Hayati Magufuli alijenga vituo vya afya 44 kwa miaka mitatu, Rais Samia anajenga 220 kwa miezi mitatu

Tatizo watanzania hatujui tunataka nini. Hizi tozo angelikuwa Magufuli zingetozwa na watu wasingefanya chochote, tena wangepongeza tu. Mfano Bodi ya Mikopo wanufaika walikuwa wanakatwa elfu 90 kipindi cha Kikwete ila JPM akapandisha hadi karibu Laki 2. Na fine za kutosha. Wafanya kazi hawajaongezewa hata 100 kama nyongeza ya mshahara miaka 5 wala increments za mwaka lakini hakuna aliyefanya kitu. Ila mama amebuni hii ya miamala ya simu na tija yake ni kubwa mno watu wanaongea kweli kweli. Sasa alivyo msikivu akaamua apunguze, ingawa hii ilipitishwa na bunge na imekuwa ni sheria ila watu wala hawawalaumu wabunge badala yake lawama zote wanampa rais.
 
Taarifa kama hizi mataga wakizusikia wanaumia Sana moyo kwamba legacy inafunikwa kwa kasi ya 5G ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Screenshot_20210903-205356.png


Screenshot_20210903-205158.png
 
Mtoa mada acha kudanganya watu

View attachment 1922930

_________________________________

YAANI TUACHE KUAMINI OFFICIAL DOC ZA SERIKALI TUMUAMINI WAZIRI KWELI!?


" TAARIFA YA HALI YA UCHUMI YA TAIFA " NDIO SOURCE HALISI, the genuine source haina siasa wala kujipendekeza,



HOJA NI HII,

KASI YA RAIS SAMIA HAIELEZEKI,
_______________________________

KAMA RAIS MAGUFULI MIAKA 3 VITUO VIPYA 44

MIEZI MITATU YA RAIS SAMIA VITUO VYA AFYA 220 NA VYOTE NI VIPYA ,


JAFFO ALIZIPANDISHA HADHI BAADHI YA ZAHANATI KUWA VITUO VYA AFYA,
JAMAA AKASEMA NI VITUO VIPYA YES NI VIPYA KWA MAANA YA HADHI ILA SIO UPYA WA MAJENGO, MFANO TINDE, KINTINKU etc

KAMWE, HATUWEZI KUMWAMINI JAFFO BADALA YA "KITABU CHA HALI YA UCHUMI WA TAIFA 2018"
 
Not mesoma tu kichwa Cha habari. Kusema rais amejenga mradi fulani ni ujinga wa kiwango cha juu sana. Miradi inajengwa kutokana na kodi tunazolipa sisi wananchi. Rais ni mtumishi kama watumishi wengine, na anatekeleza majukumu ya ofisi yake kwa mujibu was sheria, na miradi inayotekelezwa sio hisani ya rais bali ni stahiki za raia kutokana na kodi wanazolipa.



Vyovyote iwavyo hata mambo yakiharibika lawama ni zake hivyo tumpongeze mambo yanapokwenda vizuri
 
Na hapo amehesabu hadi vituo vya afya alivyoacha Magufuli. Siyo kwamba vyote ataanza from scratch.



Unaaelewa maana ya Vituo vipya?!
Sio alivyoacha, ni vipya kwa maana ya vipya,

Usicheze na Tshs 60BL
 
RAIS MAGUFULI VITUO VYA AFYA 44 MIAKA 3 | RAIS SAMIA VITUO VYA AFYA 220 MIEZI 3

Ukisoma "Kitabu Cha Hali ya Uchumi Tanzania " cha mwaka 2018 ukurasa wa 60,utaona wakati Rais Kikwete anaondoka madarakani mwaka 2015 vituo vya afya vya serikali vilikuwa 507,Mpaka 2018|19 jumla ya Vituo vya afya vya serikali ilifikia 551 sawa na Ongezeko la Vituo vipya 44 ambazo ni 9% chini ya Hayati Rais Magufuli,

Kwakutumia tozo hizi za Kizalendo Rais Samia anajenga vituo vya afya vipya 220 kwa miezi mitatu ( 3 ) tu sawa na ongezeko la 43.4%,Nakwa lugha rahisi kabisa,Tunasema kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Samia kwa miezi mitatu ni X5 zaidi ya kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Magufuli kwa miaka mitatu mfululizo,

Jumla ya vituo vyote vya Serikali vipya na alivyokarabati Hayati Rais Magufuli kwa miaka mitano vilifikia 487 ( soma Hotuba yake ya mwisho bungeni ukurasa wa 24 ),Hii inamaana gani, Rais Samia kwa muda wa miezi hii michache atajenga karibu nusu ya vituo vyote vilivyojengwa|kukarabatiwa na Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano aliyokaa madarakani,Mama anastahili pongezi kama kweli tunamwogopa Mungu,

Na kwa andiko hili,Itusaidie kutambua faida ya tozo kwenye kuwahudumia na kuwafikia kwa haraka watoto wa masikini wa nchi hii wanaokufa kila dakika kwa kukosa huduma za afya hasa hasa akina Mama na Watoto huko vijijini,

Att |Isionekane napinga kazi nzuri ya Hyt Rais Magufuli hapana, ni katika kuangazia Mwanzo wao wote kwenye hili la vituo vya afya na Samia hakamatiki kwani namba hazidanganyi,

|[ Hili ndio Jibu la kwanini leo tozo na Sio zamani ]|

|WANAOULIZA RAIS SAMIA SULUHU ANATUPELEKA WAPI | HERE IS WHERE WE GO BRO'S & SISTERS KUWENI NA AMANI NCHI YENU IKO MIKONO SALAMA & SHUPAVU YA MAMA|




...Kazi iendelee ...

