Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,676
Usimtishe SSH. Hao kska zako wakikosea wasisemwe? Ukweli usisemwe? Kumbuka hata mjomba wako alikuwa akisisitiza.."msema kweli ni mpenzi wa Mungu" au nasema uongo ndugu zangu?
Rais wa mpango na kusudi la Mungu wa Mbinguni hatishiwi huambiwa ukweli ili awe huru. Shetani na mawakala wake ndio hutafsiri huku ni kutishiwa. Shetani ni Baba wa Uongo wote.