Aliyekuwa diwani wa kata ya kisesa, mheshimiwa hayati Mzee Climent Mabina kuzikwa kesho
Mazishi yatafanyika kisesa, mwanza kuanzia saa NNE asubuhi.
Wananchi, wakereketwa wa vyama vyote na viongozi wetu wapendwa watakuepo
RIP mpendwa, Mungu ndo mtoa hukumu, tuache jazba
source RFA
Mazishi yatafanyika kisesa, mwanza kuanzia saa NNE asubuhi.
Wananchi, wakereketwa wa vyama vyote na viongozi wetu wapendwa watakuepo
RIP mpendwa, Mungu ndo mtoa hukumu, tuache jazba
source RFA