Hayati Magufuli alikuwa mtawala na siyo kiongozi

Wewe mpumbavu na wenzako mnaotunga maada kila siku humu na Chagadema yako ndo unawakirisha mawazo ya wote? Unataka kusema Magufuli ana mabaya tu hana mazuri? Au huyo Nyerere anamazuri tu hana mabaya! Hoja hauna ushabaki kijifariji ujinga na upumbavu na kikundi chenu hasa nyinyi wachaga na chadema ndo mna akili hizi za kipumbavu!
Taja mazuri yake.Masaburi weye!
 
Hayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.

Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa. Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi. Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.

Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.

Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.

Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.

Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.

Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Vyeti bana!
 
Hayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.

Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa. Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi. Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.

Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.

Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.

Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.

Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.

Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Akili huna kwani wewe hujawahi kufunga samaki katka madimbwi makubwa huwezi kuangalia idadi ya mita za mraba halafu unaangalia kila mita moja ya mraba wana kaa samaki wangapi? Halafu zidisha kwa mita zote

Kujua idadi mbona kawida tu unaoneka una upeo mudogo wa kufikiri sana
Ukishapewa cheo tu kikubwa kuliko wenzio tayari unawatawala ndiyo maana kila raisi ana walinzi kiongozi yeyote yule huwa hana walizi

Ulimuona yesu ndiye alikuwa kiongozi

Nyerere alikuwa mtawala ndiyo maana alikuwa na walinzi

Mwinyi alikuwa mtawala ndio maana alikuwa na walinzi

Mkapa alikuwa mtawala ndio maana alikua na walinzi

Kikwete alikuwa mtawala ndiyo maana alikuwana walinzi


MAGUFULI jiwe , mtetezi w wanyonge
Shujaa wa kwel aliogopwa na kuchukiwa na wazungu aliyenunua denge nyingi na meli , kiongozia aliyesababisha , wapinzani wapate vyeo ndani ya serikali , alisababisha wapinzani waonekane hawana mchango wowote kwenye hii nchi

Alikuwa na walinzi maana alikuwa mtawala

Samia suruhu hasani , msaidizi wa raisi aliyefanya serikali iwe ya watu wote hakuna kundi maalumu la serikali

Ana walinzi , maana anatawala kwa sasa MUNGU AMTANGULIE TUNAIMANI NAYE


NENO MTAWALA USIRUHUSU KICHWA CHAKO KILIFAFANUE KAMA LILIVYOTAFSIRIWA NA MABEBERU

ANGALIA KWA MTAZAMO WAKO KAMA MTU HURU KIFIKIRA

LET NOT YOUR MIND BE COLONIZED
THE COLONIALISTS IS NOT YOUR DICTIONARY, IS NOT YOUR REFERENCE,
 
"Ukikuta mtu anamsimanga marehemu, hayati, au maiti ujue utu wa huyo msengenyaji, msimangaji, ulisha kufa zamani za kale,yaani kitambo, huyo ni msukule huru,ulioachwa uraini uendelea kuvunda taratibu mbele ya ubani." Hivi huyo uliye mwandika hivyo angekuwa ndugu yako, au mwanao ndo kaandikwa hivyo ungejichukuliaje, nafsi mwako?
Amina sana
 
Hayati Magufuli aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndio maana hata alipodanganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.

Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa. Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi. Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.

Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawazo tofauti na ya mtawala.

Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyovaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.

Kuna wakati mbunge mmoja na mbobezi katika siasa za nchi hii, alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.

Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.

Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja. Na Kama awamu ya tano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Na yeye alisema "...siyo wakati wa utawala wangu"
 
Itachukua miaka 20 kumsahau chuma ,vyeti feki hamuwezi kumsahau kamwe mpaka mnaingia kaburini kenge nyie.
 
Back
Top Bottom