Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hesabu hadi tano tuoneUnaakisi maisha yako hapa jukwaani!
Hesabu hadi tano tuoneUnaakisi maisha yako hapa jukwaani!
Kubwa zima unaishi kwa shemeji yako.Unaakisi maisha yako hapa jukwaani!
Pole sana mkuu usije mjini kama hujajipanga wapwa wanakuchezea!Kubwa zima unaishi kwa shemeji yako.
Kazi kumfulia nguo na kumnyooshea nguo wakati mshahra wako ni sembe tu.
Siku shemeji yako akistaafu au kuukosa udiwani basi nawe ndiyo utakuwa mwisho wako wa kutumia smartphonePole sana mkuu usije mjini kama hujajipanga wapwa wanakuchezea!
Umenyoa?Ukweli uwapi hapo!
Umewahi kuiona akili?Kwa hiyo Ngo'mbe huwa INA akili.?
Taja mazuri yake.Masaburi weye!Wewe mpumbavu na wenzako mnaotunga maada kila siku humu na Chagadema yako ndo unawakirisha mawazo ya wote? Unataka kusema Magufuli ana mabaya tu hana mazuri? Au huyo Nyerere anamazuri tu hana mabaya! Hoja hauna ushabaki kijifariji ujinga na upumbavu na kikundi chenu hasa nyinyi wachaga na chadema ndo mna akili hizi za kipumbavu!
Mungu siyo Athumani mkuuHakika mwenyezi Mungu ameliponya taifa.
Vyeti bana!Hayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.
Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa. Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi. Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.
Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.
Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.
Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.
Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.
Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Mi Muhaya! Mzirankende!!!Ukabila bhana!!
Wahaya huwa wajinga.Mi Muhaya! Mzirankende!!!
Kazaliwa Kamagombe huyo.Na umezaliwa mtaa wa buswahili pale bukoba mjini.
Akili huna kwani wewe hujawahi kufunga samaki katka madimbwi makubwa huwezi kuangalia idadi ya mita za mraba halafu unaangalia kila mita moja ya mraba wana kaa samaki wangapi? Halafu zidisha kwa mita zoteHayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.
Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa. Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi. Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.
Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.
Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.
Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.
Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.
Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Amina sana"Ukikuta mtu anamsimanga marehemu, hayati, au maiti ujue utu wa huyo msengenyaji, msimangaji, ulisha kufa zamani za kale,yaani kitambo, huyo ni msukule huru,ulioachwa uraini uendelea kuvunda taratibu mbele ya ubani." Hivi huyo uliye mwandika hivyo angekuwa ndugu yako, au mwanao ndo kaandikwa hivyo ungejichukuliaje, nafsi mwako?
Na yeye alisema "...siyo wakati wa utawala wangu"Hayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.
Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa. Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi. Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.
Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.
Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.
Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.
Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.
Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.