kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 13,344
- 14,813
Kijana wacha kuyaanika maisha yako!Siku shemeji yako akistaafu au kuukosa udiwani basi nawe ndiyo utakuwa mwisho wako wa kutumia smartphone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana wacha kuyaanika maisha yako!Siku shemeji yako akistaafu au kuukosa udiwani basi nawe ndiyo utakuwa mwisho wako wa kutumia smartphone
Ndiyo mlichobaki nacho baada ya mfadhili wenu ahukumiwe.Kijana wacha kuyaanika maisha yako!
Zero brainAkili huna kwani wewe hujawahi kufunga samaki katka madimbwi makubwa huwezi kuangalia idadi ya mita za mraba halafu unaangalia kila mita moja ya mraba wana kaa samaki wangapi? Halafu zidisha kwa mita zote
Kujua idadi mbona kawida tu unaoneka una upeo mudogo wa kufikiri sana
Ukishapewa cheo tu kikubwa kuliko wenzio tayari unawatawala ndiyo maana kila raisi ana walinzi kiongozi yeyote yule huwa hana walizi
Ulimuona yesu ndiye alikuwa kiongozi
Nyerere alikuwa mtawala ndiyo maana alikuwa na walinzi
Mwinyi alikuwa mtawala ndio maana alikuwa na walinzi
Mkapa alikuwa mtawala ndio maana alikua na walinzi
Kikwete alikuwa mtawala ndiyo maana alikuwana walinzi
MAGUFULI jiwe , mtetezi w wanyonge
Shujaa wa kwel aliogopwa na kuchukiwa na wazungu aliyenunua denge nyingi na meli , kiongozia aliyesababisha , wapinzani wapate vyeo ndani ya serikali , alisababisha wapinzani waonekane hawana mchango wowote kwenye hii nchi
Alikuwa na walinzi maana alikuwa mtawala
Samia suruhu hasani , msaidizi wa raisi aliyefanya serikali iwe ya watu wote hakuna kundi maalumu la serikali
Ana walinzi , maana anatawala kwa sasa MUNGU AMTANGULIE TUNAIMANI NAYE
NENO MTAWALA USIRUHUSU KICHWA CHAKO KILIFAFANUE KAMA LILIVYOTAFSIRIWA NA MABEBERU
ANGALIA KWA MTAZAMO WAKO KAMA MTU HURU KIFIKIRA
LET NOT YOUR MIND BE COLONIZED
THE COLONIALISTS IS NOT YOUR DICTIONARY, IS NOT YOUR REFERENCE,
Huyo ni bureeeeeZero brain
Bado hajahukumiwa jaji kajitoa na katupilia mbali mapingamizi ya kesi ndogo mkuu nshimiye mukashimana upo!Ndiyo mlichobaki nacho baada ya mfadhili wenu ahukumiwe.
Wewe ni punguwani mzee MURENGEERA. wa kutoka mkoa wa Buyenze.Bado hajahukumiwa jaji kajitoa na katupilia mbali mapingamizi ya kesi ndogo mkuu nshimiye mukashimana upo!
Hata Shetani japokuwa alitupwa toka Mbinguni kabla ya kuumbwa Ulimwengu anajadiliwa Mpaka kesho"Ukikuta mtu anamsimanga marehemu, hayati, au maiti ujue utu wa huyo msengenyaji, msimangaji, ulisha kufa zamani za kale,yaani kitambo, huyo ni msukule huru,ulioachwa uraini uendelea kuvunda taratibu mbele ya ubani." Hivi huyo uliye mwandika hivyo angekuwa ndugu yako, au mwanao ndo kaandikwa hivyo ungejichukuliaje, nafsi mwako?
Uwe unalalamika akiwa anasifiwa pia,maana inaonekana unaumia sana akiwa yanasemwa mapungufu yakeWewe tunakuona humu! Unajua unapokaa unamzungumzia Maguguli inamaanisha alikushika pabaya na mataahira wenzako! Ndo maana kashakufa bado unamzungumzia hapa! Leta basi hata maada za mama Samia au maendeleo unazungumzia mtu ambaye hayupo na wala hatakuwepo tena! Ndo maana unaomekana mpumbavu usiyejitambua!
Tunavuruga nyuzi za watu siku ukiwa na uhakika umekwapua wallet imejaa au umeiba kwenye pesa za kununua mahitaji ya chakula cha kuku wa shemeji yako tuanzishe uzi wetu tupambane au lete no yako ya tigo pesa nitakusaidia tuanze mpambano!Wewe ni punguwani mzee MURENGEERA. wa kutoka mkoa wa Buyenze.
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwiTunavuruga nyuzi za watu siku ukiwa na uhakika umekwapua wallet imejaa au umeiba kwenye pesa za kununua mahitaji ya chakula cha kuku wa shemeji yako tuanzishe uzi wetu tupambane au lete no yako ya tigo pesa nitakusaidia tuanze mpambano!
Umerogwa na mchawi kafa!Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Mtu upo icu kiuchumi unapumulia mpira
Hayo ni mawazo yako.Hapo ni lipi la kumsengenya, hajasengenywa mtu hapo.Ni ukweli umeandikwa.Ndiyo historia fupi sana ya kuishi kwale aliyotuachia."Ukikuta mtu anamsimanga marehemu, hayati, au maiti ujue utu wa huyo msengenyaji, msimangaji, ulisha kufa zamani za kale,yaani kitambo, huyo ni msukule huru,ulioachwa uraini uendelea kuvunda taratibu mbele ya ubani." Hivi huyo uliye mwandika hivyo angekuwa ndugu yako, au mwanao ndo kaandikwa hivyo ungejichukuliaje, nafsi mwako?
Nimeamini kuzaa siyo kupata yaani wazazi wako wana hasara kubwa sana maishani.Umerogwa na mchawi kafa!
Hali mbaya muda huu ndio umefanikiwa kurushiwa mb!Nimeamini kuzaa siyo kupata yaani wazazi wako wana hasara kubwa sana maishani.
Mb kwangu ni kitu kidogo sana wewe dogo.Hali mbaya muda huu ndio umefanikiwa kurushiwa mb!
Zitaisha hizo!Mb kwangu ni kitu kidogo sana wewe dogo.
Hapa ni LTDZitaisha hizo!
Mimi siyo ombaomba kama weweZitaisha hizo!