China imejidhihirisha kuwa rafiki wa mataifa mengi maskini kutokana na misaada ya hali na mali inayotoa kwa nchi hizo,na nchi nyingi za ulaya na USA zimekua adui wa chini kwa chini wa China.leo kwenye televishen ya china cctv imeonyesha hayati mwl JK Nyerere akikiri kwamba mataifa ya ulaya yalimshawishi akatae msaada wa reli ya TAZARA kutoka china na hayo mataifa yangempa msaada huo kitu ambacho mwalimu alikikataa.sidhani kama viongozi wetu wa leo wangeweza kutoa msimamo dhabiti kama huo.