Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,852
- 54,074
Kwa hiyo weye huwezi kumzungumzia Joni kwa lolote lile? Tatizo unataka azungumzwe katika uga uupendao tu.Pokea yote ili umpime.JPM ameshafariki.Kumbukumbu lake limefungwa tayari.Ww uliye hai jitahid ufanye ya kwako ,ili siku na ww kumbukumbu yako ikifungwa uwe umejiandaa.Ukiona MTU anamuongelea marehemu.Ujue huyo ni mnafiki,mchawi,mdini .Kwa hiyo ndugu yangu usiwe kwenye kundi hilo la wasio na maarifa .