kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Nasubiri baada ya miaka miwili nitawapima kwa indicator zifuatazo
1. Thamani ya pesa yetu shilingi dhidi ya dola ya kimarekani
2. Mfumuko wa bei hasa bei ya mafuta (petrol & Dieseli)
3. Madeni ya nchi
4. Miradi mipya ya maendeleo
5. Ajira
6. Upandaji wa mishahara na madaraja
7. Hospitali mpya na vituo vya afya
8. Huduma za kijamii pamoja na elimu
9. Miundo mbinu ya barabara, reli nk
10. Umaliziwaji wa miradi iliyoachwa
11. Hali ya madawa ya kulevya nchini pamoja na ufisadi
12. Kuongezeka kwa makusanyo serikalini
1. Thamani ya pesa yetu shilingi dhidi ya dola ya kimarekani
2. Mfumuko wa bei hasa bei ya mafuta (petrol & Dieseli)
3. Madeni ya nchi
4. Miradi mipya ya maendeleo
5. Ajira
6. Upandaji wa mishahara na madaraja
7. Hospitali mpya na vituo vya afya
8. Huduma za kijamii pamoja na elimu
9. Miundo mbinu ya barabara, reli nk
10. Umaliziwaji wa miradi iliyoachwa
11. Hali ya madawa ya kulevya nchini pamoja na ufisadi
12. Kuongezeka kwa makusanyo serikalini