Hayati Magufuli aliweza kujenga miradi kwa fedha za ndani, hizo fedha za ndani kwa sasa zinafanya kazi gani au mapato yameshuka?

Awamu iliyopita Rais, Makamu, Waziri Mkuu na viongoozi wote wa Serikali walitueleza wazi kwamba wanajenga Kwa fedha za ndani.

Chama cha Mapinduzi na taasisi zake zote walizunguka kutuambia Serikali ya CCM inajenga kwa kutumia fedha za ndani.

Bunge na units zilizopo chini yake walituambia tuNajenga kwa fedha za ndani

Miezi Tisa baadaye hakuna yeyote anayetuambia tunatumia fedha za ndani, je Nani kabadili matumizi ya fedha za ndani Kwenye ujenzi? Amebadili kazipeleka wapi hizo fedha? Alipata wapi ridhaa yakubadili matumizi ya fedha za ndani? Upi msimamo wa CCM kuhusu Kuanza kufanya miradi kwa fedha za nje?
Wajinga kama ninyi ndio mlikuwa mmeridhika kuwa kuna "fedha za ndani".
Maana mlikuwa hamuoni wafanyabiashara wakiporwa fedha zao, na Bureu de Change zikiporwa, mishahara hakuna increment, wafanyakazi wakifukuzwa eti hawana vyeti.

Sasa wajinga mkiwa wengi, nchi ndio itajengeka!
 
Awamu iliyopita Rais, Makamu, Waziri Mkuu na viongoozi wote wa Serikali walitueleza wazi kwamba wanajenga Kwa fedha za ndani.

Chama cha Mapinduzi na taasisi zake zote walizunguka kutuambia Serikali ya CCM inajenga kwa kutumia fedha za ndani.

Bunge na units zilizopo chini yake walituambia tuNajenga kwa fedha za ndani

Miezi Tisa baadaye hakuna yeyote anayetuambia tunatumia fedha za ndani, je Nani kabadili matumizi ya fedha za ndani Kwenye ujenzi? Amebadili kazipeleka wapi hizo fedha? Alipata wapi ridhaa yakubadili matumizi ya fedha za ndani? Upi msimamo wa CCM kuhusu Kuanza kufanya miradi kwa fedha za nje?

Kiwango cha kufikiri na kuchambua ukweli na uwongo ni duni sana kwa Watanzania walio wengi. Magufuli alijuwa UJINGA uliopo kwa Watanzania na akautumia kwa KUWADANGANYA
Magufuli alikuwa anajuwa kiwango cha ujinga wa Watanzania walio wengi na ndiyo ukawa mtaji wake kwa propaganda za UWONGO. Wasomi na wajuzi wa mambo akawanyamazisha kwa sheria mbaya za mtandao, takwimu na sheria ya habari. Amedanganya na ikawa ndiyo hulka yetu na mpaka alipokufa tukadanganywa kwa siku 7 kuwa yupo anachapa kazi.
 
Nani kakwambia magufuli hakukopa? Fuatilia ripoti ya CAG ya mwaka jana
 
Kiwango cha kufikiri na kuchambua ukweli na uwongo ni duni sana kwa Watanzania walio wengi. Magufuli alijuwa UJINGA uliopo kwa Watanzania na akautumia kwa KUWADANGANYA
Magufuli alikuwa anajuwa kiwango cha ujinga wa Watanzania walio wengi na ndiyo ukawa mtaji wake kwa propaganda za UWONGO. Wasomi na wajuzi wa mambo akawanyamazisha kwa sheria mbaya za mtandao, takwimu na sheria ya habari. Amedanganya na ikawa ndiyo hulka yetu na mpaka alipokufa tukadanganywa kwa siku 7 kuwa yupo anachapa kazi.


Kudanganywa na kuona miradi ya maendeleo na kudanganywa halafu unaletewa chandarua wapi tumepigwa..
 
Kwa hiyo mkuu nawe ulikuwa unaamini ni fedha za ndani. Na huku wakizunguka kwenye makorido ya benki ya dunia, shirika ka fedha duniani kukopa fedha za miradi.
 
Kudanganywa na kuona miradi ya maendeleo na kudanganywa halafu unaletewa chandarua wapi tumepigwa..
Unashangaa chandarua Leo kupewa na USAID? Huyo Magufuli wako akiwa primary school au secondary alikunywa uji au ugali ulioletwa kwa msaada wa USAID.

Waulize wasomi wote wenye umri 55+ wakuambie Bulga ni nini?
 
Back
Top Bottom