GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
wewe umerud tena africa? zanzibar sasa tunatawa wenyewe
Kuacha mashati matatu na viatu ‘pea’ 2 tu ndio kipimo cha uongozi bora? Karume kafa kaacha magorofa kwa ajili ya malofa na walalahoi Zanzibar nzima! Yupi bora? Toka lini mmasai na Mashati?