Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,206
- 33,223
Aliwaepusha vipi?, Hukuona kina kibonde walivyoondoka, TBC walipukutika, mamilionea wanaosafiri safiri nje , viongozi, mawaziri, wabunge etcNa ilisaidia kutuepusha na hayo magonjwa.alitupa ujasiri na kutokuwapa ugonjwa.yeye ni shujaa