johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,740
- 141,603
Labda ipigwe kura tujue watanzania wanataka serikali iwe inatoa wapi Fedha za kujiendesha na zile za Maendeleo
Haiwezekani tulalamike katika kila Jambo Jamanii
Wakitozwa matajiri mnasema Shujaa ni katili mkiambiwa basi lipeni nyie Tozo mnaanza kulialia eti mnaonewa
Haiwezekani tulalamike katika kila Jambo Jamanii
Wakitozwa matajiri mnasema Shujaa ni katili mkiambiwa basi lipeni nyie Tozo mnaanza kulialia eti mnaonewa