Hayati Magufuli aliwafumbua macho Watanzania juu ya ufisadi na wizi mali ya umma, sasa Watanzania wapo macho kodo

Hata kama kuna ufisadi unataka au unaweza kufanyika watanzania sasa wapo macho na wanaweza kushutuka. Maana kabla ya hayati JPM kuchukua kijiti cha kuliongoza taifa la Tanzania huko nyuma watu walikuwa wanajikwapulia pesa za umma kama wanatafuta Big G.

Kila mtanzania amepata jibu kuwa pesa nyingi ambayo ilikuwa ni mali ya umma ilikuwa ikitafumya hovyo.

Kama ndani ya miaka mitano ya hayati JPM tunashuhudia kazi mefanyika, kuimalika miundo mbinu, afya na Elimu huku kila mtu akishuhudia, ni wazi kuwa taifa letu lina pesa nyingi sana na zikisimamiwa vyema tunapata maendeleo makubwa.
Halafu JPM akawafumba macho watanzania na kushindwa kueleza tshs 1.5tril imeenda wapi, alipoulizwa na CAG.
 
Moja ya vitu ninavyompa heko JPM na vikiendelezwa basi Taifa linaweza kupoma ni WATU KUIOGOPA NA KUIHESHIMU DOLA..

yule Mwamba alifanya dola iogopwe na kuheshimika kiasi cha watu kuogopa kufanya ujinga hovyo hovyo wakiogopa kupotea na kuozea jela...Dola iliogopwa bwana asikwambie mtu Kama MUUZA UNGA ABDUL NA MKEWE WAMEKULA 30yrs @ na yule jamaa wa Tanga wa miaka nenda rudi YANGA OMAR kala naye 30yrs...ukizingua na kujifanya mjuaji unakula money laundering na uhujumu uchumi unapotea....ukijaribu kucheza na dola gizani michezo ya ajabu unapotea jumla...

RIP Nzilakende...zile itikadi za kimwamba ni muhimu sana kwa Taifa hili changa lililojaa majizi, majinga, mabinafsi, wazinzi, malaya nk..
Dola haitakiwi kuogopwa bali inatakiwa kushirikiana na wananchi ili iheshimiwe na iweze kufanya kazi kwa weledi.

Yeyote anaye amini kuwa dola inatakiwa iogopwe basi bado mawazo yake na fikra zake zipo zama za kikiloni na utumwa pamoja na utawala wa kitemi ambao bado ni ushamba tu.

Na ukiona kiongozi anapenda sana kufanya dola ndio iwe msaada wake mkuu na anaitenga dola na wananchi basi jua kiongozi huyo bado ana ushamba na ana mambo yake ya hovyo na ya kishetani anayo jifichia kwenye dola. Ref. 1.5 Tr. Alipo guswa tu ikawa nongwa
 
Hawajikubali
Hawajiamini
Hawana msimamo
Wanafata kila wanachoambiwa
Wanaamini kila wanachokiona
Watasutana wao kwa wao
Watapingana wao kwa wao
Wanapigania wao kwa wao. na....

mwisho wataishia kutawaliwa
 
Hata kama kuna ufisadi unataka au unaweza kufanyika watanzania sasa wapo macho na wanaweza kushutuka. Maana kabla ya hayati JPM kuchukua kijiti cha kuliongoza taifa la Tanzania huko nyuma watu walikuwa wanajikwapulia pesa za umma kama wanatafuta Big G.

Kila mtanzania amepata jibu kuwa pesa nyingi ambayo ilikuwa ni mali ya umma ilikuwa ikitafumya hovyo.

Kama ndani ya miaka mitano ya hayati JPM tunashuhudia kazi mefanyika, kuimalika miundo mbinu, afya na Elimu huku kila mtu akishuhudia, ni wazi kuwa taifa letu lina pesa nyingi sana na zikisimamiwa vyema tunapata maendeleo makubwa.
Mbona yeye alikuwa mwizi hatari,
 
Hata kama kuna ufisadi unataka au unaweza kufanyika watanzania sasa wapo macho na wanaweza kushutuka. Maana kabla ya hayati JPM kuchukua kijiti cha kuliongoza taifa la Tanzania huko nyuma watu walikuwa wanajikwapulia pesa za umma kama wanatafuta Big G.

Kila mtanzania amepata jibu kuwa pesa nyingi ambayo ilikuwa ni mali ya umma ilikuwa ikitafumya hovyo.

Kama ndani ya miaka mitano ya hayati JPM tunashuhudia kazi mefanyika, kuimalika miundo mbinu, afya na Elimu huku kila mtu akishuhudia, ni wazi kuwa taifa letu lina pesa nyingi sana na zikisimamiwa vyema tunapata maendeleo makubwa.
Aliyekwapua nyumba za serikali na kugawia vimada wake nani?
 
Makala za Magu sizipendi kabisa, yaani kipindi cha jiwe hata benk ya tpb benk ya posta ilikuwa na mahabusu, wanavikundi wakichelewesha mkopo ni lockup tu, sababu ni watu wengi wanaoigopa tpb na mikopo mingine! Kwa kulalamika hamna, ujambazi tu, leo hakuna unaloweza kuniambia kuhusu Magu, mkopo kwa wajasiliamali riba 40%. Mfano unaweka laki moja na nusu kama dhamana unakopeshwa laki sita, na riba asilimia 18. ya laki sita ndani ya miezi sita. Naona kimsingi wamekupa 450,000/= na wanatoza riba 600,000/=. Hivyo siwezi shangaa ya sabaya!
 
Hata kama kuna ufisadi unataka au unaweza kufanyika watanzania sasa wapo macho na wanaweza kushutuka. Maana kabla ya hayati JPM kuchukua kijiti cha kuliongoza taifa la Tanzania huko nyuma watu walikuwa wanajikwapulia pesa za umma kama wanatafuta Big G.

Kila mtanzania amepata jibu kuwa pesa nyingi ambayo ilikuwa ni mali ya umma ilikuwa ikitafumya hovyo.

Kama ndani ya miaka mitano ya hayati JPM tunashuhudia kazi mefanyika, kuimalika miundo mbinu, afya na Elimu huku kila mtu akishuhudia, ni wazi kuwa taifa letu lina pesa nyingi sana na zikisimamiwa vyema tunapata maendeleo makubwa.
Yaani waTZ bwana!
Magu mwenyewe alikuwa fisadi wa kutupwa!
 
Back
Top Bottom