johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,798
- 141,696
Kama ambavyo makamanda wa Chadema wanavyojinasibu kwamba Mbowe yuko jela kwa sababu alikuwa mstari wa mbele kuipigania Katiba mpya.
Ndio nawauliza Chadema, Freeman Mbowe yuko tayari kujitoa sadaka kwa ajili ya Katiba mpya?
Sisi tuliotembea vifua mbele chini ya Jemedari Magufuli tunaamimi kabisa shujaa wetu alitupambania hadi dakika ya mwisho alipotwaliwa.
UKAWA wako wapi jamani? Katiba mpya siyo lelemama
Maendeleo hayana vyama!
Ndio nawauliza Chadema, Freeman Mbowe yuko tayari kujitoa sadaka kwa ajili ya Katiba mpya?
Sisi tuliotembea vifua mbele chini ya Jemedari Magufuli tunaamimi kabisa shujaa wetu alitupambania hadi dakika ya mwisho alipotwaliwa.
UKAWA wako wapi jamani? Katiba mpya siyo lelemama
Maendeleo hayana vyama!