View attachment 1922453
bila ya tozo amejenga vingapi
 
Nampenda sana Mama Samia,

Hafokifoki hovyo, cheki jana alivyodeal na Gwaji Boy,

Samia ni Mama kama Mama,

#Samia4presidency2025
mkuu, issue sio kufoka wala kutofoka, tunataka maendeleo. tukiwa na akili kama zako hatuwezi endelea, eti unampenda au inamchagua mtu sababu tu hafoki
 
Mama ni habari wenye akili wameemwelewa kitambo Sana,

๐Ÿค›๐Ÿฟ ๐Ÿค›๐Ÿฟ ๐Ÿค›๐Ÿฟ
Na moja ya legacy yake kubwa anapambania ni kufanikisha mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo.

Soma hiyoo ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Screenshot_20210904-083313.png
 
Hivyo 9% vilivyojengwa na magufuli vinatoa huduma,vipi kuhusu hivyo 43.4% vinatoa huduma wapi maana hakuna hata jengo la OPD lililotayari.
 
RAIS MAGUFULI VITUO VYA AFYA 44 MIAKA 3 | RAIS SAMIA VITUO VYA AFYA 220 MIEZI 3

Ukisoma "Kitabu Cha Hali ya Uchumi Tanzania " cha mwaka 2018 ukurasa wa 60,utaona wakati Rais Kikwete anaondoka madarakani mwaka 2015 vituo vya afya vya serikali vilikuwa 507,Mpaka 2018|19 jumla ya Vituo vya afya vya serikali ilifikia 551 sawa na Ongezeko la Vituo vipya 44 ambazo ni 9% chini ya Hayati Rais Magufuli,

Kwakutumia tozo hizi za Kizalendo Rais Samia anajenga vituo vya afya vipya 220 kwa miezi mitatu ( 3 ) tu sawa na ongezeko la 43.4%,Nakwa lugha rahisi kabisa,Tunasema kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Samia kwa miezi mitatu ni X5 zaidi ya kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Magufuli kwa miaka mitatu mfululizo,

Jumla ya vituo vyote vya Serikali vipya na alivyokarabati Hayati Rais Magufuli kwa miaka mitano vilifikia 487 ( soma Hotuba yake ya mwisho bungeni ukurasa wa 24 ),Hii inamaana gani, Rais Samia kwa muda wa miezi hii michache atajenga karibu nusu ya vituo vyote vilivyojengwa|kukarabatiwa na Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano aliyokaa madarakani,Mama anastahili pongezi kama kweli tunamwogopa Mungu,

Na kwa andiko hili,Itusaidie kutambua faida ya tozo kwenye kuwahudumia na kuwafikia kwa haraka watoto wa masikini wa nchi hii wanaokufa kila dakika kwa kukosa huduma za afya hasa hasa akina Mama na Watoto huko vijijini,

Att |Isionekane napinga kazi nzuri ya Hyt Rais Magufuli hapana, ni katika kuangazia Mwanzo wao wote kwenye hili la vituo vya afya na Samia hakamatiki kwani namba hazidanganyi,

|[ Hili ndio Jibu la kwanini leo tozo na Sio zamani ]|

|WANAOULIZA RAIS SAMIA SULUHU ANATUPELEKA WAPI | HERE IS WHERE WE GO BRO'S & SISTERS KUWENI NA AMANI NCHI YENU IKO MIKONO SALAMA & SHUPAVU YA MAMA|




...Kazi iendelee ...

View attachment 1922453
Magufuli aliweka tozo na kutumia tozo, tumia parameters sahihi kufananisha watu. Hivi Magufuli angetumia huu mfumo tozo mtozoe SGR na Bwawa ingekuwa mukidemukide. Hao wamechota hazina sasa namna bora ya kujiendesha ni utopolo wa kitozo tozo
 
Hivyo 9% vilivyojengwa na magufuli vinatoa huduma,vipi kuhusu hivyo 43.4% vinatoa huduma wapi?
Kwa taarifa yako vinavyotoa huduma ni vile ambavyo alivyokarabati,vipya vyote hadi anakufa alikuwa ndio kwanza yuko kwenye mchakato wa kuajiri watumishi wa Afya,kiufupi wameajiriwa juzi na akini Ummy.

So kwa wastani by 2025 mama anaweza Jenga vituo vya afya 800-1000 sio mchezo.
 
Back
Top Bottom