Hayati Magufuli alikuwa mtawala na siyo kiongozi

JPM aliamini kuwa yeye ana akili kuliko watanzania wote na ndo maana hata alipo danganywa kwa sifa za uongo Kama sio kumkebehi kuwa anajua idadi ya samaki wote , kwenye mito, ziwani, na baharini alibaki kukenua kwa kicheko.
Mtawala anapenda sifa usipo msifu una geuka kuwa adui wake mkubwa.
Mtawala ana amini katika mabavu hataki mijadala katika kufikia maamuzi.
Mtawala ana amini kuwa dawa pekee ya kubaki katika maamuzi yake ya kibabe ni kuwaondoa wote wenye mawazo kinzani na yake, Kama sio kwa kuwafunga jela, Basi ni kwa mauwaji.
Awamu ya tano ndio awamu iliongoza kwa kuwapoteza watanzania wengi walio kuwa na mawzo tofauti na ya mtawala.
Mtawala hata akikaa uchi usimwambie na ukthubutu atakwambia kwanini una mchunguza chunguza wakati nguo aliyo vaa inampendeza, ataamuru ukamatwe.
Kuna wakati mbunge mmoja na mmbobezi katika siasa za nchi hii , alizungumzia kuwa kitendo Cha Paulo kuvamia ofisi za Cloud media tena kwa mtutu wa bunduki si sawa aliambulia kufukuzwa uwaziri.
Huyo huyo mbunge alipotoa ushauri kuhusu nchi kuwa na miradi mikubwa sio kosa isipokuwa Basi iwekewe kipaumbele yaani ichukuliwe michache michache ili kulinda uchumi wa nchi, alitishiwa hata kufukuzwa ndani ya chama.
Kwa ujumla kiongozi ni yule anaye amini katika kushirikiana katika maamuzi ya pamoja.
Na Kama awamu yatano ingefanikiwa kukaa miaka yote kumi hakika ni kwamba vazi rasmi la Taifa lingekuwa ni kaniki.
Tumshukuru Mungu kwa kutuhurmia watanzania.
Bado mnateseka ,Maku za mama zenu ,na bado
 
Wa
Wewe tunakuona humu! Unajua unapokaa unamzungumzia Maguguli inamaanisha alikushika pabaya na mataahira wenzako! Ndo maana kashakufa bado unamzungumzia hapa! Leta basi hata maada za mama Samia au maendeleo unazungumzia mtu ambaye hayupo na wala hatakuwepo tena! Ndo maana unaomekana mpumbavu usiyejitambua!
Wacha azungumzie, labda ni namna ya kushukuru Mungu, amepata afueni hata ya matumaini, pia ni namna ya kukumbusha waliopo na watakaokuja wasijione miungu wapatapo nafasi! Hivyo yasijirudie, naamini watz wengi hawakupenda namna ya utawala wake, ongea yake, dharau zake, kujipendelea, ukabila, chuki, uonevu, kutojali afya za watu wake! Kumsema hakuta koma kisa marehemu, wacha asemwe kwa mazuri na mabaya! Hata mazuri anayo!
 
"Ukikuta mtu anamsimanga marehemu, hayati, au maiti ujue utu wa huyo msengenyaji, msimangaji, ulisha kufa zamani za kale,yaani kitambo, huyo ni msukule huru,ulioachwa uraini uendelea kuvunda taratibu mbele ya ubani." Hivi huyo uliye mwandika hivyo angekuwa ndugu yako, au mwanao ndo kaandikwa hivyo ungejichukuliaje, nafsi mwako?
Defensive mechanism!
 
Like lilikuwa tatizo kubwa sana. Ameacha majeraha mengi hivyo ataendelea kuhadiliwa no matter what. Watu wengi bado wapo kwenye kiwewe hawaamini kama ni kweli kimbunga kimetulia. So Rais wako mpendwa ndugu atazungumzwa sana.
Raisi alikuwa wa Tz sio wangu......
kafanya mengi mazuri......
tumeona wanaomchukia wote wakikuwa upande wa mfumo taka
 
Hata mods nao siwaelewi ,ukitwanga kali kuhusu mfano Mbowe au Samia au yule hakimu aliemfunga Sabaya wanaondoa uzi kwa kuunganisha ,sasa hizi Nyuzi dhidi ya hayati Magufuli zinamkono nyuma yake,amini
Hili jukwaa siku hizi limepoteza hadhi yake,vijana waliokosa ajira naona wamepewa vibarua walicontrol
 
Upo sahihi sana
Haya myaandike kwenye vitabu vya historia.Humu mnajaza server tu.Hivyo vizazi vije visome vitabu.Tuna mada msingi sana za kujadili.Huyo mleta mada angemtetea Mbowe anayeonewa ningemwona ana akili.
 
Wewe tunakuona humu! Unajua unapokaa unamzungumzia Maguguli inamaanisha alikushika pabaya na mataahira wenzako! Ndo maana kashakufa bado unamzungumzia hapa! Leta basi hata maada za mama Samia au maendeleo unazungumzia mtu ambaye hayupo na wala hatakuwepo tena! Ndo maana unaomekana mpumbavu usiyejitambua!
Wanasema ukiachwa achika..jamaa mtoa mada kagoma kuachika....utadhan alipigwa ...d...le
 
Haya myaandike kwenye vitabu vya historia.Humu mnajaza server tu.Hivyo vizazi vije visome vitabu.Tuna mada msingi sana za kujadili.Huyo mleta mada angemtetea Mbowe anayeonewa ningemwona ana akili.
Tuki msifia Rais wetu mpendwa mama SSH, hampendi , tukizunguzumzia maovu yaliyo tendwa na kuweka wazi maovu ili watu na vizazi vijavyo vitambue, pia hamtaki du. Sawa semeni nyinyi yanayo wapendeza.
 
Haya myaandike kwenye vitabu vya historia.Humu mnajaza server tu.Hivyo vizazi vije visome vitabu.Tuna mada msingi sana za kujadili.Huyo mleta mada angemtetea Mbowe anayeonewa ningemwona ana akili.
Mkuu usijipe jakamoyo bure kwa kutaka kila mtu akubaliane na mawazo yako.

Unaye muona kwako ni untouchable ujue kwa mwenzako anaonekana ni mtu wa kawaida sana.
 
Tuki msifia Rais wetu mpendwa mama SSH, hampendi , tukizunguzumzia maovu yaliyo tendwa na kuweka wazi maovu ili watu na vizazi vijavyo vitambue, pia hamtaki du. Sawa semeni nyinyi yanayo wapendeza.
Wewe huoni injustices zilizopo?Badala ya kutueleza masuala ya wafu,ungeielimisha jamii inapataje utawala bora unaozingatia haki.Au basi ungehamasisha ushiriki wa jamii kwenye maendeleo.
 
Back
Top Bottom