Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,675
Yaani kumbe tunao takataka kiasi hiki? Kwa hiyo mtu kama kala pesa za nchi asisemwe anyamaziwe tu kisa ni jeshi? Malaya mkubwa wewe
Matusi yatasaidia nini sasa? Walio kuwa wakifanya kazi ya kumsaidia mwenda zake kuongoza wajitathimini waone wanafaa kuaminika. Wakishindwa Bunge liwasaidie kujitathimini.