Hayati Magufuli alikuwa mtawala na siyo kiongozi

Akili huna kwani wewe hujawahi kufunga samaki katka madimbwi makubwa huwezi kuangalia idadi ya mita za mraba halafu unaangalia kila mita moja ya mraba wana kaa samaki wangapi? Halafu zidisha kwa mita zote

Kujua idadi mbona kawida tu unaoneka una upeo mudogo wa kufikiri sana
Ukishapewa cheo tu kikubwa kuliko wenzio tayari unawatawala ndiyo maana kila raisi ana walinzi kiongozi yeyote yule huwa hana walizi

Ulimuona yesu ndiye alikuwa kiongozi

Nyerere alikuwa mtawala ndiyo maana alikuwa na walinzi

Mwinyi alikuwa mtawala ndio maana alikuwa na walinzi

Mkapa alikuwa mtawala ndio maana alikua na walinzi

Kikwete alikuwa mtawala ndiyo maana alikuwana walinzi


MAGUFULI jiwe , mtetezi w wanyonge
Shujaa wa kwel aliogopwa na kuchukiwa na wazungu aliyenunua denge nyingi na meli , kiongozia aliyesababisha , wapinzani wapate vyeo ndani ya serikali , alisababisha wapinzani waonekane hawana mchango wowote kwenye hii nchi

Alikuwa na walinzi maana alikuwa mtawala

Samia suruhu hasani , msaidizi wa raisi aliyefanya serikali iwe ya watu wote hakuna kundi maalumu la serikali

Ana walinzi , maana anatawala kwa sasa MUNGU AMTANGULIE TUNAIMANI NAYE


NENO MTAWALA USIRUHUSU KICHWA CHAKO KILIFAFANUE KAMA LILIVYOTAFSIRIWA NA MABEBERU

ANGALIA KWA MTAZAMO WAKO KAMA MTU HURU KIFIKIRA

LET NOT YOUR MIND BE COLONIZED
THE COLONIALISTS IS NOT YOUR DICTIONARY, IS NOT YOUR REFERENCE,
Zero brain
 
tmp-cam--743391842.jpg
 
"Ukikuta mtu anamsimanga marehemu, hayati, au maiti ujue utu wa huyo msengenyaji, msimangaji, ulisha kufa zamani za kale,yaani kitambo, huyo ni msukule huru,ulioachwa uraini uendelea kuvunda taratibu mbele ya ubani." Hivi huyo uliye mwandika hivyo angekuwa ndugu yako, au mwanao ndo kaandikwa hivyo ungejichukuliaje, nafsi mwako?
Hata Shetani japokuwa alitupwa toka Mbinguni kabla ya kuumbwa Ulimwengu anajadiliwa Mpaka kesho
Huyu Mzee Ibilisi lazima Matendo yake yawekwe wazi ili Vitukiu wetu waje kujua kuwa tulikuwa na Mtawala Shetani
 
Wewe tunakuona humu! Unajua unapokaa unamzungumzia Maguguli inamaanisha alikushika pabaya na mataahira wenzako! Ndo maana kashakufa bado unamzungumzia hapa! Leta basi hata maada za mama Samia au maendeleo unazungumzia mtu ambaye hayupo na wala hatakuwepo tena! Ndo maana unaomekana mpumbavu usiyejitambua!
Uwe unalalamika akiwa anasifiwa pia,maana inaonekana unaumia sana akiwa yanasemwa mapungufu yake
 
Wewe ni punguwani mzee MURENGEERA. wa kutoka mkoa wa Buyenze.
Tunavuruga nyuzi za watu siku ukiwa na uhakika umekwapua wallet imejaa au umeiba kwenye pesa za kununua mahitaji ya chakula cha kuku wa shemeji yako tuanzishe uzi wetu tupambane au lete no yako ya tigo pesa nitakusaidia tuanze mpambano!
 
Tunavuruga nyuzi za watu siku ukiwa na uhakika umekwapua wallet imejaa au umeiba kwenye pesa za kununua mahitaji ya chakula cha kuku wa shemeji yako tuanzishe uzi wetu tupambane au lete no yako ya tigo pesa nitakusaidia tuanze mpambano!
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Mtu upo icu kiuchumi unapumulia mpira
 
"Ukikuta mtu anamsimanga marehemu, hayati, au maiti ujue utu wa huyo msengenyaji, msimangaji, ulisha kufa zamani za kale,yaani kitambo, huyo ni msukule huru,ulioachwa uraini uendelea kuvunda taratibu mbele ya ubani." Hivi huyo uliye mwandika hivyo angekuwa ndugu yako, au mwanao ndo kaandikwa hivyo ungejichukuliaje, nafsi mwako?
Hayo ni mawazo yako.Hapo ni lipi la kumsengenya, hajasengenywa mtu hapo.Ni ukweli umeandikwa.Ndiyo historia fupi sana ya kuishi kwale aliyotuachia.

Umeuliza,kama angekuwa ndugu yake angejisikiaje.Kama hajasingiziwa ni ukweli wa mambo aliyofanya,ungetaka wewe ajisikieje.Si kafanya.Ni haki yake amepewa.Angalau Wajukuu wakikua wata wanatajua au watapata picha jinsi babu yao alivyokuwa.

Kumbuka mpaka leo historia ya Idd Amin Dada inawapa wajukuu picha halisi jinsi alivyokuwa katili na mtawala.Historia itabaki hivyo hivyo.Ulitenda mema utaandikwa kwa wema, ulitenda kwa ukatili utaandikwa kwa ukatili na si vinginevyo.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom