Hayati Magufuli angejaliwa subira hakika angekuwa habari nyingine

Pamoja na kupungukiwa subira hakika JPM alikuwa na tamaa ya dhati kabisa kuisaidia Nchi yetu iweze kufikia maendeleo ya kweli.

JPM hakuwa na subira ya hata chembe kitu ambacho kiliwaumiza na wasio husika.

Mfano mzuri ni suala la vyeti fake JPM alitakiwa angalau wale ambao walikuwa na uzoefu wa fani husika na walitumika/hudumu aghalabu zaidi ya muongo mmoja angewasamehe na wangetakiwa wapewe japo muda wa mpito ili waweze kujiendeleza kielimu kwa kuzingatia tasnia waliyokuwapo.

Pia suala la kuvunja nyumba za watu pale Kimala Hayati Magufuli alipaswa kutoa japo fidia kiasi bila kujali mambo ya sheria. Ni wazi JPM hakuwapenda wana kata ya Kimala kwa sababu ya itikadi zao za kisiasa lakini hakupaswa kuwahukumu kwa namna ile aliyoifanya.

Katika yote, JPM alikuwa Rais mzalendo wa kweli ndani ya Nchi yake!

Tuendelee kumsamehe Rais Magufuli na pia tuendelee kumuombea pumziko la milele.

RiP JPM!
Kuongoza ni kazi sana, watu walilipwa fidia wakauza kwengine, kama kiongozi utapeleka pesa za walipa Kodi wengine kwa watu waliokaa pale isivyo halali? Lakini pia kwa wale ambao upanuzi uliwafuata ambao walikuwa nje ya mita za road reserve walipewa Chao kihalali
 
Pamoja na kupungukiwa subira hakika JPM alikuwa na tamaa ya dhati kabisa kuisaidia Nchi yetu iweze kufikia maendeleo ya kweli.

JPM hakuwa na subira ya hata chembe kitu ambacho kiliwaumiza na wasio husika.

Mfano mzuri ni suala la vyeti fake JPM alitakiwa angalau wale ambao walikuwa na uzoefu wa fani husika na walitumika/hudumu aghalabu zaidi ya muongo mmoja angewasamehe na wangetakiwa wapewe japo muda wa mpito ili waweze kujiendeleza kielimu kwa kuzingatia tasnia waliyokuwapo.

Pia suala la kuvunja nyumba za watu pale Kimala Hayati Magufuli alipaswa kutoa japo fidia kiasi bila kujali mambo ya sheria. Ni wazi JPM hakuwapenda wana kata ya Kimala kwa sababu ya itikadi zao za kisiasa lakini hakupaswa kuwahukumu kwa namna ile aliyoifanya.

Katika yote, JPM alikuwa Rais mzalendo wa kweli ndani ya Nchi yake!

Tuendelee kumsamehe Rais Magufuli na pia tuendelee kumuombea pumziko la milele.

RiP JPM!
Pole sana mjane
 
Mungu ni mwenye wivu .....ilipitiliza binadamu wakawa wanaabdudu binafamu mwenzake ukuu wa Mungu lazima ujionyeshe ........eti mh mungu wewe dgihaka kubwa hiyo...
Unaamini kiumbe hai kimeumbiwa kifo? JPM kaenda ana miaka 61 wako wanaoenda wakiwa na mikaa 20 tu na waovu wakubwa ndiyo wanafikisha ata miaka 100.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na kupungukiwa subira hakika JPM alikuwa na tamaa ya dhati kabisa kuisaidia Nchi yetu iweze kufikia maendeleo ya kweli.

JPM hakuwa na subira ya hata chembe kitu ambacho kiliwaumiza na wasio husika.

Mfano mzuri ni suala la vyeti fake JPM alitakiwa angalau wale ambao walikuwa na uzoefu wa fani husika na walitumika/hudumu aghalabu zaidi ya muongo mmoja angewasamehe na wangetakiwa wapewe japo muda wa mpito ili waweze kujiendeleza kielimu kwa kuzingatia tasnia waliyokuwapo.

Pia suala la kuvunja nyumba za watu pale Kimala Hayati Magufuli alipaswa kutoa japo fidia kiasi bila kujali mambo ya sheria. Ni wazi JPM hakuwapenda wana kata ya Kimala kwa sababu ya itikadi zao za kisiasa lakini hakupaswa kuwahukumu kwa namna ile aliyoifanya.

Katika yote, JPM alikuwa Rais mzalendo wa kweli ndani ya Nchi yake!

Tuendelee kumsamehe Rais Magufuli na pia tuendelee kumuombea pumziko la milele.

RiP JPM!
Hata kama JPM angekuwa na subira kama ya ngamia he was yet the wrongest possible president. Better that he’s no more.
 
He found his country in the extreme left; he had to use whatever he could to bring it to balance. Si kazi ya mchezo ile. Aliyesema, ^Mzigo mzito mtwishe M....,^ wala hata hakukosea!!!
 
Pamoja na kupungukiwa subira hakika JPM alikuwa na tamaa ya dhati kabisa kuisaidia Nchi yetu iweze kufikia maendeleo ya kweli.

JPM hakuwa na subira ya hata chembe kitu ambacho kiliwaumiza na wasio husika.

Mfano mzuri ni suala la vyeti fake JPM alitakiwa angalau wale ambao walikuwa na uzoefu wa fani husika na walitumika/hudumu aghalabu zaidi ya muongo mmoja angewasamehe na wangetakiwa wapewe japo muda wa mpito ili waweze kujiendeleza kielimu kwa kuzingatia tasnia waliyokuwapo.

Pia suala la kuvunja nyumba za watu pale Kimara Hayati Magufuli alipaswa kutoa japo fidia kiasi bila kujali mambo ya sheria. Ni wazi JPM hakuwapenda wana kata ya Kimara kwa sababu ya itikadi zao za kisiasa lakini hakupaswa kuwahukumu kwa namna ile aliyoifanya.

Katika yote, JPM alikuwa Rais mzalendo wa kweli ndani ya Nchi yake!

Tuendelee kumsamehe Rais Magufuli na pia tuendelee kumuombea pumziko la milele.

RiP JPM!
Alichokosea ni kuua watu wasio na hatia. Mtu kama Tundu Lissu hakufanya kosa la kustahili kupigwa risasi 36 mchana kweupe.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom