta legacy ya jpm kaa kimya,usimsema vibaya Wala kumchafua...hapo utafaulu,ila ukifanya kinyume ndo kwanza unaipa nguvu iendelee kung'ara!!! kila mtz aliona kwa macho yake kazi alizofanya Sasa unaanzaje kuwadanganya watu wakuelewe!!??
 
Historia imeandikwa na hakuna anaeweza ifuta kwamba John Pombe Magufuli ni rais bora kabisa kuwahi kutokea Afrika.

Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini.

Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata ishuke mbingu leo. Watoto wa uswahilini wanasemaga "imeisha iyooo"

Lakini wapinzani wa nchi hii hiyo kitu hawataki kabisa kukubaliana nayo, na ni kama bado wanamuogopa sana Magufuli.

Bado wamewekeza kupambana na Magufuli, wakilala wakiamka anaewasumbua sio kiongozi aliye madarakani. Wao anaewasumbua ni marehemu aliyepumzika kabulini.

Ama kwa hakika CCM inapaswa kujivunia sana Magu maana kama ni kazi ya kusimamisha chama dola aliifanya kwa mafanikio makubwa.

Haya mashambulizi ya wapinzani kwa marehemu inaonesha kabisa wanajua aliyewafuta kwenye ulimwengu wa siasa wanamjua na wanajua mpaka wananchi wamewapuuza na still wanamuamini sana hayati Magufuli.

Kiukweli hawaamini wanachokiona, mtu amekufa lakini bado ana nguvu mitaani kushinda walio hai.

Kuna siku atatokea mwanasiasa ataubiri sera na misimamo ya Magufuli na atawasumbua sana wapinzani.

Mama Samia amesafishiwa njia anachotakiwa ni kuteleza tu kwa kasi kubwa.
Wapinzani gani? Si mmesema mmeua upinzani? Ukishaona MTU anajiita XXX huwezi kutegemea aongee kitu cha maana
 
Historia imeandikwa na hakuna anaeweza ifuta kwamba John Pombe Magufuli ni rais bora kabisa kuwahi kutokea Afrika.

Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini.

Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata ishuke mbingu leo. Watoto wa uswahilini wanasemaga "imeisha iyooo"

Lakini wapinzani wa nchi hii hiyo kitu hawataki kabisa kukubaliana nayo, na ni kama bado wanamuogopa sana Magufuli.

Bado wamewekeza kupambana na Magufuli, wakilala wakiamka anaewasumbua sio kiongozi aliye madarakani. Wao anaewasumbua ni marehemu aliyepumzika kabulini.

Ama kwa hakika CCM inapaswa kujivunia sana Magu maana kama ni kazi ya kusimamisha chama dola aliifanya kwa mafanikio makubwa.

Haya mashambulizi ya wapinzani kwa marehemu inaonesha kabisa wanajua aliyewafuta kwenye ulimwengu wa siasa wanamjua na wanajua mpaka wananchi wamewapuuza na still wanamuamini sana hayati Magufuli.

Kiukweli hawaamini wanachokiona, mtu amekufa lakini bado ana nguvu mitaani kushinda walio hai.

Kuna siku atatokea mwanasiasa ataubiri sera na misimamo ya Magufuli na atawasumbua sana wapinzani.

Mama Samia amesafishiwa njia anachotakiwa ni kuteleza tu kwa kasi kubwa.
Kuna vitu umeongea nilikuwa nataka kuviongea lkn nilikuwa nashindwa jinsi ya kuviongea.
 
Historia imeandikwa na hakuna anaeweza ifuta kwamba John Pombe Magufuli ni rais bora kabisa kuwahi kutokea Afrika.

Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini.

Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata ishuke mbingu leo. Watoto wa uswahilini wanasemaga "imeisha iyooo"

Lakini wapinzani wa nchi hii hiyo kitu hawataki kabisa kukubaliana nayo, na ni kama bado wanamuogopa sana Magufuli.

Bado wamewekeza kupambana na Magufuli, wakilala wakiamka anaewasumbua sio kiongozi aliye madarakani. Wao anaewasumbua ni marehemu aliyepumzika kabulini.

Ama kwa hakika CCM inapaswa kujivunia sana Magu maana kama ni kazi ya kusimamisha chama dola aliifanya kwa mafanikio makubwa.

Haya mashambulizi ya wapinzani kwa marehemu inaonesha kabisa wanajua aliyewafuta kwenye ulimwengu wa siasa wanamjua na wanajua mpaka wananchi wamewapuuza na still wanamuamini sana hayati Magufuli.

Kiukweli hawaamini wanachokiona, mtu amekufa lakini bado ana nguvu mitaani kushinda walio hai.

Kuna siku atatokea mwanasiasa ataubiri sera na misimamo ya Magufuli na atawasumbua sana wapinzani.

Mama Samia amesafishiwa njia anachotakiwa ni kuteleza tu kwa kasi kubwa.
NILEETENI GWAJIMAAAA X3
 
Back
Top Bottom