Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
PHD yenyew ya wiz
Humpendi tu!
Humpendi tu!
Magufuli 'hakupewa' aliisotea class. Aliyepewa ni yule bibi wa buza mwenye uwezo finyu kabisa kichwani
Mzee wa mbambamba.Nahene lolo.
Mzee wa Lufindo.Mzee wa mbambamba.
😅😅😅, Jamaa we unahitaji uangalize wa khali ya Juu sana otherwise utakufa maana siyo kwa stress hizo.Mzee wa Lufindo.
Nimetoka Kuhiji kwenye kabuli la Mwanamalundi juzi tu.😅😅😅, Jamaa we unahitaji uangalize wa khali ya Juu sana otherwise utakufa maana siyo kwa stress hizo.
Daah kitambo sana Mkuu wa Chuo 🤣🤣🤣
Hivi figganigga una shida gani na marehemu? Kama hujafunzwa kifamilia hata dini yako haikupi staha kwa mtu aliyekwisha fika kwenye hukumu ya muumba?Salaam Wakuu,
Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.
Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.
Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.
Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.
View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Huwa wanazisotea wapiAisoteee wap???
Mambo ya intaprinyuwaaChuki binafsi
Na udhaifu huzidianaSio kweli amekazia kwa Video kabisa, kubali udhaifu wa Mwanadamu.
Dunia ni ya ajabu sana.Salaam Wakuu,
Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.
Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.
Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.🤣🤣🤣
Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.
View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Kamata waliomsimamia hiyo PhD Pale mlimani , Bashiru na Kabudi mashahidi muhimuSalaam Wakuu,
Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.
Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.
Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.
Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.
View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Salaam Wakuu,
Hayati Magufuli Rais wa Tanzania ambaye alifariki 2021, nilishangaa kuona alipewa eti Shahada ya Udaktari wakati alikuwa msahaulifu na muongo.
Ukitaka kujua akili za Magufuli au Tanzania ilikuwa na Rais wa aina gani, sikiliza hizi hotuba fupi tatu, hii itakusaidia kujua akili zake na mashabiki wake zilivyo.
Huku anasema maendeleo hayana chama, kule anasema maendeleo yana chama. Yaani dakika 2 zilikiwa zinamtosha kusahau alichokosema.🤣🤣🤣
Ukabila ulimjaa. Alikuwa anahutubia na kutoa vitisho kwa kilugha.
View attachment 2432156
View attachment 2432157
View attachment 2432158
View attachment 2432186
Mishe zao mitaani zikibumba wanaingia mtandaoni kujifariji kwa kumtusi hayati JPM.Hivi figganigga una shida gani na marehemu? Kama hujafunzwa kifamilia hata dini yako haikupi staha kwa mtu aliyekwisha fika kwenye hukumu ya muumba?
Mnaanzisha thread za matusi kwake zisizo na mashiko zaidi ya kumdhalilisha mtu asiyeweza kujitetea. Jadilini kushindwa kwa sera zake n.k acheni matusi ambayo kama hayawaumi basi heshimu hata familia yake!