Hayati Magufuli aliharibu sana hii nchi, Rais Samia atapata tabu kuongoza asipokuwa mkali

Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
Haya majuisi ya malimao na tangawizi yamesababisha vidonda vya tumbo kwa wanannchi
 
Kk tusipotezwe muda na binadamu wakiristo wanaweza kukubaliana nami kuwa yesu kristo aliletwa duniani kuja kuwakomboa wanadamu hao hao Ila walimkataa ss iwe mama yetu tuliokuwa tayari twende mbele
Tuamini tu kuwa mwendazake alifanya yaliyomema na kama binadamu kuna sehemu hakufanikiwa na mama anarekebisha yale yaliyokuwa siyo
Together we can

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Mawaziri waliobaki na jitihada za kufanya ziara ni wale wale wachapakazi, Biteko, Jaffo na Awesso; na wakifika huko wanakutana na changamoto kama ilivyozoeleka mambo vuluvulu.

Wengine wote are not bothered siku hizi, uwaziri umerudi kuwa mahala pa kupumzika heck wengine ata mikutano wanaoalikwa wanatuma naibu katibu mkuu; waziri, naibu wake na katibu mkuu hawana muda tena wa kuonekana mbele ya boss.
 
Wakuu Habari

Baada ya ziara ya Samia ya kwenda Kenya na kuondoa mtanziko wa kibiashara na kidiplomasia kati ya nchi hizi mbili na malori ya Tanzania kuruhusiwa kupeleka bidhaa zetu huko nilisoma maoni ya baadhi ya Watanzania ndipo nikajua Magufuli aliharibu hii nchi kiasi gani.

Kwanza kitendo hiki cha Samia badala ya kupongezwa na kila Mtanzania kuna watu wngi nawajua ni wasomi wenye akili kabisa walikuwa wakiponda eti hii ni ziara ya kujipendekeza na ameingia mtegoni, ukiwauliza sababu hawana, yaani wao wanaona kufanya biashara na nchi jirani ni hasara kwa sababu Magufuli alina haifai.

Pili kaui ya Samia ya kuwaasa TRA kukusanya kodi kwa njia ambayo ni sustainable, ambayo itawezesha Serikali kupata mapato na hapo hapo sekta binafsi kuendelea kukua na kutoa ajira na kukuzauchumi, hili likaonekana tena ni udhaifu

Tatu Serikali ilipoagiza vibanda vya machinga viondolewe katikati ya barabara, jambo ambalo ni la mantiki kabisa kwa kuwa huwezi kufanya biashara barabarani, watu amba0o hata sio machinga nao walipinga vikali wakisema watamkumbuka Magufuli.

Nne Samia alipomsimamisha Sabaya baada ya tuhuma nyingi ambapo pia na yeye alikiri kutumia mabavu badala ya sheria kwenye mahaojiano yake na Clouds Tv, Samia amemsimamisha watu wengi wanalalamika eti kamuondoa kiongozi imara alitakiwa ampandishe cheo.

Tano Samia alipotangaza ataunda tume huru ya wataalamu wetu wa ndani (kwa kigezo cha Magufuli kuwa wazungu wanataka kutuua na chanjo) ili kujua ukweli wa hili , watu hawa pia walipinga vikali wakidai tamko la Magufuli kuwa chanjo hifai ndio linatakiwa kufuatwa japo halikuwa na msingi wowote wa Kisayansi.

Na leo wataalamu hao walipotoa majibu hayo na ku prove nadharia za Magufuli kuwa ni za uongo, nao wanashambuliwa vikali na Rais Samia pia anashambuliwa, kwa sababu tu wanaenda kinyume na tamko la Magufuli kuwa chanjo hazifai.

Kwa kweli Samia anatakiwa awe aggressive kudeal na haya magenge ya apotoshaji la sivyo atapata tabu mno.
Ukali si lazima - kinachotakiwa ni busara, hekima, kusimamia haki na mipango thabiti.
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
Wanashangilia jinsi dhalim anavyopata kibano huko motoni
 
Tatizo lilikuwa ni kuamini ukiwa Rais basi wewe unajua kila kitu, vitu vya kitaalam waachiwe wataalam. Rias wa sasa amefanya vizuri kuhusu Covid.
 
!
Ukweli utabaki kuwa ukweli mifumo mingi imeharibiwa na mwendazake.
Mwongo!! Alichofanya JPM ni kutufungua macho na hakuna awezaye kutufumba macho tena! Hayupo wa kutuaminisha kuwa Tanzania ni maskini. Hakuna awezaye kutuaminisha kuwa mafua ya corona ni hatari kiasi cha kulazimisha lockdown! Hakuna anayeweza kutuami isha kuwa barakoa ni mwokozi wa corona!! Hakuna wa kufanikiwa kuvunja msingi aliotujengea JPM!! Mtu akitaka ajizike katika mioyo ya watanzania walio wengi ajaribu kupinga mambo aliyoyajenga JPM katika mioyo ya watanzania!! Yule mkuu wa mjengoni keshajizika rasmi katika mioyo ya watanzania na anajua hivyo!!
 
Back
Top Bottom