#COVID19 Hayati Magufuli alitia sumu masuala ya chanjo, Serikali nywesheni maziwa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,185
103,688
Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.

Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.

Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
 
Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.

Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Punguani wa design hii ni wa kupuuzwa. Chanjo ni hiari full stop.
 
Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?

vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?

Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
 
Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo...
Lengo la chanjo ni nini?

Kama ni kuwazuia watu wasife na corona sioni tofauti kati ya wale waliochanjwa na wasiochanjwa.
Vinginevyo ni mitego tu ya kibeberu kutengeneza fursa ya kujitengenezea utajiri kwa mgongo wa raia wa dunia hii.

Clueless.
 
Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.

Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Sasa mbona bado nchi zingine zina chanjo bado zmefunga mikapa. Mbona bado zinavaa barakoa.
 
Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?

vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?

Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Hata huko zinapotoka Kuna mamilion ya watu wamezigomea chanjo. Nick minaj ni mmoja wa star mkubwa kuzigomea chanjo
Hao nao walimsikiliza Magufuli?
 
Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.

Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Kama taifa tulikwama sana kuwa na kiongozi wa aina yake.
 
Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?

vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?

Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Chanjo ni sumu na wananchi wamezigomea.

Cha msingi kama una hamu na chanjo nenda waambie wakupatie furushi zima ulinywe wewe na wanao.

Lakini wananchi wameyagomea hayo machanjo na wana afya tele.
 
Hata huko zinapotoka Kuna mamilion ya watu wamezigomea chanjo. Nick minaj ni mmoja wa star mkubwa kuzigomea chanjo
Hao nao walimsikiliza Magufuli?
Magufuli alikuwa against chanjo kuwa zimeletwa kuua watu, na hakusema chanjo za Covid pekee, alilnga chanjo zote
Mimi hiyo ya Covid pia sijachanja, sipo katika kundi la wenye risk
Ila chanjo naamini inazuia magonjwa
 
Back
Top Bottom